Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 21
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wafalme

      • Manase, mufalme wa Yuda; umwangaji wake wa damu (1-18)

        • Yerusalemu itaharibiwa (12-15)

      • Amoni, mufalme wa Yuda (19-26)

2 Wafalme 21:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 3:13; Mt 1:10
  • +2Nya 33:1

2 Wafalme 21:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:30, 31; 2Nya 36:14; Eze 16:51
  • +2Nya 33:2-6

2 Wafalme 21:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:1, 4
  • +2 Fal. 23:4
  • +1 Fal. 16:30, 32
  • +Kum 4:19

2 Wafalme 21:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 32:34
  • +Kum 12:5; 2 Sa. 7:12, 13; 1 Fal. 8:29; 9:3

2 Wafalme 21:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 8:16
  • +1 Fal. 6:36; 7:12

2 Wafalme 21:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 19:26
  • +Law. 20:27; Kum 18:10, 11

2 Wafalme 21:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 23:6
  • +2Nya 33:7-9

2 Wafalme 21:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 17:9
  • +Kum 28:1

2 Wafalme 21:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:1

2 Wafalme 21:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 33:10; 36:15, 16; Yer 7:25; Mt 23:37

2 Wafalme 21:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine neno la Kiebrania lenye linatumiwa hapa linahusiana na maneno “mavi ya wanyama” na linatumiwa ili kuonyesha zarau.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:16
  • +Law. 18:24, 25; 2 Fal. 23:26; 24:3; Yer 15:4

2 Wafalme 21:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:16, 17; Mik 3:12
  • +Yer 19:3

2 Wafalme 21:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kamba ya kupima usawa yenye ilitumiwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 28:17; Omb 2:8
  • +2 Fal. 17:6; Eze 23:33
  • +1 Fal. 21:21; 2 Fal. 10:11
  • +Yer 25:9

2 Wafalme 21:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 32:9; 2 Fal. 17:18
  • +Law. 26:25; Kum 28:63

2 Wafalme 21:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 9:21; 31:29; Amu 2:11, 13

2 Wafalme 21:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:3, 4; Yer 2:34; Mt 23:30; Ebr 11:37

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 74

2 Wafalme 21:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:23, 26

2 Wafalme 21:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 1:10
  • +2Nya 33:21

2 Wafalme 21:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 33:22, 23

2 Wafalme 21:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:1, 3

2 Wafalme 21:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:16, 17; Yer 2:13

2 Wafalme 21:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 33:25

2 Wafalme 21:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 21:18
  • +Mt 1:10

Maandiko ingine

2 Fa. 21:11Nya 3:13; Mt 1:10
2 Fa. 21:12Nya 33:1
2 Fa. 21:2Kum 12:30, 31; 2Nya 36:14; Eze 16:51
2 Fa. 21:22Nya 33:2-6
2 Fa. 21:32 Fal. 18:1, 4
2 Fa. 21:32 Fal. 23:4
2 Fa. 21:31 Fal. 16:30, 32
2 Fa. 21:3Kum 4:19
2 Fa. 21:4Yer 32:34
2 Fa. 21:4Kum 12:5; 2 Sa. 7:12, 13; 1 Fal. 8:29; 9:3
2 Fa. 21:5Eze 8:16
2 Fa. 21:51 Fal. 6:36; 7:12
2 Fa. 21:6Law. 19:26
2 Fa. 21:6Law. 20:27; Kum 18:10, 11
2 Fa. 21:72 Fal. 23:6
2 Fa. 21:72Nya 33:7-9
2 Fa. 21:81Nya 17:9
2 Fa. 21:8Kum 28:1
2 Fa. 21:9Kum 7:1
2 Fa. 21:102Nya 33:10; 36:15, 16; Yer 7:25; Mt 23:37
2 Fa. 21:11Mwa 15:16
2 Fa. 21:11Law. 18:24, 25; 2 Fal. 23:26; 24:3; Yer 15:4
2 Fa. 21:122 Fal. 22:16, 17; Mik 3:12
2 Fa. 21:12Yer 19:3
2 Fa. 21:13Isa 28:17; Omb 2:8
2 Fa. 21:132 Fal. 17:6; Eze 23:33
2 Fa. 21:131 Fal. 21:21; 2 Fal. 10:11
2 Fa. 21:13Yer 25:9
2 Fa. 21:14Kum 32:9; 2 Fal. 17:18
2 Fa. 21:14Law. 26:25; Kum 28:63
2 Fa. 21:15Kum 9:21; 31:29; Amu 2:11, 13
2 Fa. 21:162 Fal. 24:3, 4; Yer 2:34; Mt 23:30; Ebr 11:37
2 Fa. 21:182 Fal. 21:23, 26
2 Fa. 21:19Mt 1:10
2 Fa. 21:192Nya 33:21
2 Fa. 21:202Nya 33:22, 23
2 Fa. 21:212 Fal. 21:1, 3
2 Fa. 21:222 Fal. 22:16, 17; Yer 2:13
2 Fa. 21:242Nya 33:25
2 Fa. 21:262 Fal. 21:18
2 Fa. 21:26Mt 1:10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wafalme 21:1-26

Cha Pili cha Wafalme

21 Manase+ alikuwa na miaka kumi na mbili (12) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka makumi tano na tano (55) katika Yerusalemu.+ Jina la mama yake lilikuwa Hefziba. 2 Alifanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova, kwa kufuata mazoea yenye kuchukiza ya mataifa+ yenye Yehova alikuwa amefukuza kutoka mbele ya watu wa Israeli.+ 3 Alijenga upya mahali pa juu penye Hezekia baba yake alikuwa ameharibu,+ na akasimamisha mazabahu kwa ajili ya Baali na kutengeneza muti mutakatifu,*+ kama vile Ahabu mufalme wa Israeli alikuwa amefanya.+ Na akainamia jeshi lote la mbinguni na kulitumikia.+ 4 Alijenga pia mazabahu katika nyumba ya Yehova,+ yenye Yehova alikuwa amesema hivi juu yake: “Katika Yerusalemu, nitaweka jina langu.”+ 5 Na alijenga mazabahu kwa ajili ya jeshi lote la mbinguni+ katika viwanja mbili vya nyumba ya Yehova.+ 6 Na alipitisha mwana wake mwenyewe katika moto; alifanya uchawi, alitafuta alama za mambo yenye yatatokea,+ na aliweka watu wenye kupashana habari na pepo wachafu, na wenye kutabiri matukio.+ Alifanya kwa kiasi kikubwa mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova, ili kumukasirisha.

7 Ile sanamu ya kuchongwa ya muti mutakatifu*+ yenye alitengeneza, akaitia katika nyumba yenye Yehova alikuwa amemuambia hivi Daudi na Sulemani mwana wake kuihusu: “Katika nyumba hii na katika Yerusalemu, yenye nimechagua kutoka kati ya makabila yote ya Israeli, nitaweka jina langu sikuzote.+ 8 Na sitafanya tena hata siku moja miguu ya Israeli itange-tange kutoka katika inchi yenye nilipatia mababu zao,+ kama tu watashika kwa uangalifu mambo yote yenye nimewaamuru,+ Sheria yote yenye Musa mutumishi wangu aliwaagiza wafuate.” 9 Lakini hawakutii, na Manase akaendelea kuwapoteza, akafanya watende uovu mukubwa zaidi kuliko mataifa yenye Yehova alikuwa ameharibu kutoka mbele ya Waisraeli.+

10 Yehova aliendelea kusema hivi kupitia watumishi wake manabii:+ 11 “Manase mufalme wa Yuda amefanya mambo haya yote yenye kuchukiza; ametenda kwa uovu kuliko Waamori wote+ wenye walimutangulia,+ na amefanya Yuda watende zambi kupitia sanamu zake zenye kuchukiza.* 12 Kwa hiyo Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Angalia, ninaleta musiba juu ya Yerusalemu+ na Yuda wenye utafanya masikio yote mbili ya mutu yeyote mwenye atasikia habari zake yawashe.+ 13 Na nitanyoosha juu ya Yerusalemu kamba ya kupimia+ yenye ilitumiwa juu ya Samaria+ na nitatumia kifaa cha kusawazisha chenye kilitumiwa* juu ya nyumba ya Ahabu,+ na nitapanguza Yerusalemu ikuwe safi, kama vile mutu anapanguza bakuli likuwe safi, akilipanguza na kulipindua.+ 14 Nitaacha mabaki ya uriti wangu+ na kuwatia katika mukono wa maadui wao, na watakuwa vitu vyenye vinanyanganywa katika vita na vitu vyenye vinachukuliwa katika vita kwa maadui wao wote,+ 15 kwa sababu walifanya mambo ya mubaya mbele ya macho yangu na waliendelea kunikasirisha tangu siku yenye mababu zao walitoka Misri mupaka leo.’”+

16 Manase pia alimwanga damu nyingi sana yenye haina kosa mupaka wakati alijaza Yerusalemu kutoka mwisho mumoja mupaka mwisho mwingine,+ zaidi ya zambi yake ya kufanya Yuda watende zambi kwa kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova. 17 Na mambo mengine ya historia ya Manase na mambo yote yenye alifanya na zambi zenye alitenda, je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 18 Kisha Manase akalalishwa na kupumuzika pamoja na mababu zake na akazikwa katika bustani ya nyumba yake, katika bustani ya Uza;+ na Amoni mwana wake akakuwa mufalme pa nafasi yake.

19 Amoni+ alikuwa na miaka makumi mbili na mbili (22) wakati alikuwa mufalme, na alitawala kwa miaka mbili katika Yerusalemu.+ Jina la mama yake lilikuwa Meshulemeti binti ya Haruzi kutoka Yotba. 20 Aliendelea kufanya mambo ya mubaya mbele ya macho ya Yehova, kama vile Manase baba yake alikuwa amefanya.+ 21 Aliendelea kutembea katika njia zote zenye baba yake alitembea ndani, na aliendelea kuabudu na kuinamia sanamu zenye kuchukiza zenye baba yake alikuwa ametumikia.+ 22 Basi akamuacha Yehova Mungu wa mababu zake, na hakutembea katika njia ya Yehova.+ 23 Mwishowe watumishi wa Amoni wakafanya mupango mubaya juu yake na wakamuua mufalme ndani ya nyumba yake mwenyewe. 24 Lakini watu wa inchi wakapiga na kuua wale wote wenye walifanya mupango mubaya juu ya Mufalme Amoni, na wakamufanya Yosia mwana wake kuwa mufalme pa nafasi yake.+ 25 Na mambo mengine ya historia ya Amoni, mambo yenye alifanya, je, hayaandikwe katika kitabu cha historia ya nyakati za wafalme wa Yuda? 26 Kwa hiyo wakamuzika katika kaburi lake katika bustani ya Uza,+ na Yosia mwana wake+ akakuwa mufalme pa nafasi yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine