Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Kuanzia Adamu mupaka Abrahamu (1-27)

      • Wazao wa Abrahamu (28-37)

      • Waedomu na wafalme wao na mashehe wao (38-54)

1 Mambo ya Nyakati 1:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 4:25

1 Mambo ya Nyakati 1:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 5:12, 15
  • +Mwa 5:18

1 Mambo ya Nyakati 1:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ebr 11:5
  • +Mwa 5:25, 28

1 Mambo ya Nyakati 1:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 5:29
  • +Mwa 11:10
  • +Mwa 6:10

1 Mambo ya Nyakati 1:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 66:19
  • +Eze 27:13
  • +Mwa 10:2

1 Mambo ya Nyakati 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:3; Eze 27:14

1 Mambo ya Nyakati 1:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:11
  • +Mwa 10:6

1 Mambo ya Nyakati 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 72:10
  • +Eze 27:22
  • +Mwa 10:7

1 Mambo ya Nyakati 1:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:8, 9

1 Mambo ya Nyakati 1:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 46:9
  • +Mwa 10:13, 14

1 Mambo ya Nyakati 1:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 29:14
  • +Yosh. 13:2, 3
  • +Kum 2:23; Amo 9:7

1 Mambo ya Nyakati 1:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 23:2
  • +Mwa 10:15-18

1 Mambo ya Nyakati 1:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 1:21
  • +Mwa 15:16; Hes 13:29; Kum 3:8
  • +Kum 7:1

1 Mambo ya Nyakati 1:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 9:3, 7

1 Mambo ya Nyakati 1:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 27:11

1 Mambo ya Nyakati 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Wenye kufuata ni wana wa Aramu. Angalia Mwa 10:23.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 4:9
  • +Eze 27:23
  • +Mwa 10:22, 23

1 Mambo ya Nyakati 1:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 11:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2005, uku. 8-9

1 Mambo ya Nyakati 1:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Maana yake “Mugawanyiko.”

  • *

    Ao “watu wa dunia walikuwa wamegawanyika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 11:19

1 Mambo ya Nyakati 1:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:26-29

1 Mambo ya Nyakati 1:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:28
  • +Mwa 2:11; 25:18

1 Mambo ya Nyakati 1:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 11:19
  • +Mwa 11:21

1 Mambo ya Nyakati 1:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 11:23
  • +Mwa 11:25
  • +Mwa 11:26

1 Mambo ya Nyakati 1:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 17:5

1 Mambo ya Nyakati 1:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 21:3
  • +Mwa 16:11, 12

1 Mambo ya Nyakati 1:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 28:9
  • +Eze 27:21
  • +Mwa 25:13-15

1 Mambo ya Nyakati 1:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 25:1-4
  • +Mwa 37:28
  • +Yob 2:11
  • +Isa 21:13

1 Mambo ya Nyakati 1:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 60:6

1 Mambo ya Nyakati 1:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 7:8
  • +Mwa 25:25
  • +Mwa 32:28

1 Mambo ya Nyakati 1:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:4, 5

1 Mambo ya Nyakati 1:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Oba 9
  • +Mwa 36:11, 12

1 Mambo ya Nyakati 1:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:13

1 Mambo ya Nyakati 1:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:8
  • +Mwa 36:20, 21

1 Mambo ya Nyakati 1:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:22

1 Mambo ya Nyakati 1:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:23, 24

1 Mambo ya Nyakati 1:41

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wana.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:25, 26

1 Mambo ya Nyakati 1:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 1:38
  • +Mwa 36:27, 28

1 Mambo ya Nyakati 1:43

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana wa Israeli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 32:3
  • +Mwa 36:31-39

1 Mambo ya Nyakati 1:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 49:13

1 Mambo ya Nyakati 1:46

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “shamba.”

1 Mambo ya Nyakati 1:51

Maelezo ya Chini

  • *

    Shehe alikuwa mukubwa wa kabila.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:40-43

Maandiko ingine

1 Nya. 1:1Mwa 4:25
1 Nya. 1:2Mwa 5:12, 15
1 Nya. 1:2Mwa 5:18
1 Nya. 1:3Ebr 11:5
1 Nya. 1:3Mwa 5:25, 28
1 Nya. 1:4Mwa 5:29
1 Nya. 1:4Mwa 11:10
1 Nya. 1:4Mwa 6:10
1 Nya. 1:5Mwa 10:2
1 Nya. 1:5Isa 66:19
1 Nya. 1:5Eze 27:13
1 Nya. 1:6Mwa 10:3; Eze 27:14
1 Nya. 1:8Isa 11:11
1 Nya. 1:8Mwa 10:6
1 Nya. 1:9Zab 72:10
1 Nya. 1:9Eze 27:22
1 Nya. 1:9Mwa 10:7
1 Nya. 1:10Mwa 10:8, 9
1 Nya. 1:11Yer 46:9
1 Nya. 1:11Mwa 10:13, 14
1 Nya. 1:12Eze 29:14
1 Nya. 1:12Yosh. 13:2, 3
1 Nya. 1:12Kum 2:23; Amo 9:7
1 Nya. 1:13Isa 23:2
1 Nya. 1:13Mwa 10:15-18
1 Nya. 1:14Amu 1:21
1 Nya. 1:14Mwa 15:16; Hes 13:29; Kum 3:8
1 Nya. 1:14Kum 7:1
1 Nya. 1:15Yosh. 9:3, 7
1 Nya. 1:16Eze 27:11
1 Nya. 1:17Ezr 4:9
1 Nya. 1:17Eze 27:23
1 Nya. 1:17Mwa 10:22, 23
1 Nya. 1:18Mwa 11:14
1 Nya. 1:19Mwa 11:19
1 Nya. 1:20Mwa 10:26-29
1 Nya. 1:231 Fal. 9:28
1 Nya. 1:23Mwa 2:11; 25:18
1 Nya. 1:25Mwa 11:19
1 Nya. 1:25Mwa 11:21
1 Nya. 1:26Mwa 11:23
1 Nya. 1:26Mwa 11:25
1 Nya. 1:26Mwa 11:26
1 Nya. 1:27Mwa 17:5
1 Nya. 1:28Mwa 21:3
1 Nya. 1:28Mwa 16:11, 12
1 Nya. 1:29Mwa 28:9
1 Nya. 1:29Eze 27:21
1 Nya. 1:29Mwa 25:13-15
1 Nya. 1:32Mwa 25:1-4
1 Nya. 1:32Mwa 37:28
1 Nya. 1:32Yob 2:11
1 Nya. 1:32Isa 21:13
1 Nya. 1:33Isa 60:6
1 Nya. 1:34Mdo 7:8
1 Nya. 1:34Mwa 25:25
1 Nya. 1:34Mwa 32:28
1 Nya. 1:35Mwa 36:4, 5
1 Nya. 1:36Oba 9
1 Nya. 1:36Mwa 36:11, 12
1 Nya. 1:37Mwa 36:13
1 Nya. 1:38Mwa 36:8
1 Nya. 1:38Mwa 36:20, 21
1 Nya. 1:39Mwa 36:22
1 Nya. 1:40Mwa 36:23, 24
1 Nya. 1:41Mwa 36:25, 26
1 Nya. 1:421Nya 1:38
1 Nya. 1:42Mwa 36:27, 28
1 Nya. 1:43Mwa 32:3
1 Nya. 1:43Mwa 36:31-39
1 Nya. 1:44Yer 49:13
1 Nya. 1:51Mwa 36:40-43
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 1:1-54

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

1 Adamu,

Seti,+

Enoshi,

2 Kenani,

Mahalaleli,+

Yaredi,+

3 Enoko,+

Metusela,

Lameki,+

4 Noa,+

Shemu,+ Hamu, na Yafeti.+

5 Wana wa Yafeti walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali,+ Mesheki,+ na Tirasi.+

6 Wana wa Gomeri walikuwa Ashkenazi, Rifati, na Togarma.+

7 Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Rodanimu.

8 Wana wa Hamu walikuwa Kushi,+ Misraimu, Putu, na Kanaani.+

9 Wana wa Kushi walikuwa Seba,+ Havila, Sabta, Raama,+ na Sabteka.

Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.+

10 Kushi akamuzaa Nimrodi.+ Alikuwa wa kwanza kuwa mutu mwenye nguvu katika dunia.

11 Misraimu akamuzaa Ludimu,+ Anamimu, Lehabimu, Naftuhimu,+ 12 Patrusimu,+ Kasluhimu (wenye Wafilisti+ walitokana nao), na Kaftorimu.+

13 Kanaani akamuzaa Sidoni,+ muzaliwa wake wa kwanza, na Heti,+ 14 na pia Muyebusi,+ Mwamori,+ Mugirgashi,+ 15 Muhivi,+ Mwarkia, Musini, 16 Mwarvadi,+ Musemari, na Muhamati.

17 Wana wa Shemu walikuwa Elamu,+ Asihuru,+ Arpakshadi, Ludi, na Aramu,

na* Usi, Huli, Geteri, na Mashi.+

18 Arpakshadi akamuzaa Shela,+ na Shela akamuzaa Eberi.

19 Eberi alizaa wana wawili. Jina la mumoja lilikuwa Pelegi,*+ kwa sababu wakati wa maisha yake dunia ilikuwa imegawanyika.* Jina la ndugu yake lilikuwa Yoktani.

20 Yoktani akamuzaa Almodadi, Shelefu, Hazarmaveti, Yera,+ 21 Hadoramu, Uzali, Dikla, 22 Obali, Abimaeli, Sheba, 23 Ofiri,+ Havila,+ na Yobabu; wote hao walikuwa wana wa Yoktani.

24 Shemu,

Arpakshadi,

Shela,

25 Eberi,

Pelegi,+

Reu,+

26 Serugi,+

Nahori,+

Tera,+

27 Abramu, ni kusema, Abrahamu.+

28 Wana wa Abrahamu walikuwa Isaka+ na Ishmaeli.+

29 Hizi ndizo asili za familia zao: muzaliwa wa kwanza wa Ishmaeli alikuwa Nebayoti,+ kisha Kedari,+ Adbeeli, Mibsamu,+ 30 Mishma, Duma, Masa, Hadadi, Tema, 31 Yeturi, Nafishi, na Kedema. Hao ndio walikuwa wana wa Ishmaeli.

32 Wana wenye Ketura,+ suria* wa Abrahamu alizaa, walikuwa Zimrani, Yokshani, Medani, Midiani,+ Ishbaki, na Shua.+

Wana wa Yokshani walikuwa Sheba na Dedani.+

33 Wana wa Midiani walikuwa Efa,+ Eferi, Hanoki, Abida, na Eldaa.

Hao wote walikuwa wana wa Ketura.

34 Abrahamu akamuzaa Isaka.+ Wana wa Isaka walikuwa Esau+ na Israeli.+

35 Wana wa Esau walikuwa Elifazi, Reueli, Yeushi, Yalamu, na Kora.+

36 Wana wa Elifazi walikuwa Temani,+ Omari, Sefo, Gatamu, Kenasi, Timna, na Amaleki.+

37 Wana wa Reueli walikuwa Nahati, Zera, Shamma, na Miza.+

38 Wana wa Seiri+ walikuwa Lotani, Shobali, Sibeoni, Ana, Dishoni, Ezeri, na Dishani.+

39 Wana wa Lotani walikuwa Hori na Homamu. Dada ya Lotani alikuwa Timna.+

40 Wana wa Shobali walikuwa Alvani, Manahati, Ebali, Shefo, na Onamu.

Wana wa Sibeoni walikuwa Aya na Ana.+

41 Mwana* wa Ana alikuwa Dishoni.

Wana wa Dishoni walikuwa Hemdani, Eshbani, Itrani, na Kerani.+

42 Wana wa Ezeri+ walikuwa Bilhani, Zaavani, na Akani.

Wana wa Dishani walikuwa Usi na Arani.+

43 Hawa ndio wafalme wenye walitawala katika inchi ya Edomu+ mbele ya mufalme yeyote kutawala juu ya Waisraeli:*+ Bela mwana wa Beori; jina la muji wake lilikuwa Dinhaba. 44 Wakati Bela alikufa, Yobabu mwana wa Zera kutoka Bosra+ akaanza kutawala pa nafasi yake. 45 Wakati Yobabu alikufa, Hushamu kutoka katika inchi ya Watemani akaanza kutawala pa nafasi yake. 46 Wakati Hushamu alikufa, Hadadi mwana wa Bedadi, mwenye alishinda Midiani katika eneo* la Moabu, akaanza kutawala pa nafasi yake. Jina la muji wake lilikuwa Aviti. 47 Wakati Hadadi alikufa, Samla kutoka Masreka akaanza kutawala pa nafasi yake. 48 Wakati Samla alikufa, Shauli kutoka Rehoboti pembeni ya ule Muto akaanza kutawala pa nafasi yake. 49 Wakati Shauli alikufa, Baal-hanani mwana wa Akbori akaanza kutawala pa nafasi yake. 50 Wakati Baal-hanani alikufa, Hadadi akaanza kutawala pa nafasi yake. Jina la muji wake lilikuwa Pau, na jina la bibi yake lilikuwa Mehetabeli binti ya Matredi, binti ya Mezahabu. 51 Kisha Hadadi akakufa.

Mashehe* wa Edomu walikuwa Shehe Timna, Shehe Alva, Shehe Yeteti,+ 52 Shehe Oholibama, Shehe Ela, Shehe Pinoni, 53 Shehe Kenasi, Shehe Temani, Shehe Mibsari, 54 Shehe Magdieli, na Shehe Iramu. Hao ndio walikuwa mashehe wa Edomu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine