Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 2
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Wana kumi na mbili wa Israeli (1, 2)

      • Wazao wa Yuda (3-55)

1 Mambo ya Nyakati 2:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 32:28
  • +Mwa 29:32; 49:3, 4
  • +Mwa 29:33
  • +Mwa 29:34; 49:5-7
  • +Mwa 29:35; 49:8-12; Ebr 7:14
  • +Mwa 30:18; 49:14, 15
  • +Mwa 30:20; 49:13

1 Mambo ya Nyakati 2:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 30:4-6; 49:16-18
  • +Mwa 30:22, 24; 49:22-26
  • +Mwa 35:16, 18; 49:27
  • +Mwa 30:7, 8; 49:21
  • +Mwa 30:9-11; 49:19
  • +Mwa 30:12, 13; 49:20

1 Mambo ya Nyakati 2:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 38:2-5
  • +Mwa 38:7

1 Mambo ya Nyakati 2:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 38:11
  • +Lu 3:23, 33

1 Mambo ya Nyakati 2:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 26:21

1 Mambo ya Nyakati 2:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wana.”

  • *

    Maana yake “Mwenye Kuleta Musiba; Mwenye Kuleta Kutengwa.” Katika Yos 7:1, anaitwa pia Akani.

  • *

    Ao “taabu; kutengwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 7:15, 18
  • +Kum 7:26; Yosh. 6:18; 22:20

1 Mambo ya Nyakati 2:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wana.”

1 Mambo ya Nyakati 2:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Kalebu katika mustari wa 18, 19, na 42.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 27:10
  • +Ru 4:19-21; Mt 1:3

1 Mambo ya Nyakati 2:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 1:4, 5
  • +Hes 2:3

1 Mambo ya Nyakati 2:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 3:23, 32
  • +Ru 2:1

1 Mambo ya Nyakati 2:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ru 4:17, 22; 1 Sa. 16:1

1 Mambo ya Nyakati 2:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:13
  • +1 Sa. 16:6-10

1 Mambo ya Nyakati 2:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:13; 17:12; Mt 1:6

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/10/2005, uku. 9

    15/9/2002, uku. 31

1 Mambo ya Nyakati 2:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 17:25
  • +2 Sa. 21:17; 23:18, 19
  • +2 Sa. 8:16; 1Nya 11:6
  • +2 Sa. 2:18; 3:30; 23:24

1 Mambo ya Nyakati 2:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 19:13; 1 Fal. 2:5

1 Mambo ya Nyakati 2:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa pia Kelubai katika mustari wa 9.

1 Mambo ya Nyakati 2:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 4:4
  • +Kut 17:12; 24:14

1 Mambo ya Nyakati 2:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 31:2-5; 36:1; 37:1

1 Mambo ya Nyakati 2:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 50:23; 1Nya 7:14
  • +Hes 26:29; Yosh. 17:1

1 Mambo ya Nyakati 2:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:14; Yosh. 13:29, 30
  • +Hes 32:40, 41

1 Mambo ya Nyakati 2:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “miji yake yenye kuzunguka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:3; 13:38
  • +2 Sa. 8:6
  • +1 Fal. 4:13
  • +Hes 32:42

1 Mambo ya Nyakati 2:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 46:12
  • +1Nya 4:5
  • +Ne 3:5

1 Mambo ya Nyakati 2:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Wana.”

  • *

    Tnn., “wana.”

  • *

    Tnn., “wana.”

1 Mambo ya Nyakati 2:42

Maelezo ya Chini

  • *

    Anaitwa Kelubai katika mustari wa 9.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 2:9

1 Mambo ya Nyakati 2:45

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:20, 58; Ne 3:16

1 Mambo ya Nyakati 2:46

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

1 Mambo ya Nyakati 2:48

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

1 Mambo ya Nyakati 2:49

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:21, 31
  • +Yosh. 15:20, 57
  • +1Nya 2:18
  • +Yosh. 15:16, 17

1 Mambo ya Nyakati 2:50

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:12; 24:14
  • +1Nya 2:19
  • +Yosh. 15:9, 12; 1Nya 13:5

1 Mambo ya Nyakati 2:51

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 35:19; Yoh 7:42

1 Mambo ya Nyakati 2:53

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 11:10, 40
  • +1Nya 4:2
  • +Yosh. 15:20, 33

1 Mambo ya Nyakati 2:54

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 35:19; Mt 2:1

1 Mambo ya Nyakati 2:55

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amu 1:16; 4:11; 1 Sa. 15:6
  • +2 Fal. 10:15; Yer 35:6, 19

Maandiko ingine

1 Nya. 2:1Mwa 32:28
1 Nya. 2:1Mwa 29:32; 49:3, 4
1 Nya. 2:1Mwa 29:33
1 Nya. 2:1Mwa 29:34; 49:5-7
1 Nya. 2:1Mwa 29:35; 49:8-12; Ebr 7:14
1 Nya. 2:1Mwa 30:18; 49:14, 15
1 Nya. 2:1Mwa 30:20; 49:13
1 Nya. 2:2Mwa 30:4-6; 49:16-18
1 Nya. 2:2Mwa 30:22, 24; 49:22-26
1 Nya. 2:2Mwa 35:16, 18; 49:27
1 Nya. 2:2Mwa 30:7, 8; 49:21
1 Nya. 2:2Mwa 30:9-11; 49:19
1 Nya. 2:2Mwa 30:12, 13; 49:20
1 Nya. 2:3Mwa 38:2-5
1 Nya. 2:3Mwa 38:7
1 Nya. 2:4Mwa 38:11
1 Nya. 2:4Lu 3:23, 33
1 Nya. 2:5Hes 26:21
1 Nya. 2:7Yosh. 7:15, 18
1 Nya. 2:7Kum 7:26; Yosh. 6:18; 22:20
1 Nya. 2:91 Sa. 27:10
1 Nya. 2:9Ru 4:19-21; Mt 1:3
1 Nya. 2:10Mt 1:4, 5
1 Nya. 2:10Hes 2:3
1 Nya. 2:11Lu 3:23, 32
1 Nya. 2:11Ru 2:1
1 Nya. 2:12Ru 4:17, 22; 1 Sa. 16:1
1 Nya. 2:131 Sa. 16:6-10
1 Nya. 2:131 Sa. 17:13
1 Nya. 2:151 Sa. 16:13; 17:12; Mt 1:6
1 Nya. 2:162 Sa. 17:25
1 Nya. 2:162 Sa. 21:17; 23:18, 19
1 Nya. 2:162 Sa. 8:16; 1Nya 11:6
1 Nya. 2:162 Sa. 2:18; 3:30; 23:24
1 Nya. 2:172 Sa. 19:13; 1 Fal. 2:5
1 Nya. 2:191Nya 4:4
1 Nya. 2:19Kut 17:12; 24:14
1 Nya. 2:20Kut 31:2-5; 36:1; 37:1
1 Nya. 2:21Mwa 50:23; 1Nya 7:14
1 Nya. 2:21Hes 26:29; Yosh. 17:1
1 Nya. 2:22Kum 3:14; Yosh. 13:29, 30
1 Nya. 2:22Hes 32:40, 41
1 Nya. 2:232 Sa. 3:3; 13:38
1 Nya. 2:232 Sa. 8:6
1 Nya. 2:231 Fal. 4:13
1 Nya. 2:23Hes 32:42
1 Nya. 2:24Mwa 46:12
1 Nya. 2:241Nya 4:5
1 Nya. 2:24Ne 3:5
1 Nya. 2:421Nya 2:9
1 Nya. 2:45Yosh. 15:20, 58; Ne 3:16
1 Nya. 2:49Yosh. 15:21, 31
1 Nya. 2:49Yosh. 15:20, 57
1 Nya. 2:491Nya 2:18
1 Nya. 2:49Yosh. 15:16, 17
1 Nya. 2:50Kut 17:12; 24:14
1 Nya. 2:501Nya 2:19
1 Nya. 2:50Yosh. 15:9, 12; 1Nya 13:5
1 Nya. 2:51Mwa 35:19; Yoh 7:42
1 Nya. 2:531Nya 11:10, 40
1 Nya. 2:531Nya 4:2
1 Nya. 2:53Yosh. 15:20, 33
1 Nya. 2:54Mwa 35:19; Mt 2:1
1 Nya. 2:55Amu 1:16; 4:11; 1 Sa. 15:6
1 Nya. 2:552 Fal. 10:15; Yer 35:6, 19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
  • 48
  • 49
  • 50
  • 51
  • 52
  • 53
  • 54
  • 55
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 2:1-55

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

2 Hawa ndio walikuwa wana wa Israeli:+ Rubeni,+ Simeoni,+ Lawi,+ Yuda,+ Isakari,+ Zabuloni,+ 2 Dani,+ Yosefu,+ Benyamini,+ Naftali,+ Gadi,+ na Asheri.+

3 Wana wa Yuda walikuwa Eri, Onani, na Shela. Binti ya Shua, mwanamuke Mukanaani,+ ndiye alimuzalia hao watatu (3). Lakini Eri, muzaliwa wa kwanza wa Yuda, hakumupendeza Yehova, kwa hiyo Yeye akamuua.+ 4 Tamari,+ binti-mukwe wa Yuda, alimuzalia Perezi+ na Zera. Wana wote wenye Yuda alikuwa nao walikuwa tano (5).

5 Wana wa Perezi walikuwa Hezroni na Hamuli.+

6 Wana wa Zera walikuwa Zimri, Etani, Hemani, Kalkoli, na Dara. Wote walikuwa tano (5).

7 Mwana* wa Karmi alikuwa Akari,* mwenye aliletea Israeli musiba,*+ mwenye alikosa uaminifu kuhusiana na kitu chenye kilikuwa kimewekwa kwa ajili ya uharibifu.+

8 Mwana* wa Etani alikuwa Azaria.

9 Wana wa Hezroni wenye walizaliwa kwake walikuwa Yerahmeeli,+ Ramu,+ na Kelubai.*

10 Ramu akamuzaa Aminadabu.+ Aminadabu akamuzaa Nashoni+ mukubwa wa wazao wa Yuda. 11 Nashoni akamuzaa Salma.+ Salma akamuzaa Boazi.+ 12 Boazi akazaa Obedi. Obedi akamuzaa Yese.+ 13 Yese akamuzaa muzaliwa wake wa kwanza Eliabu, wa pili Abinadabu,+ wa tatu (3) Shimea,+ 14 wa ine (4) Netaneli, wa tano (5) Radai, 15 wa sita (6) Ozemu, na wa saba (7) Daudi.+ 16 Dada zao walikuwa Seruya na Abigaili.+ Wana wa Seruya walikuwa Abishai,+ Yoabu,+ na Asaheli,+ watatu (3). 17 Abigaili akamuzaa Amasa,+ na baba ya Amasa alikuwa Yeteri Mwishmaeli.

18 Kalebu* mwana wa Hezroni akazaa wana kupitia Azuba bibi yake na kupitia Yerioti; na hawa ndio walikuwa wana wake: Yesheri, Shobabu, na Ardoni. 19 Wakati Azuba alikufa, Kalebu alimuoa Efrati,+ na akamuzalia Huru.+ 20 Huru akamuzaa Uri. Uri akamuzaa Bezaleli.+

21 Kisha Hezroni akalala na binti ya Makiri+ baba ya Gileadi.+ Alimuoa wakati alikuwa na miaka makumi sita (60), na akamuzalia Segubu. 22 Segubu akamuzaa Yairi,+ mwenye alikuwa na miji makumi mbili na tatu (23) katika inchi ya Gileadi.+ 23 Kisha wakati fulani Geshuri+ na Siria+ wakakamata Hawot-yairi+ kutoka kwao, pamoja na Kenati+ na miji yake ya pembeni-pembeni,* miji makumi sita (60). Wote hao walikuwa wazao wa Makiri baba ya Gileadi.

24 Kisha kifo cha Hezroni+ katika Kalebu-efrata, Abiya bibi ya Hezroni akamuzalia Ashuri,+ baba ya Tekoa.+

25 Wana wa Yerahmeeli muzaliwa wa kwanza wa Hezroni walikuwa Ramu muzaliwa wa kwanza, Buna, Oreni, Ozemu, na Ahiya. 26 Yerahmeeli alikuwa na bibi mwingine, mwenye jina lake lilikuwa Atara. Alikuwa mama ya Onamu. 27 Wana wa Ramu muzaliwa wa kwanza wa Yerahmeeli walikuwa Maazi, Yamini, na Ekeri. 28 Wana wa Onamu walikuwa Shamai na Yada. Wana wa Shamai walikuwa Nadabu na Abishuri. 29 Jina la bibi ya Abishuri lilikuwa Abihaili, mwenye alimuzalia Abani na Molidi. 30 Wana wa Nadabu walikuwa Seledi na Apaimu. Lakini Seledi alikufa bila kuwa na wana. 31 Mwana* wa Apaimu alikuwa Ishi. Na mwana* wa Ishi alikuwa Sheshani, na mwana* wa Sheshani alikuwa Alai. 32 Wana wa Yada ndugu ya Shamai walikuwa Yeteri na Yonatani. Lakini Yeteri alikufa bila kuwa na wana. 33 Wana wa Yonatani walikuwa Peleti na Zaza. Hao ndio walikuwa wazao wa Yerahmeeli.

34 Sheshani hakukuwa na watoto wanaume, alikuwa na watoto wanamuke tu. Sasa Sheshani alikuwa na mutumishi Mumisri mwenye jina lake lilikuwa Yarha. 35 Sheshani akamutoa binti yake akuwe bibi ya Yarha mutumishi wake, na akamuzalia Atai. 36 Atai akamuzaa Natani. Natani akamuzaa Zabadi. 37 Zabadi akamuzaa Eflali. Eflali akamuzaa Obedi. 38 Obedi akamuzaa Yehu. Yehu akamuzaa Azaria. 39 Azaria akamuzaa Helezi. Helezi akamuzaa Eleasa. 40 Eleasa akamuzaa Sismai. Sismai akamuzaa Shalumu. 41 Shalumu akamuzaa Yekamia. Yekamia akamuzaa Elishama.

42 Wana wa Kalebu*+ ndugu ya Yerahmeeli walikuwa Mesha muzaliwa wake wa kwanza, mwenye alikuwa baba ya Zifu, na wana wa Maresha baba ya Hebroni. 43 Wana wa Hebroni walikuwa Kora, Tapua, Rekemu, na Shema. 44 Shema akamuzaa Rahamu baba ya Yorkeamu. Rekemu akamuzaa Shamai. 45 Mwana wa Shamai alikuwa Maoni. Maoni alikuwa baba ya Bet-suri.+ 46 Efa suria* wa Kalebu alimuzaa Harani, Mosa, na Gazezi. Harani akamuzaa Gazezi. 47 Wana wa Yahdai walikuwa Regemu, Yotamu, Geshani, Peleti, Efa, na Shaafu. 48 Maaka suria* wa Kalebu alizaa Sheberi na Tirhana. 49 Kisha wakati fulani akazaa Shaafu baba ya Madmana+ na Sheva baba ya Makbena na Gibea.+ Binti ya Kalebu+ alikuwa Aksa.+ 50 Hao ndio walikuwa wazao wa Kalebu.

Wana wa Huru+ muzaliwa wa kwanza wa Efrata+ walikuwa Shobali baba ya Kiriat-yearimu,+ 51 Salma baba ya Betlehemu,+ na Harefu baba ya Bet-gaderi. 52 Shobali baba ya Kiriat-yearimu alikuwa na wana: Haroe na nusu ya Wamenuhoti. 53 Familia za Kiriat-yearimu zilikuwa Waitri,+ Waputu, Washumati, na Wamishra. Wasorati+ na Waeshtaoli+ walitoka kwa hao. 54 Wana wa Salma walikuwa Betlehemu,+ Wanetofa, Atrot-bet-yoabu, na nusu ya Wamanahati, na Wazori. 55 Familia za waandishi wenye waliishi Yabesi zilikuwa Watirati, Washimea, na Wasukati. Hao walikuwa Wakeni+ wazao wa Hamati baba wa nyumba ya Rekabu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine