Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Wafalme 18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Wafalme

      • Eliya anakutana na Obadia na Ahabu (1-18)

      • Eliya anapambana na manabii wa Baali kule Karmeli (19-40)

        • “Kuyumba-yumba kati ya mawazo mbili” (21)

      • Ukame wa miaka tatu na nusu unaisha (41-46)

1 Wafalme 18:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 4:25; Yak 5:17
  • +Zab 65:9, 10; Yer 14:22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2008, uku. 19

1 Wafalme 18:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:26; Kum 28:24

1 Wafalme 18:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2006, uku. 20

1 Wafalme 18:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “alikuwa anakatilia mbali.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 16:31

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2006, uku. 20

1 Wafalme 18:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 1:8

1 Wafalme 18:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

1 Wafalme 18:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 17:2, 3

1 Wafalme 18:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

1 Wafalme 18:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 2:15, 16; Mt 4:1; Mdo 8:39

1 Wafalme 18:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 18:4

1 Wafalme 18:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

1 Wafalme 18:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwenye ninasimama mbele yake.”

1 Wafalme 18:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mwenye kuleta kutengwa.”

1 Wafalme 18:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:4; 1 Fal. 9:9; 16:30-33

1 Wafalme 18:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 19:26, 31
  • +1 Fal. 16:33

1 Wafalme 18:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwenye miti miwili ya walemavu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:11; Ho 10:2; Mt 12:30; 1 Kor. 10:21; 2 Kor. 6:14, 15
  • +Kut 20:5; Yosh. 24:15; 1 Sa. 7:3; Zab 100:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    3/2017, uku. 14-15

    Tuige Imani Yao, uku. 86-87

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2008, uku. 19

    15/12/2005,

    uku. 24-29

    1/7/2005, uku. 30-31

1 Wafalme 18:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 19:9, 10

1 Wafalme 18:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 87

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2008, uku. 19

1 Wafalme 18:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 6:31
  • +Law. 9:23, 24; Kum 4:24; Amu 6:21; 1Nya 21:26; 2Nya 7:1

1 Wafalme 18:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 45:20; Yer 10:5; Da. 5:23; Hab 2:18, 19; 1 Kor. 8:4

1 Wafalme 18:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “ameenda katika safari.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 88

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2008, uku. 20

1 Wafalme 18:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kujiendesha kama manabii.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 44:19, 20

1 Wafalme 18:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 19:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 88-90

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2008, uku. 20

    15/12/2005, uku. 26

1 Wafalme 18:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 32:28, 30; 35:10; Isa 48:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 88-90

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2008, uku. 20

1 Wafalme 18:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Sea moja ilikuwa sawa na litre 7.33 (vibaba 6.66). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:25; Kum 27:6

1 Wafalme 18:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 22:9; Law. 1:7, 8

1 Wafalme 18:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 29:41
  • +Mwa 26:24
  • +Mwa 28:13
  • +Hes 16:28; Yoh 11:42

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 90

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2010, uku. 4-5

    1/1/2008, uku. 20

1 Wafalme 18:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 31:18; Eze 33:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 90

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2010, uku. 4-5

    1/1/2008, uku. 20

1 Wafalme 18:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 9:23, 24; Amu 6:21; 2Nya 7:1
  • +1 Fal. 18:23, 24

1 Wafalme 18:40

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bonde la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 5:20, 21; Zab 83:9
  • +Kum 13:1-5; 18:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 90-91

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2008, uku. 20-21

1 Wafalme 18:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 17:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 93, 94-95

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2008, uku. 17-18

1 Wafalme 18:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 5:17, 18

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 93-94

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2008, uku. 17-18

1 Wafalme 18:43

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 94-95

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2008, uku. 18-19

1 Wafalme 18:44

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 95-97

    Munara wa Mulinzi,

    1/1/2009, uku. 15-16

    1/4/2008, uku. 18-20

1 Wafalme 18:45

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 12:18; Yob 38:37
  • +Yosh. 19:17, 18; 1 Fal. 21:1

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 97

    Munara wa Mulinzi,

    1/4/2008, uku. 20

1 Wafalme 18:46

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “na akafunga.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tuige Imani Yao, uku. 98-99

    Munara wa Mulinzi,

    1/7/2011, uku. 18

    1/4/2008, uku. 20

Maandiko ingine

1 Fa. 18:1Lu 4:25; Yak 5:17
1 Fa. 18:1Zab 65:9, 10; Yer 14:22
1 Fa. 18:2Law. 26:26; Kum 28:24
1 Fa. 18:41 Fal. 16:31
1 Fa. 18:72 Fal. 1:8
1 Fa. 18:101 Fal. 17:2, 3
1 Fa. 18:122 Fal. 2:15, 16; Mt 4:1; Mdo 8:39
1 Fa. 18:131 Fal. 18:4
1 Fa. 18:18Kut 20:4; 1 Fal. 9:9; 16:30-33
1 Fa. 18:19Yosh. 19:26, 31
1 Fa. 18:191 Fal. 16:33
1 Fa. 18:21Yer 2:11; Ho 10:2; Mt 12:30; 1 Kor. 10:21; 2 Kor. 6:14, 15
1 Fa. 18:21Kut 20:5; Yosh. 24:15; 1 Sa. 7:3; Zab 100:3
1 Fa. 18:221 Fal. 19:9, 10
1 Fa. 18:24Amu 6:31
1 Fa. 18:24Law. 9:23, 24; Kum 4:24; Amu 6:21; 1Nya 21:26; 2Nya 7:1
1 Fa. 18:26Isa 45:20; Yer 10:5; Da. 5:23; Hab 2:18, 19; 1 Kor. 8:4
1 Fa. 18:27Isa 41:23
1 Fa. 18:29Isa 44:19, 20
1 Fa. 18:301 Fal. 19:14
1 Fa. 18:31Mwa 32:28, 30; 35:10; Isa 48:1
1 Fa. 18:32Kut 20:25; Kum 27:6
1 Fa. 18:33Mwa 22:9; Law. 1:7, 8
1 Fa. 18:36Kut 29:41
1 Fa. 18:36Mwa 26:24
1 Fa. 18:36Mwa 28:13
1 Fa. 18:36Hes 16:28; Yoh 11:42
1 Fa. 18:37Yer 31:18; Eze 33:11
1 Fa. 18:38Law. 9:23, 24; Amu 6:21; 2Nya 7:1
1 Fa. 18:381 Fal. 18:23, 24
1 Fa. 18:40Amu 5:20, 21; Zab 83:9
1 Fa. 18:40Kum 13:1-5; 18:20
1 Fa. 18:411 Fal. 17:1
1 Fa. 18:42Yak 5:17, 18
1 Fa. 18:451 Sa. 12:18; Yob 38:37
1 Fa. 18:45Yosh. 19:17, 18; 1 Fal. 21:1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Wafalme 18:1-46

Cha Kwanza cha Wafalme

18 Kisha wakati fulani, katika mwaka wa tatu (3),+ neno la Yehova likakuja kwa Eliya, na kusema: “Uende, ujionyeshe kwa Ahabu, na nitaleta mvua juu ya uso wa inchi.”+ 2 Basi Eliya akaenda kujionyesha kwa Ahabu, wakati njaa ilikuwa kali sana+ katika Samaria.

3 Wakati huo, Ahabu akamuita Obadia, mwenye alikuwa musimamizi wa nyumba. (Sasa Obadia alimuogopa sana Yehova, 4 na wakati Yezebeli+ alikuwa anaua* manabii wa Yehova, Obadia alichukua manabii mia moja [100] na kuwaficha, makumi tano [50] katika pango moja, na aliwapatia mukate na maji.) 5 Kisha Ahabu akamuambia Obadia: “Pita katika inchi kwenye chemchemi zote za maji na kwenye mabonde yote. Pengine tunaweza kupata majani ya kutosha ili farasi na nyumbu waendelee kuishi na wanyama wetu wote wasikufe.” 6 Kwa hiyo wakagawana inchi yenye wangepita katikati yake. Ahabu akaenda peke yake kupitia njia moja, na Obadia akaenda peke yake kupitia njia ingine.

7 Wakati Obadia alikuwa anaenda, Eliya akakuja kukutana naye. Mara moja Obadia akamutambua na akapiga magoti na kuinama mupaka chini na kusema: “Je, ni wewe, bwana wangu Eliya?”+ 8 Akamujibu: “Ni mimi. Uende na umuambie bwana wako: ‘Eliya iko* hapa.’” 9 Lakini akasema: “Nimetenda zambi gani kusudi umutie mutumishi wako katika mukono wa Ahabu ili aniue? 10 Kama vile hakika Yehova Mungu wako anaishi, hakuna taifa ao ufalme kwenye bwana wangu hakutuma watu wakutafute. Wakati walisema, ‘Haiko hapa,’ alifanya ule ufalme na lile taifa waape kwamba hawakuweza kukupata.+ 11 Sasa unasema, ‘Uende na umuambie bwana wako: “Eliya iko* hapa.”’ 12 Wakati nitakuacha, roho ya Yehova itakupeleka+ mahali kwenye sitajua, na wakati nitamuambia Ahabu na akose kukupata, hakika ataniua. Lakini, mutumishi wako amemuogopa Yehova tangu ujana wake. 13 Je, bwana wangu hakuambiwa mambo yenye nilifanya wakati Yezebeli alikuwa anaua manabii wa Yehova, namna nilificha manabii wa Yehova mia moja (100) katika vikundi vya watu makumi tano (50) katika pango moja na kuendelea kuwapatia mukate na maji?+ 14 Lakini sasa unasema, ‘Uende na umuambie bwana wako: “Eliya iko* hapa.”’ Hakika ataniua.” 15 Hata hivyo, Eliya akasema: “Kama vile hakika Yehova wa majeshi mwenye ninatumikia* anaishi, leo nitajionyesha kwake.”

16 Basi Obadia akatoka ili kukutana na Ahabu na akamuelezea, na Ahabu akaenda kukutana na Eliya.

17 Wakati tu Ahabu alimuona Eliya, akamuambia: “Je, ni wewe, mutu mwenye kuleta taabu kali* juu ya Israeli?”

18 Kisha Eliya akasema: “Sikuleta taabu juu ya Israeli, lakini wewe na nyumba ya baba yako ndio muliileta, kwa kuacha amri za Yehova na kwa kufuata Mabaali.+ 19 Na sasa uniitie Israeli wote kwenye Mulima Karmeli,+ pamoja na wale manabii mia ine makumi tano (450) wa Baali na wale manabii mia ine (400) wa muti mutakatifu,*+ wenye wanakula kwenye meza ya Yezebeli.” 20 Basi Ahabu akatuma ujumbe kati ya watu wote wa Israeli na akakusanya pamoja wale manabii kwenye Mulima Karmeli.

21 Kisha Eliya akakaribia watu wote na kusema: “Mutaendelea kuyumba-yumba kati ya mawazo mbili tofauti*+ mupaka wakati gani? Kama Yehova ndiye Mungu wa kweli, mumufuate;+ lakini kama ni Baali, mumufuate!” Lakini watu hawakumujibu neno lolote. 22 Kisha Eliya akaambia watu: “Mimi peke yangu ndiye nabii wa Yehova mwenye nimebakia,+ lakini manabii wa Baali ni watu mia ine makumi tano (450). 23 Watupatie ngombe-dume wadogo wawili, na wachague ngombe-dume mumoja mudogo na kumukata vipande-vipande na kumuweka juu ya kuni, lakini wasiweke moto juu yake. Nitatayarisha ule ngombe-dume mwingine mudogo, na nitamuweka juu ya kuni, lakini sitaweka moto juu yake. 24 Kisha munapaswa kuitia jina la mungu wenu,+ na mimi nitaitia jina la Yehova. Mungu mwenye atajibu kupitia moto ataonyesha kuwa yeye ndiye Mungu wa kweli.”+ Halafu watu wote wakajibu: “Jambo lenye unasema ni la muzuri.”

25 Sasa Eliya akaambia manabii wa Baali: “Muchague ngombe-dume mumoja mudogo na mumutayarishe kwanza, kwa sababu ninyi ndio wengi. Kisha muitie jina la mungu wenu, lakini hamupaswe kuweka moto juu yake.” 26 Basi wakakamata ule ngombe-dume mudogo mwenye walipewa, wakamutayarisha, na wakaendelea kuitia jina la Baali kuanzia asubui mupaka katikati ya muchana, wakisema: “Ee Baali, utujibu!” Lakini hapakukuwa sauti yoyote na hakuna mutu yeyote mwenye alijibu.+ Wakaendelea kurukaruka kuzunguka mazabahu yenye walikuwa wametengeneza. 27 Karibu na katikati ya muchana Eliya akaanza kuwachekelea na kusema: “Muite kwa sauti yenu yote! Si yeye ni mungu!+ Pengine amezama katika mawazo ao ameenda kujisaidia.* Ao pengine amelala usingizi na inaomba mutu fulani amuamushe!” 28 Walikuwa wanaita kwa sauti yao yote na kujikata-kata kwa visu na mikuki, kulingana na desturi yao, mupaka damu yao ikavuya kwenye mwili wote. 29 Kipindi cha katikati ya muchana kilikuwa kimepita na waliendelea kutenda kiwazimu* mupaka wakati wenye toleo la nafaka la mangaribi linatolewa, lakini hapakukuwa sauti yoyote na hakuna mutu yeyote mwenye alijibu; hakuna mwenye aliwasikiliza.+

30 Mwishowe Eliya akaambia watu wote: “Munikaribie.” Basi watu wote wakamukaribia. Kisha akatengeneza mazabahu ya Yehova yenye ilikuwa imebomolewa.+ 31 Kisha Eliya akakamata majiwe kumi na mbili (12), kulingana na hesabu ya makabila ya wana wa Yakobo, mwenye neno la Yehova lilikuwa limekuja kwake, na kusema: “Jina lako litakuwa Israeli.”+ 32 Akatumia majiwe hayo ili kujenga mazabahu+ katika jina la Yehova. Kisha akachimba mufereji kuzunguka ile mazabahu pande zote, eneo lenye ukubwa wake unaweza kupandwa vipimo mbili vya sea* vya mbegu. 33 Kisha akapanga zile kuni, akakata ule ngombe-dume mudogo vipande-vipande, na kumuweka juu ya zile kuni.+ Sasa akasema: “Mujaze maji katika mitungi mikubwa ine (4) na muyamwange juu ya lile toleo la kuteketezwa na juu ya zile kuni.” 34 Kisha akasema: “Mufanye vile tena.” Basi wakafanya vile tena. Tena akasema: “Mufanye vile mara ya tatu (3).” Basi wakafanya vile mara ya tatu. 35 Na maji yakajaa kuzunguka mazabahu pande zote, na akajaza pia mufereji kwa maji.

36 Karibu na wakati wenye toleo la nafaka la mangaribi linatolewa,+ nabii Eliya akakuja mbele na kusema: “Ee Yehova, Mungu wa Abrahamu,+ Isaka,+ na Israeli, acha ijulikane leo kwamba wewe ni Mungu katika Israeli na kwamba mimi ni mutumishi wako na kwamba ni kupitia neno lako ndiyo nimefanya mambo haya yote.+ 37 Unijibu, Ee Yehova! Unijibu ili watu hawa wajue kwamba wewe, Yehova, ndiye Mungu wa kweli na kwamba wewe unageuza mioyo yao irudie kwako.”+

38 Halafu moto wa Yehova ukashuka kutoka juu, ukateketeza lile toleo la kuteketezwa,+ kuni, majiwe, na mavumbi, na ukalambula maji yenye yalikuwa katika mufereji.+ 39 Wakati watu wote waliona jambo hilo, mara moja wakapiga magoti na kuinama mupaka chini na kusema: “Yehova ndiye Mungu wa kweli! Yehova ndiye Mungu wa kweli!” 40 Kisha Eliya akawaambia: “Mukamate manabii wa Baali! Musiache hata mumoja wao aponyoke!” Mara moja wakawakamata, na Eliya akawashusha kwenye muto mudogo* wa Kishoni+ na akawachinja kule.+

41 Sasa Eliya akamuambia Ahabu: “Panda, ukule na ukunywe, kwa maana kuko sauti ya mvua kubwa sana.”+ 42 Basi Ahabu akapanda ili kula na kunywa, lakini Eliya akapanda kwenye kichwa cha Karmeli na kushutama chini, uso wake ukiwa katikati ya magoti yake.+ 43 Kisha akamuambia mutumishi wake: “Panda, tafazali, na uangalie upande wa bahari.” Basi akapanda na akaangalia na kusema: “Hakuna kitu chochote.” Mara saba (7) Eliya akasema, “Rudia.” 44 Mara ya saba (7) mutumishi wake akasema: “Angalia! Kuko wingu la kidogo kama mukono wa mwanadamu lenye linapanda kutoka katika bahari.” Sasa Eliya akasema: “Uende, umuambie Ahabu: ‘Funga gari! Ushuke ili mvua kubwa isikuzuie!’” 45 Wakati huo, anga likatiwa giza kwa mawingu, upepo ukavuma, na mvua kubwa sana ikanyesha;+ na Ahabu akaendelea kutembeza gari na akaenda mupaka Yezreeli.+ 46 Lakini mukono wa Yehova ukakuja juu ya Eliya, na akajifunga nguo yake kuzunguka* kiuno chake na akakimbia mbele ya Ahabu mupaka Yezreeli.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine