Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Samweli 6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Samweli

      • Sanduku linaletwa Yerusalemu (1-23)

        • Uza anashika Sanduku na kuuawa (6-8)

        • Mikali anamuzarau Daudi (16, 20-23)

2 Samweli 6:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “katikati ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 7:2; 1 Fal. 8:1; 1Nya 13:1-5
  • +Kum 20:4; 1 Sa. 1:3; 1Nya 17:24
  • +Kut 25:22; 1 Sa. 4:4; 1Nya 13:6-11; Zab 80:1

2 Samweli 6:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:14; Hes 7:9; Yosh. 3:14
  • +1 Sa. 7:1

2 Samweli 6:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “matari.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 10:5
  • +Kut 15:20
  • +Zab 150:3-5

2 Samweli 6:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 4:15; 1Nya 15:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2005, uku. 17

2 Samweli 6:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 10:1, 2; 1 Sa. 6:19
  • +Mez. 11:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2005, uku. 26-27

2 Samweli 6:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mulipuko Juu ya Uza.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2005, uku. 17

2 Samweli 6:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 6:20; Zab 119:120
  • +1Nya 13:12-14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/5/2005, uku. 17

2 Samweli 6:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:7
  • +1Nya 15:25

2 Samweli 6:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 30:27; 39:5

2 Samweli 6:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 15:25, 26; Zab 24:7; 68:24

2 Samweli 6:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 4:15; 7:9; Yosh. 3:3; 1Nya 15:2, 15

2 Samweli 6:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “amejifunga.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 15:27, 28

2 Samweli 6:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 37:1; Zab 132:8
  • +1Nya 15:16
  • +Zab 150:3

2 Samweli 6:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 14:49; 18:20, 27; 2 Sa. 3:14
  • +1Nya 15:29

2 Samweli 6:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 15:1
  • +Law. 1:3
  • +Law. 3:1
  • +1Nya 16:1-3

2 Samweli 6:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 18:27
  • +Kut 22:28

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2006, uku. 31

    15/6/2000, uku. 12-13

2 Samweli 6:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 13:13, 14; 15:27, 28; 16:1, 12

2 Samweli 6:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2006, uku. 31

2 Samweli 6:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 14:49; 2 Sa. 6:16

Maandiko ingine

2 Sam. 6:21 Sa. 7:2; 1 Fal. 8:1; 1Nya 13:1-5
2 Sam. 6:2Kum 20:4; 1 Sa. 1:3; 1Nya 17:24
2 Sam. 6:2Kut 25:22; 1 Sa. 4:4; 1Nya 13:6-11; Zab 80:1
2 Sam. 6:3Kut 25:14; Hes 7:9; Yosh. 3:14
2 Sam. 6:31 Sa. 7:1
2 Sam. 6:51 Sa. 10:5
2 Sam. 6:5Kut 15:20
2 Sam. 6:5Zab 150:3-5
2 Sam. 6:6Hes 4:15; 1Nya 15:2
2 Sam. 6:7Law. 10:1, 2; 1 Sa. 6:19
2 Sam. 6:7Mez. 11:2
2 Sam. 6:91 Sa. 6:20; Zab 119:120
2 Sam. 6:91Nya 13:12-14
2 Sam. 6:102 Sa. 5:7
2 Sam. 6:101Nya 15:25
2 Sam. 6:11Mwa 30:27; 39:5
2 Sam. 6:121Nya 15:25, 26; Zab 24:7; 68:24
2 Sam. 6:13Hes 4:15; 7:9; Yosh. 3:3; 1Nya 15:2, 15
2 Sam. 6:141Nya 15:27, 28
2 Sam. 6:15Kut 37:1; Zab 132:8
2 Sam. 6:151Nya 15:16
2 Sam. 6:15Zab 150:3
2 Sam. 6:161 Sa. 14:49; 18:20, 27; 2 Sa. 3:14
2 Sam. 6:161Nya 15:29
2 Sam. 6:171Nya 15:1
2 Sam. 6:17Law. 1:3
2 Sam. 6:17Law. 3:1
2 Sam. 6:171Nya 16:1-3
2 Sam. 6:201 Sa. 18:27
2 Sam. 6:20Kut 22:28
2 Sam. 6:211 Sa. 13:13, 14; 15:27, 28; 16:1, 12
2 Sam. 6:231 Sa. 14:49; 2 Sa. 6:16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Samweli 6:1-23

Cha Pili cha Samweli

6 Daudi akakusanya tena maaskari wote wenye kuwa wazuri zaidi wa Israeli, wanaume elfu makumi tatu (30 000). 2 Kisha Daudi na watu wote wenye walikuwa pamoja naye wakaondoka kuenda Baale-yuda ili kupandisha kutoka kule Sanduku la Mungu wa kweli,+ lenye mbele yake watu wanaitia jina la Yehova wa majeshi,+ mwenye kukaa akiwa mufalme juu ya* makerubi.+ 3 Lakini, wakaweka Sanduku la Mungu wa kweli juu ya gari la mupya la kukokotwa+ ili walisafirishe kutoka katika nyumba ya Abinadabu,+ yenye ilikuwa kwenye kilima; na Uza na Ahio, wana wa Abinadabu, walikuwa wanaongoza gari hilo la mupya la kukokotwa.

4 Kwa hiyo wakasafirisha Sanduku la Mungu wa kweli kutoka katika nyumba ya Abinadabu kwenye kilima, na Ahio alikuwa anatembea mbele ya Sanduku hilo. 5 Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wanashangilia mbele ya Yehova kwa vyombo vya kila namna vya mbao za muberoshi, vinubi, vyombo vingine vya kamba,+ ngoma za kidogo,*+ matasa, na matoazi.+ 6 Lakini wakati walifika kwenye kiwanja cha kupigia-pigia nafaka cha Nakoni, Uza akanyoosha mukono wake kwenye lile Sanduku la Mungu wa kweli na kulishika,+ kwa sababu wale ngombe walikuwa karibu kuliangusha. 7 Halafu kasirani ya Yehova ikawaka juu ya Uza, na Mungu wa kweli akamupiga na kumuua+ pale kwa sababu ya tendo lake la kukosa heshima,+ na akakufia pale karibu na Sanduku la Mungu wa kweli. 8 Lakini Daudi akakasirika kwa sababu kasirani kali ya Yehova ilikuwa imemulipukia Uza; na mahali pale pamekuwa pakiitwa Peres-uza* mupaka leo. 9 Basi Daudi akamuogopa Yehova+ siku hiyo na kusema: “Namna gani Sanduku la Yehova linaweza kuja kwangu?”+ 10 Daudi hakutaka kuleta Sanduku la Yehova mahali kwenye alikuwa katika Muji wa Daudi.+ Lakini, Daudi aliagiza lipelekwe kwenye nyumba ya Obed-edomu+ Mugati.

11 Sanduku la Yehova lilibakia katika nyumba ya Obed-edomu Mugati kwa miezi tatu (3), na Yehova akaendelea kumubariki Obed-edomu na nyumba yake yote.+ 12 Mufalme Daudi akaambiwa: “Yehova amebariki nyumba ya Obed-edomu na vitu vyake vyote kwa sababu ya Sanduku la Mungu wa kweli.” Kwa hiyo Daudi akaenda kupandisha Sanduku la Mungu wa kweli kutoka katika nyumba ya Obed-edomu mupaka katika Muji wa Daudi kwa kushangilia.+ 13 Wakati wale wenye kubeba+ Sanduku la Yehova walikuwa wametembea hatua sita (6), alitoa zabihu ya ngombe-dume na munyama mwenye kunenepa.

14 Daudi alikuwa anacheza dansi huku na huku mbele ya Yehova kwa nguvu zake zote; na wakati wote huo Daudi alikuwa amevaa* efodi ya kitani.+ 15 Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wanapandisha Sanduku+ la Yehova kwa makelele ya shangwe+ na kwa sauti ya baragumu.+ 16 Lakini wakati Sanduku la Yehova liliingia katika Muji wa Daudi, Mikali,+ binti ya Sauli, akaangalia chini kupitia dirisha na akamuona Mufalme Daudi akirukaruka na kucheza dansi huku na huku mbele ya Yehova; na akaanza kumuzarau katika moyo wake.+ 17 Basi wakaingiza Sanduku la Yehova na kuliweka mahali pake ndani ya hema yenye Daudi alikuwa amesimamisha kwa ajili ya Sanduku hilo.+ Kisha Daudi akatoa matoleo ya kuteketezwa+ na zabihu za ushirika+ mbele ya Yehova.+ 18 Wakati Daudi alimaliza kutoa matoleo ya kuteketezwa na zabihu za ushirika, akabariki watu katika jina la Yehova wa majeshi. 19 Tena, aligawia watu wote, watu wote wa Israeli, kila mwanaume na mwanamuke mukate mumoja wa muviringo, keki ya tende, na keki ya zabibu zenye kukauka, na kisha watu wote wakaenda zao, kila mumoja kwenye nyumba yake mwenyewe.

20 Wakati Daudi alirudia ili kubariki watu wa nyumba yake mwenyewe, Mikali,+ binti ya Sauli akatoka inje ili kukutana na Daudi. Mikali akasema: “Mufalme wa Israeli amejitukuza kwelikweli wakati alijifunua leo mbele ya macho ya watumwa wanamuke wa watumishi wake, kama vile mutu mwenye hana akili anajifunuaka waziwazi!”+ 21 Basi Daudi akamuambia Mikali: “Nilikuwa ninashangilia mbele ya Yehova, mwenye alinichagua pa nafasi ya baba yako na nyumba yake yote na mwenye aliniweka kuwa kiongozi wa watu wa Yehova, Israeli.+ Kwa hiyo, nitashangilia mbele ya Yehova, 22 na nitajinyenyekeza hata zaidi kuliko vile nilifanya na nitakuwa mudogo hata mbele ya macho yangu mwenyewe. Lakini nitatukuzwa na hao watumwa wanamuke wenye ulitaja.” 23 Kwa hiyo Mikali,+ binti ya Sauli hakukuwa na watoto mupaka siku ya kifo chake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine