Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Raba inakamatwa (1-3)

      • Wafilisti wenye ukubwa wa ajabu wanauawa (4-8)

1 Mambo ya Nyakati 20:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, katika kipindi cha mvua ya mwisho.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 11:6
  • +Kum 3:11
  • +2 Sa. 11:1
  • +2 Sa. 12:26

1 Mambo ya Nyakati 20:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Karibu kilograme 34.2 (aunsi troi 1.101). Angalia Nyongeza B14.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 8:11, 12; 12:30, 31

1 Mambo ya Nyakati 20:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:20, 21

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/2/2005, uku. 27

1 Mambo ya Nyakati 20:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 21:18; 1Nya 11:26, 29
  • +Kum 3:13

1 Mambo ya Nyakati 20:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:4, 7; 21:9
  • +2 Sa. 21:19; 1Nya 11:23, 24

1 Mambo ya Nyakati 20:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 11:22; 1 Sa. 7:14
  • +Hes 13:33; Kum 2:10; 3:11
  • +2 Sa. 21:16, 20-22

1 Mambo ya Nyakati 20:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:10; 2 Fal. 19:22
  • +1Nya 2:13

1 Mambo ya Nyakati 20:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 2:11
  • +1 Sa. 17:4

Maandiko ingine

1 Nya. 20:11Nya 11:6
1 Nya. 20:1Kum 3:11
1 Nya. 20:12 Sa. 11:1
1 Nya. 20:12 Sa. 12:26
1 Nya. 20:22 Sa. 8:11, 12; 12:30, 31
1 Nya. 20:31 Fal. 9:20, 21
1 Nya. 20:42 Sa. 21:18; 1Nya 11:26, 29
1 Nya. 20:4Kum 3:13
1 Nya. 20:51 Sa. 17:4, 7; 21:9
1 Nya. 20:52 Sa. 21:19; 1Nya 11:23, 24
1 Nya. 20:6Yosh. 11:22; 1 Sa. 7:14
1 Nya. 20:6Hes 13:33; Kum 2:10; 3:11
1 Nya. 20:62 Sa. 21:16, 20-22
1 Nya. 20:71 Sa. 17:10; 2 Fal. 19:22
1 Nya. 20:71Nya 2:13
1 Nya. 20:8Kum 2:11
1 Nya. 20:81 Sa. 17:4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 20:1-8

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

20 Kwenye mwanzo wa mwaka,* wakati wafalme wanaenda katika mapambano ya kijeshi, Yoabu+ akaongoza wanajeshi katika vita na akaharibu inchi ya Waamoni; akakuja na kuzunguka Raba kwa ajili ya vita,+ wakati Daudi alibakia katika Yerusalemu.+ Yoabu akashambulia Raba na kuibomoa.+ 2 Kisha Daudi akaondoa taji la Malkamu kutoka kwenye kichwa chake, na akapata kwamba lilikuwa na uzito wa talanta moja* ya zahabu, na ndani yake mulikuwa majiwe yenye samani; na taji hilo likawekwa juu ya kichwa cha Daudi. Akachukua pia vitu vingi sana katika muji huo.+ 3 Na akapeleka inje watu wenye walikuwa ndani yake na akawaweka kwenye kazi+ ya kukata majiwe kwa misumeno na kufanya kazi kwa vyombo vya chuma vyenye makali na kwa mashoka. Ni vile Daudi alifanyia miji yote ya Waamoni. Mwishowe Daudi na maaskari wote wakarudia Yerusalemu.

4 Kisha, vita ikatokea katika Gezeri pamoja na Wafilisti. Wakati huo Sibekai+ Muhusha akamupiga na kumuua Sipai, mwenye alikuwa muzao wa Warefaimu,+ na wakatiishwa.

5 Na kukakuwa tena vita pamoja na Wafilisti, na Elhanani mwana wa Yairi akamupiga na kumuua Lahmi ndugu ya Goliati+ Mugati, mwenye mukuki wake ulikuwa na mupini kama muti wa wasukaji wa nguo.+

6 Vita ikatokea tena katika Gati,+ kwenye kulikuwa mwanaume mumoja mwenye alikuwa na ukubwa wa ajabu;+ alikuwa na vidole sita (6) kwenye kila mukono na vidole sita kwenye kila muguu, vyote pamoja vilikuwa makumi mbili na ine (24); naye pia alikuwa muzao wa Warefaimu.+ 7 Akaendelea kuchokoza+ Israeli. Basi Yonatani mwana wa Shimea,+ ndugu ya Daudi, akamupiga na kumuua.

8 Hao walikuwa wazao wa Warefaimu+ katika Gati,+ na walianguka kupitia mukono wa Daudi na kupitia mukono wa watumishi wake.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine