Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Wafalme

      • Hezekia anatafuta musaada wa Mungu kupitia Isaya (1-7)

      • Senakeribu anaogopesha Yerusalemu (8-13)

      • Sala ya Hezekia (14-19)

      • Isaya anatoa jibu la Mungu (20-34)

      • Malaika anaua Waashuru elfu mia moja makumi munane na tano (35-37)

2 Wafalme 19:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 37:1-4

2 Wafalme 19:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba ya mufalme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:1

2 Wafalme 19:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “matusi.”

  • *

    Tnn., “wamefika kwenye mulango wa tumbo la uzazi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 26:17, 18

2 Wafalme 19:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:45; 2 Fal. 18:35
  • +2 Sa. 22:7; 2Nya 20:9; 32:20; Zab 50:15

2 Wafalme 19:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 37:5-7

2 Wafalme 19:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 20:3; Isa 41:10; 51:7
  • +2 Fal. 18:17

2 Wafalme 19:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “roho fulani ndani yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:21; Isa 37:37, 38

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 73

2 Wafalme 19:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:14
  • +Isa 37:8-13

2 Wafalme 19:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:17

2 Wafalme 19:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:15

2 Wafalme 19:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 17:5; 2Nya 32:10, 13; Isa 10:8-11

2 Wafalme 19:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 11:31

2 Wafalme 19:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 17:24; 18:33, 34

2 Wafalme 19:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akaitandika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:30; Isa 37:14-20

2 Wafalme 19:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “katikati ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:20
  • +Kut 25:22
  • +1Nya 29:10, 11

2 Wafalme 19:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:29; Zab 65:2
  • +2Nya 16:9; Da. 9:18

2 Wafalme 19:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 16:8, 9; 17:6, 24

2 Wafalme 19:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:29
  • +Yer 10:3

2 Wafalme 19:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 83:17, 18; Isa 45:5, 6

2 Wafalme 19:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 19:15
  • +Isa 37:21, 22

2 Wafalme 19:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 19:10
  • +2 Fal. 18:30; Isa 10:12, 13
  • +Isa 37:23-25

2 Wafalme 19:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:17
  • +2Nya 32:17; Isa 10:10, 11

2 Wafalme 19:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mifereji yote ya Muto Nile.”

2 Wafalme 19:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “lilifanywa.”

  • *

    Ao “nimelitengeneza.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 14:24
  • +Zab 33:11
  • +Isa 46:10
  • +Isa 10:5; 37:26, 27

2 Wafalme 19:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 40:7

2 Wafalme 19:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 5:21; Ebr 4:13
  • +Isa 37:28, 29

2 Wafalme 19:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “crochet.”

  • *

    Lijamu ni kipande cha chuma chenye kinawekwa kwenye kinywa cha munyama ili kumuongoza na kumuzuia.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 46:6; Isa 10:5, 15
  • +2 Fal. 18:35; Isa 10:12, 13
  • +Zab 32:9
  • +2 Fal. 19:33

2 Wafalme 19:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, Hezekia.

  • *

    Ao “mimea yenye ilichipuka kutokana na mbegu zenye zilianguka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 25:4-6
  • +Isa 37:30-32

2 Wafalme 19:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:22; Isa 10:20

2 Wafalme 19:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 59:17; Zek 1:14, 15

2 Wafalme 19:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 10:24
  • +2Nya 32:22
  • +Isa 37:33-35

2 Wafalme 19:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 31:5
  • +1 Sa. 12:22; Isa 43:25; Eze 36:22
  • +2 Fal. 20:6; Yer 23:5

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 145

2 Wafalme 19:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:21; Isa 31:8
  • +Kut 12:30; Isa 37:36-38

2 Wafalme 19:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yon 1:2
  • +2 Fal. 19:7, 28

2 Wafalme 19:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hekalu la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 32:21
  • +Mwa 8:4
  • +Ezr 4:2

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 73

Maandiko ingine

2 Fa. 19:1Isa 37:1-4
2 Fa. 19:2Isa 1:1
2 Fa. 19:3Isa 26:17, 18
2 Fa. 19:41 Sa. 17:45; 2 Fal. 18:35
2 Fa. 19:42 Sa. 22:7; 2Nya 20:9; 32:20; Zab 50:15
2 Fa. 19:5Isa 37:5-7
2 Fa. 19:6Kum 20:3; Isa 41:10; 51:7
2 Fa. 19:62 Fal. 18:17
2 Fa. 19:72Nya 32:21; Isa 37:37, 38
2 Fa. 19:82 Fal. 18:14
2 Fa. 19:8Isa 37:8-13
2 Fa. 19:92 Fal. 18:17
2 Fa. 19:102Nya 32:15
2 Fa. 19:112 Fal. 17:5; 2Nya 32:10, 13; Isa 10:8-11
2 Fa. 19:12Mwa 11:31
2 Fa. 19:132 Fal. 17:24; 18:33, 34
2 Fa. 19:141 Fal. 8:30; Isa 37:14-20
2 Fa. 19:152Nya 32:20
2 Fa. 19:15Kut 25:22
2 Fa. 19:151Nya 29:10, 11
2 Fa. 19:161 Fal. 8:29; Zab 65:2
2 Fa. 19:162Nya 16:9; Da. 9:18
2 Fa. 19:172 Fal. 16:8, 9; 17:6, 24
2 Fa. 19:18Isa 41:29
2 Fa. 19:18Yer 10:3
2 Fa. 19:19Zab 83:17, 18; Isa 45:5, 6
2 Fa. 19:202 Fal. 19:15
2 Fa. 19:20Isa 37:21, 22
2 Fa. 19:222 Fal. 19:10
2 Fa. 19:222 Fal. 18:30; Isa 10:12, 13
2 Fa. 19:22Isa 37:23-25
2 Fa. 19:232 Fal. 18:17
2 Fa. 19:232Nya 32:17; Isa 10:10, 11
2 Fa. 19:25Isa 14:24
2 Fa. 19:25Zab 33:11
2 Fa. 19:25Isa 46:10
2 Fa. 19:25Isa 10:5; 37:26, 27
2 Fa. 19:26Isa 40:7
2 Fa. 19:27Mez. 5:21; Ebr 4:13
2 Fa. 19:27Isa 37:28, 29
2 Fa. 19:28Zab 46:6; Isa 10:5, 15
2 Fa. 19:282 Fal. 18:35; Isa 10:12, 13
2 Fa. 19:28Zab 32:9
2 Fa. 19:282 Fal. 19:33
2 Fa. 19:29Law. 25:4-6
2 Fa. 19:29Isa 37:30-32
2 Fa. 19:302Nya 32:22; Isa 10:20
2 Fa. 19:31Isa 59:17; Zek 1:14, 15
2 Fa. 19:32Isa 10:24
2 Fa. 19:322Nya 32:22
2 Fa. 19:32Isa 37:33-35
2 Fa. 19:34Isa 31:5
2 Fa. 19:341 Sa. 12:22; Isa 43:25; Eze 36:22
2 Fa. 19:342 Fal. 20:6; Yer 23:5
2 Fa. 19:352Nya 32:21; Isa 31:8
2 Fa. 19:35Kut 12:30; Isa 37:36-38
2 Fa. 19:36Yon 1:2
2 Fa. 19:362 Fal. 19:7, 28
2 Fa. 19:372Nya 32:21
2 Fa. 19:37Mwa 8:4
2 Fa. 19:37Ezr 4:2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Wafalme 19:1-37

Cha Pili cha Wafalme

19 Wakati tu Mufalme Hezekia alisikia hilo, akapasua nguo zake na kuvaa nguo za magunia na kuingia katika nyumba ya Yehova.+ 2 Kisha akamutuma Eliakimu, mwenye alikuwa musimamizi wa nyumba,* Shebna mwandishi, na wazee wa makuhani, wakiwa wamevaa nguo za magunia, waende kwa nabii Isaya,+ mwana wa Amozi. 3 Wakamuambia: “Hezekia anasema hivi: ‘Leo ni siku ya taabu, ya kukemewa,* na ya haya; kwa maana watoto wako tayari ili kuzaliwa,* lakini hakuna nguvu za kuzaa.+ 4 Pengine Yehova Mungu wako atasikia maneno yote ya Rabshake, mwenye bwana wake mufalme wa Ashuru alituma ili kumuchokoza Mungu mwenye kuishi,+ na atamuomba atoe hesabu kwa ajili ya maneno yenye Yehova Mungu wako amesikia. Basi toa sala+ kwa ajili ya mabaki wenye wameokoka.’”

5 Basi watumishi wa Mufalme Hezekia wakaingia kwa Isaya,+ 6 na Isaya akawaambia: “Mumuambie bwana wenu, ‘Yehova anasema hivi: “Usiogope+ kwa sababu ya maneno yenye ulisikia, maneno yenye watumishi wa mufalme wa Ashuru walisema ili kunitukana.+ 7 Angalia, ninatia wazo fulani katika akili yake,* na atasikia habari fulani na kurudia katika inchi yake mwenyewe; na nitamuangusha kwa upanga katika inchi yake mwenyewe.”’”+

8 Kisha Rabshake kusikia kwamba mufalme wa Ashuru alikuwa ameondoka Lakishi,+ akarudia kwake na akamukuta akipigana na Libna.+ 9 Sasa mufalme akasikia ikisemwa hivi juu ya Tirhaka mufalme wa Etiopia: “Angalia, amekuja ili kupigana na wewe.” Basi akatuma wajumbe+ tena kwa Hezekia, kwa kusema: 10 “Mumuambie Mufalme Hezekia wa Yuda hivi: ‘Usiache Mungu wako mwenye unategemea akudanganye kwa kusema: “Yerusalemu haitatiwa katika mukono wa mufalme wa Ashuru.”+ 11 Angalia! Umesikia mambo yenye wafalme wa Ashuru walitendea inchi zote kwa kuziharibu.+ Je, wewe peke yako ndiye utaokolewa? 12 Je, miungu ya mataifa yenye mababu zangu waliharibu iliwaokoa? Gozani, Harani,+ Resefu, na watu wa Edeni wenye walikuwa Tel-asari wako wapi? 13 Iko* wapi mufalme wa Hamati, mufalme wa Arpadi, na mufalme wa miji ya Sefarvaimu, na wa Hena, na wa Iva?’”+

14 Hezekia akakamata barua hizo kutoka katika mukono wa wajumbe na akazisoma. Kisha Hezekia akapanda kuenda kwenye nyumba ya Yehova na akazitandika* mbele ya Yehova.+ 15 Na Hezekia akaanza kusali+ mbele ya Yehova na kusema: “Ee Yehova Mungu wa Israeli, mwenye kukaa akiwa mufalme juu ya* makerubi,+ wewe peke yako ndiye Mungu wa kweli wa falme zote za dunia.+ Uliumba mbingu na dunia. 16 Tega sikio lako, Ee Yehova, na usikie!+ Fungua macho yako,+ Ee Yehova, na uone! Sikia maneno yenye Senakeribu ametuma ili kumuchokoza Mungu mwenye kuishi. 17 Ee Yehova, ni kweli kwamba wafalme wa Ashuru wameharibu mataifa na inchi zao.+ 18 Na wametupa miungu yao katika moto, kwa sababu haikukuwa miungu+ lakini kazi ya mikono ya wanadamu,+ miti na majiwe. Ndiyo sababu waliweza kuiharibu. 19 Lakini sasa, Ee Yehova Mungu wetu, tafazali utuokoe kutoka katika mukono wake, ili falme zote za dunia zijue kwamba wewe peke yako ndiye Mungu, Ee Yehova.”+

20 Kisha Isaya mwana wa Amozi akamutumia Hezekia ujumbe huu: “Yehova Mungu wa Israeli anasema, ‘Nimesikia sala yako+ yenye umenitolea juu ya Mufalme Senakeribu wa Ashuru.+ 21 Hili ndilo neno lenye Yehova amesema juu yake:

“Bikira, binti ya Sayuni anakuzarau, anakuchekelea.

Binti ya Yerusalemu anakutikisia kichwa chake.

22 Umemuchokoza na kumutukana nani?+

Umepandisha sauti yako juu ya nani+

Na kuinua macho yako yenye majivuno?

Ni juu ya Mutakatifu wa Israeli!+

23 Kupitia wajumbe wako+ umemuchokoza Yehova+ na kusema,

‘Kwa wingi wa magari yangu ya vita

Nitapanda nafasi za juu za milima,

Sehemu za mbali sana za Lebanoni.

Nitakata mierezi yake mirefu, miti yake mizuri ya miberoshi.

Nitaingia mahali pake pa kupumuzikia penye kuwa mbali sana, mapori yake yenye miti mingi zaidi.

24 Nitachimba visima na kunywa maji mageni;

Nitakausha mito yote midogo* ya Misri kwa vikanyangio vya miguu yangu.’

25 Je, haujasikia? Tangu zamani sana jambo hilo liliamuliwa.*+

Tangu siku zenye zilipita nimelitayarisha.*+

Sasa nitalitimiza.+

Utafanya miji yenye ngome kuwa marundo ya mabomoko yenye ukiwa.+

26 Wakaaji wake watakuwa bila uwezo;

Wataogopeshwa sana na kupatishwa haya.

Watakuwa kama mimea ya shamba na majani ya mubichi,+

Kama majani ya sehemu za juu ya nyumba yenye yanakaushwa na upepo wa mashariki.

27 Lakini ninajua muzuri wakati unakaa, wakati unaenda inje, wakati unaingia ndani,+

Na wakati unanikasirikia sana,+

28 Kwa sababu kasirani yako kali juu yangu+ na mungurumo wako vimefika katika masikio yangu.+

Basi nitatia kulabu* yangu katika pua yako na lijamu* yangu+ katikati ya midomo yako,

Na nitakurudisha kupitia njia yenye ilikuleta.”+

29 “‘Na hii ndiyo itakuwa alama kwako:* Mwaka huu mutakula mimea yenye kujiotea;* na katika mwaka wa pili mutakula nafaka yenye kuchipuka kutokana na mimea hiyo;+ lakini katika mwaka wa tatu (3) mutapanda mbegu na kuvuna, na mutapanda mashamba ya mizabibu na kula matunda yake.+ 30 Watu wa nyumba ya Yuda wenye wataponyoka, wale wenye kubakia,+ watatia mizizi kuenda chini na watazaa matunda kuenda juu. 31 Kwa maana mabaki watatoka Yerusalemu na wenye kuokoka watatoka katika Mulima Sayuni. Bidii ya Yehova wa majeshi itatenda mambo hayo.+

32 “‘Kwa hiyo Yehova anasema hivi juu ya mufalme wa Ashuru:+

“Hataingia katika muji huu+

Wala kupiga mushale ndani yake

Wala kupigana nao akiwa na ngao

Wala kujenga boma la kuuzunguka kwa ajili ya vita.+

33 Atarudia kupitia njia yenye ilimuleta;

Hataingia katika muji huu,” ni vile Yehova anasema.

34 “Nitalinda muji huu+ na kuuokoa kwa ajili yangu mwenyewe+

Na kwa ajili ya mutumishi wangu Daudi.”’”+

35 Usiku uleule malaika wa Yehova alitoka na akapiga na kuua watu elfu mia moja makumi munane na tano (185 000) katika kambi ya Waashuru.+ Wakati watu waliamuka asubui sana, wakaona maiti zote.+ 36 Basi Mufalme Senakeribu wa Ashuru akaondoka na kurudia Ninawi+ na akabakia kule.+ 37 Na wakati alikuwa anainama katika nyumba ya* Nisroki mungu wake, wana wake mwenyewe Adrameleki na Shareza walimupiga na kumuua kwa upanga+ na kisha wakakimbilia katika inchi ya Ararati.+ Na Esar-hadoni mwana wake+ akakuwa mufalme pa nafasi yake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine