Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wafalme

      • Nebukadneza anazunguka Yerusalemu kwa ajili ya vita (1-7)

      • Kuharibiwa kwa Yerusalemu na hekalu lake; kuhamishwa kwa mara ya pili (8-21)

      • Gedalia anafanywa kuwa gavana (22-24)

      • Gedalia anauawa; watu wanakimbilia Misri (25, 26)

      • Yehoyakini anaachiliwa huru katika Babiloni (27-30)

2 Wafalme 25:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 27:8; 43:10; Da. 4:1
  • +2Nya 36:17; Yer 34:2; Eze 24:1, 2
  • +Isa 29:3; Yer 32:2, 28; 39:1; 52:4, 5; Eze 4:1, 2; 21:21, 22

2 Wafalme 25:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:26; Kum 28:53; Yer 37:21; 38:2; Omb 4:4; Eze 4:16; 5:10, 12
  • +Yer 52:6-11

2 Wafalme 25:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 21:4; 39:2, 4-7; Eze 33:21
  • +Eze 12:12

2 Wafalme 25:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 21:7

2 Wafalme 25:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 32:4, 5; Eze 12:12, 13; 17:16

2 Wafalme 25:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 40:1
  • +Yer 52:12-14; Omb 4:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2007, uku. 11

2 Wafalme 25:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:8; Zab 74:3; 79:1; Isa 64:11; Yer 7:14; Omb 1:10; 2:7; Mik 3:12
  • +1 Fal. 7:1
  • +Yer 34:22
  • +2Nya 36:19

2 Wafalme 25:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 1:3; Yer 39:8

2 Wafalme 25:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 15:2; 39:9; 52:15, 30; Eze 5:2

2 Wafalme 25:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 39:10; 52:16

2 Wafalme 25:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:15
  • +1 Fal. 7:27
  • +1 Fal. 7:23
  • +2 Fal. 20:17; Yer 52:17-20

2 Wafalme 25:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sepetu; bêches.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Tafsiri ya Ulimwengu Mupya, uku. 1970

2 Wafalme 25:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:48, 50
  • +2Nya 24:14; 36:18; Ezr 1:7, 10, 11; Da. 5:2

2 Wafalme 25:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:47

2 Wafalme 25:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Mukono mumoja ulikuwa sawa na santimetre 44.5 (inchi 17.5). Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Ao “makila.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:15
  • +1 Fal. 7:16, 20; Yer 52:21-23

2 Wafalme 25:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 7:1
  • +Yer 21:1, 2; 29:25, 29
  • +Yer 52:24-27

2 Wafalme 25:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:8; Yer 39:9; 40:1
  • +Yer 39:5

2 Wafalme 25:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 34:2, 8; 1 Fal. 8:65
  • +Kum 28:36, 64; 2 Fal. 23:27; Yer 25:11

2 Wafalme 25:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 39:13, 14
  • +Yer 26:24
  • +2 Fal. 22:8
  • +Yer 40:5, 6

2 Wafalme 25:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 40:7-9

2 Wafalme 25:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 27:12

2 Wafalme 25:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbegu ya ufalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 40:15
  • +Yer 41:1, 2

2 Wafalme 25:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 42:14; 43:4, 7
  • +Yer 41:17, 18

2 Wafalme 25:27

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akainua kichwa cha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:8, 12; Yer 24:1; Mt 1:11
  • +Yer 52:31-34

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2012, uku. 5

    “Kila Andiko,” uku. 69

Maandiko ingine

2 Fa. 25:1Yer 27:8; 43:10; Da. 4:1
2 Fa. 25:12Nya 36:17; Yer 34:2; Eze 24:1, 2
2 Fa. 25:1Isa 29:3; Yer 32:2, 28; 39:1; 52:4, 5; Eze 4:1, 2; 21:21, 22
2 Fa. 25:3Law. 26:26; Kum 28:53; Yer 37:21; 38:2; Omb 4:4; Eze 4:16; 5:10, 12
2 Fa. 25:3Yer 52:6-11
2 Fa. 25:4Yer 21:4; 39:2, 4-7; Eze 33:21
2 Fa. 25:4Eze 12:12
2 Fa. 25:6Yer 21:7
2 Fa. 25:7Yer 32:4, 5; Eze 12:12, 13; 17:16
2 Fa. 25:8Yer 40:1
2 Fa. 25:8Yer 52:12-14; Omb 4:12
2 Fa. 25:91 Fal. 9:8; Zab 74:3; 79:1; Isa 64:11; Yer 7:14; Omb 1:10; 2:7; Mik 3:12
2 Fa. 25:91 Fal. 7:1
2 Fa. 25:9Yer 34:22
2 Fa. 25:92Nya 36:19
2 Fa. 25:10Ne 1:3; Yer 39:8
2 Fa. 25:11Yer 15:2; 39:9; 52:15, 30; Eze 5:2
2 Fa. 25:12Yer 39:10; 52:16
2 Fa. 25:131 Fal. 7:15
2 Fa. 25:131 Fal. 7:27
2 Fa. 25:131 Fal. 7:23
2 Fa. 25:132 Fal. 20:17; Yer 52:17-20
2 Fa. 25:151 Fal. 7:48, 50
2 Fa. 25:152Nya 24:14; 36:18; Ezr 1:7, 10, 11; Da. 5:2
2 Fa. 25:161 Fal. 7:47
2 Fa. 25:171 Fal. 7:15
2 Fa. 25:171 Fal. 7:16, 20; Yer 52:21-23
2 Fa. 25:18Ezr 7:1
2 Fa. 25:18Yer 21:1, 2; 29:25, 29
2 Fa. 25:18Yer 52:24-27
2 Fa. 25:202 Fal. 25:8; Yer 39:9; 40:1
2 Fa. 25:20Yer 39:5
2 Fa. 25:21Hes 34:2, 8; 1 Fal. 8:65
2 Fa. 25:21Kum 28:36, 64; 2 Fal. 23:27; Yer 25:11
2 Fa. 25:22Yer 39:13, 14
2 Fa. 25:22Yer 26:24
2 Fa. 25:222 Fal. 22:8
2 Fa. 25:22Yer 40:5, 6
2 Fa. 25:23Yer 40:7-9
2 Fa. 25:24Yer 27:12
2 Fa. 25:25Yer 40:15
2 Fa. 25:25Yer 41:1, 2
2 Fa. 25:26Yer 42:14; 43:4, 7
2 Fa. 25:26Yer 41:17, 18
2 Fa. 25:272 Fal. 24:8, 12; Yer 24:1; Mt 1:11
2 Fa. 25:27Yer 52:31-34
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wafalme 25:1-30

Cha Pili cha Wafalme

25 Katika mwaka wa kenda (9) wa utawala wa Sedekia, katika mwezi wa kumi (10), katika siku ya kumi ya mwezi huo, Mufalme Nebukadneza+ wa Babiloni alikuja pamoja na jeshi lake lote ili kushambulia Yerusalemu.+ Alipiga kambi juu yake na kujenga ukuta wa kuzunguka kwa ajili ya vita kuizunguka pande zote,+ 2 na muji ukazungukwa kwa ajili ya vita mupaka mwaka wa kumi na moja (11) wa utawala wa Mufalme Sedekia. 3 Katika siku ya kenda (9) ya mwezi wa ine (4) njaa ikakuwa kali+ katika muji, na hapakukuwa chakula kwa ajili ya watu wa inchi.+ 4 Ukuta wa muji ulitobolewa tundu kubwa,+ na maaskari wote wakakimbia usiku kupitia mulango mukubwa wenye kuwa kati ya zile kuta mbili karibu na bustani ya mufalme, wakati Wakaldayo walikuwa wanazunguka muji; na mufalme akaenda kupitia njia ya Araba.+ 5 Lakini jeshi la Wakaldayo likamufuatilia mufalme, na wakamufikia katika maeneo tambarare ya jangwa la Yeriko, na maaskari wake wote wakatawanyika na kutoka pembeni yake. 6 Kisha wakamukamata mufalme+ na kumuleta mupaka kwa mufalme wa Babiloni kule Ribla, na wakamuhukumu. 7 Wakaua wana wa Sedekia mbele ya macho yake; kisha Nebukadneza akapofusha macho ya Sedekia, akamufunga kwa pingu za shaba, na akamupeleka Babiloni.+

8 Katika mwezi wa tano (5), katika siku ya saba (7) ya mwezi huo, ni kusema, katika mwaka wa kumi na kenda (19) wa Mufalme Nebukadneza wa Babiloni, Nebuzaradani+ mukubwa wa walinzi, mutumishi wa mufalme wa Babiloni, alikuja Yerusalemu.+ 9 Akateketeza kabisa nyumba ya Yehova kwa moto,+ nyumba ya mufalme,+ na nyumba zote za Yerusalemu;+ akateketeza pia kwa moto nyumba ya kila mutu wa maana.+ 10 Na kuta zenye kuzunguka Yerusalemu zilibomolewa kabisa na jeshi lote la Wakaldayo lenye lilikuwa pamoja na mukubwa wa walinzi.+ 11 Nebuzaradani mukubwa wa walinzi akapeleka katika uhamisho watu wengine wenye walibakia wenye waliachwa katika muji, wale wenye walikimbia na kuenda kwa mufalme wa Babiloni, na watu wengine wenye walibakia.+ 12 Lakini mukubwa wa walinzi akaacha wamoja kati ya watu maskini sana wa inchi watumike wakiwa watunza-mizabibu na wafanyakazi wa kulazimishwa.+ 13 Na Wakaldayo wakavunja vipande-vipande zile nguzo za shaba+ za nyumba ya Yehova na yale magari+ na ile Bahari ya shaba+ vyenye vilikuwa katika nyumba ya Yehova, na wakapeleka shaba hiyo Babiloni.+ 14 Walikamata pia makopo, vipao,* vizimisha-moto, vikombe, na vyombo vyote vya shaba vyenye vilitumiwa katika utumishi wa hekalu. 15 Mukubwa wa walinzi alikamata vyetezo na mabakuli yenye yalikuwa ya zahabu+ na feza ya kweli.+ 16 Na zile nguzo mbili, ile Bahari, na yale magari yenye Sulemani alikuwa ametengeneza kwa ajili ya nyumba ya Yehova, shaba ya vyombo hivi vyote haingeweza kupimwa.+ 17 Kila nguzo ilikuwa na urefu wa mikono* kumi na munane (18),+ na kifuniko cha nguzo chenye kilikuwa juu yake kilikuwa cha shaba; na urefu wa kifuniko hicho ulikuwa wa mikono tatu (3), na wavu* na makomamanga kuzunguka kifuniko pande zote, vyote vilitengenezwa kwa shaba.+ Nguzo ya pili pamoja na wavu wake ilikuwa vilevile.

18 Mukubwa wa walinzi alikamata pia Seraya+ mukubwa wa makuhani, Sefania+ kuhani wa pili, na wale walinzi watatu (3) wa milango.+ 19 Na alikamata kutoka katika muji ofisa mumoja wa makao ya mufalme mwenye alikuwa musimamizi wa maaskari, watu tano (5) wenye walishirikiana kwa ukaribu na mufalme wenye walipatikana katika muji, na pia mwandishi wa mukubwa wa jeshi, mwenye kukusanya watu wa inchi, na watu makumi sita (60) kutoka kati ya watu wa kawaida wa inchi wenye walikuwa wangali katika muji. 20 Nebuzaradani+ mukubwa wa walinzi akawakamata na kuwapeleka kwa mufalme wa Babiloni kule Ribla.+ 21 Mufalme wa Babiloni akawapiga na kuwaua kule Ribla katika inchi ya Hamati.+ Basi Yuda wakaenda katika uhamisho kutoka katika inchi yao.+

22 Mufalme Nebukadneza wa Babiloni akamuweka Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ asimamie watu wenye aliacha katika inchi ya Yuda.+ 23 Wakati wakubwa wote wa jeshi na watu wao walisikia kwamba mufalme wa Babiloni alikuwa amemuweka Gedalia, mara moja wakaenda kwa Gedalia kule Mispa. Walikuwa Ishmaeli mwana wa Netania, Yohanani mwana wa Karea, Seraya mwana wa Tanhumeti Munetofa, na Yaazania mwana wa Mumaakati, pamoja na watu wao.+ 24 Gedalia akawaapia kiapo, wao pamoja na watu wao na akawaambia: “Musiogope kuwa watumishi wa Wakaldayo. Mukae katika inchi na mumutumikie mufalme wa Babiloni, na mambo yatakuwa muzuri kwenu.”+

25 Na katika mwezi wa saba (7), Ishmaeli+ mwana wa Netania mwana wa Elishama, mwenye alikuwa wa ukoo wa kifalme,* akakuja pamoja na watu wengine kumi (10), na wakamupiga Gedalia na akakufa, yeye pamoja na Wayahudi na Wakaldayo wenye walikuwa pamoja naye katika Mispa.+ 26 Kisha watu wote, kuanzia mudogo mupaka mukubwa, kutia ndani wakubwa wa jeshi, wakasimama na kuenda Misri,+ kwa maana waliogopa Wakaldayo.+

27 Na katika mwaka wa makumi tatu na saba (37) wa uhamisho wa Mufalme Yehoyakini+ wa Yuda, katika mwezi wa kumi na mbili (12), katika siku ya makumi mbili na saba (27) ya mwezi huo, Mufalme Evil-merodaki wa Babiloni, katika mwaka wenye alikuwa mufalme, akamuachilia huru* Mufalme Yehoyakini wa Yuda kutoka katika gereza.+ 28 Alisema naye kwa fazili na akaweka kiti chake cha ufalme juu zaidi kuliko viti vya wafalme wengine wenye walikuwa pamoja naye katika Babiloni. 29 Basi Yehoyakini akavua nguo zake za gereza, na alikuwa anakula kwa ukawaida mbele yake siku zote za maisha yake. 30 Alikuwa anapewa kwa ukawaida posho ya chakula kutoka kwa mufalme, siku kwa siku, siku zote za maisha yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine