Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 27
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 1 Mambo ya Nyakati

      • Maofisa katika kazi ya mufalme (1-34)

1 Mambo ya Nyakati 27:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 18:25; Kum 1:15; 1 Sa. 8:11, 12
  • +1Nya 28:1

1 Mambo ya Nyakati 27:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 11:11

1 Mambo ya Nyakati 27:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 26:20, 21

1 Mambo ya Nyakati 27:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:9
  • +1Nya 8:1, 4

1 Mambo ya Nyakati 27:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:20-23; 1 Fal. 4:4
  • +1Nya 12:27

1 Mambo ya Nyakati 27:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:18; 23:8, 24
  • +1Nya 2:15, 16

1 Mambo ya Nyakati 27:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:8, 26
  • +2Nya 11:5, 6; Amo 1:1

1 Mambo ya Nyakati 27:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 11:10, 27

1 Mambo ya Nyakati 27:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 21:18
  • +Hes 26:20

1 Mambo ya Nyakati 27:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:8, 27
  • +1Nya 6:60, 64

1 Mambo ya Nyakati 27:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:8, 28
  • +Hes 26:20

1 Mambo ya Nyakati 27:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:8, 30

1 Mambo ya Nyakati 27:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 16:1, 6; 17:28

1 Mambo ya Nyakati 27:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 14:50; 2 Sa. 3:27

1 Mambo ya Nyakati 27:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:5

1 Mambo ya Nyakati 27:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “na kasirani ilikuwa juu ya Israeli.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 24:2, 15; 1Nya 21:6, 7

1 Mambo ya Nyakati 27:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “hazina.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 18:15

1 Mambo ya Nyakati 27:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 9:27
  • +2Nya 26:9, 10

1 Mambo ya Nyakati 27:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “maeneo tambarare ya chini.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 35:2

1 Mambo ya Nyakati 27:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “punda-dike.”

1 Mambo ya Nyakati 27:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 13:3; 21:21
  • +1Nya 3:1-9

1 Mambo ya Nyakati 27:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “muchunga-siri wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 15:12; 16:23; 17:23
  • +2 Sa. 15:37; 16:16, 17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (Gazeti la Funzo),

    3/2017, uku. 29

1 Mambo ya Nyakati 27:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 23:20-23; 1 Fal. 2:35
  • +1 Fal. 1:7
  • +1Nya 11:6

Maandiko ingine

1 Nya. 27:1Kut 18:25; Kum 1:15; 1 Sa. 8:11, 12
1 Nya. 27:11Nya 28:1
1 Nya. 27:21Nya 11:11
1 Nya. 27:3Hes 26:20, 21
1 Nya. 27:42 Sa. 23:9
1 Nya. 27:41Nya 8:1, 4
1 Nya. 27:52 Sa. 23:20-23; 1 Fal. 4:4
1 Nya. 27:51Nya 12:27
1 Nya. 27:72 Sa. 2:18; 23:8, 24
1 Nya. 27:71Nya 2:15, 16
1 Nya. 27:92 Sa. 23:8, 26
1 Nya. 27:92Nya 11:5, 6; Amo 1:1
1 Nya. 27:101Nya 11:10, 27
1 Nya. 27:112 Sa. 21:18
1 Nya. 27:11Hes 26:20
1 Nya. 27:122 Sa. 23:8, 27
1 Nya. 27:121Nya 6:60, 64
1 Nya. 27:132 Sa. 23:8, 28
1 Nya. 27:13Hes 26:20
1 Nya. 27:142 Sa. 23:8, 30
1 Nya. 27:181 Sa. 16:1, 6; 17:28
1 Nya. 27:211 Sa. 14:50; 2 Sa. 3:27
1 Nya. 27:23Mwa 15:5
1 Nya. 27:242 Sa. 24:2, 15; 1Nya 21:6, 7
1 Nya. 27:252 Fal. 18:15
1 Nya. 27:282Nya 9:27
1 Nya. 27:282Nya 26:9, 10
1 Nya. 27:29Isa 35:2
1 Nya. 27:322 Sa. 13:3; 21:21
1 Nya. 27:321Nya 3:1-9
1 Nya. 27:332 Sa. 15:12; 16:23; 17:23
1 Nya. 27:332 Sa. 15:37; 16:16, 17
1 Nya. 27:342 Sa. 23:20-23; 1 Fal. 2:35
1 Nya. 27:341 Fal. 1:7
1 Nya. 27:341Nya 11:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
1 Mambo ya Nyakati 27:1-34

Cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

27 Hii ndiyo hesabu ya Waisraeli, vichwa vya jamaa za upande wa baba, wakubwa wa maelfu na wa mamia,+ na maofisa wao wenye walifanya utumishi kwa ajili ya mufalme+ katika kila jambo la vikundi vyenye vilikuwa vinaingia ndani na kutoka inje mwezi kisha mwezi katika miezi yote ya mwaka; kulikuwa watu elfu makumi mbili na ine (24 000) katika kila kikundi.

2 Juu ya kikundi cha kwanza cha mwezi wa kwanza kulikuwa Yashobeamu+ mwana wa Zabdieli, na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 3 Kati ya wana wa Perezi,+ yeye ndiye alikuwa kichwa cha wakubwa wote wa vikundi vyenye vilipewa daraka la kutumika katika mwezi wa kwanza. 4 Juu ya kikundi cha mwezi wa pili kulikuwa Dodai+ Mwahohi+ pamoja na kikundi chake, na Mikloti ndiye alikuwa kiongozi, na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 5 Mukubwa wa kikundi cha tatu (3) chenye kilipewa daraka la kutumika katika mwezi wa tatu alikuwa Benaya+ mwana wa Yehoyada+ mukubwa wa makuhani, na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 6 Huyo Benaya alikuwa mupiganaji-vita mwenye nguvu kati ya wale makumi tatu (30) na alikuwa anasimamia wale makumi tatu, na juu ya kikundi chake kulikuwa Amizabadi mwana wake. 7 Wa ine (4) kwa ajili ya mwezi wa ine alikuwa Asaheli,+ ndugu ya Yoabu,+ na Zebadia mwana wake kisha yeye, na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 8 Mukubwa wa tano (5) kwa ajili ya mwezi wa tano alikuwa Shamhuti Mwizrahia, na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 9 Wa sita (6) kwa ajili ya mwezi wa sita alikuwa Ira+ mwana wa Ikeshi Mutekoa,+ na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 10 Wa saba (7) kwa ajili ya mwezi wa saba alikuwa Helezi+ Mupeloni wa Waefraimu, na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 11 Wa munane (8) kwa ajili ya mwezi wa munane alikuwa Sibekai+ Muhusha wa Wazera,+ na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 12 Wa kenda (9) kwa ajili ya mwezi wa kenda alikuwa Abiezeri+ Mwanatoti+ wa Wabenyamini, na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 13 Wa kumi (10) kwa ajili ya mwezi wa kumi alikuwa Maharai+ Munetofa wa Wazera,+ na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 14 Wa kumi na moja (11) kwa ajili ya mwezi wa kumi na moja alikuwa Benaya+ Mupiratoni wa wana wa Efraimu, na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake. 15 Wa kumi na mbili (12) kwa ajili ya mwezi wa kumi na mbili alikuwa Heldai Munetofa, wa Otnieli, na watu elfu makumi mbili na ine (24 000) walikuwa katika kikundi chake.

16 Hawa ndio walikuwa viongozi wa makabila ya Israeli: Kati ya Warubeni, Eliezeri mwana wa Zikri alikuwa kiongozi; kati ya Wasimeoni, Shefatia mwana wa Maaka; 17 kutoka kwa Lawi, Hashabia mwana wa Kemueli; kutoka kwa Haruni, Sadoki; 18 kutoka kwa Yuda, Elihu,+ mumoja wa ndugu za Daudi; kutoka kwa Isakari, Omri mwana wa Mikaeli; 19 kutoka kwa Zabuloni, Ishmaya mwana wa Obadia; kutoka kwa Naftali, Yerimoti mwana wa Azrieli; 20 kati ya Waefraimu, Hoshea mwana wa Azazia; kutoka katika nusu ya kabila la Manase, Yoeli mwana wa Pedaya; 21 kutoka kwa nusu ya kabila la Manase katika Gileadi, Ido mwana wa Zekaria; kutoka kwa Benyamini, Yaasieli mwana wa Abneri;+ 22 kutoka kwa Dani, Azareli mwana wa Yerohamu. Hao ndio walikuwa wakubwa wa makabila ya Israeli.

23 Daudi hakuhesabia wale wenye walikuwa na miaka makumi mbili (20) na kushuka chini, kwa sababu Yehova alikuwa ameahidi kwamba angefanya Israeli kuwa wengi kama nyota za mbinguni.+ 24 Yoabu mwana wa Seruya alikuwa ameanza kuwahesabia, lakini hakumaliza; na kasirani ya Mungu iliwaka juu ya Israeli* kwa sababu ya jambo hilo,+ na hesabu hiyo haikuwekwa katika habari ya historia ya nyakati za Mufalme Daudi.

25 Azmaveti mwana wa Adieli alisimamia hazina za mufalme.+ Yonatani mwana wa Uzia alisimamia madepo* katika maeneo ya mashamba, katika miji, katika vijiji, na katika minara. 26 Ezri mwana wa Kelubu alisimamia wafanyakazi wa mashamba wenye walilima udongo. 27 Shimei Murama alisimamia mashamba ya mizabibu; Zabdi Mushifi alisimamia mazao ya mashamba ya mizabibu kwa ajili ya madepo ya divai. 28 Baal-hanani Mugederi alisimamia mashamba ya mizeituni na mikuyu+ katika Shefela;+ Yoashi alisimamia madepo ya mafuta. 29 Shitrai Musharoni alisimamia mifugo yenye ilikuwa inakula majani katika Sharoni,+ na Shafati mwana wa Adlai alisimamia mifugo katika mabonde tambarare.* 30 Obili Mwishmaeli alisimamia ngamia; Yehdeya Mumeronoti alisimamia punda.* 31 Yazizi Muhagri alisimamia makundi. Hao wote ndio walikuwa wakubwa wa mali za Mufalme Daudi.

32 Yonatani,+ mupwa wa Daudi, alikuwa mushauri, mwanaume mwenye uelewaji na pia mwandishi, na Yehieli mwana wa Hakmoni alitunza wana wa mufalme.+ 33 Ahitofeli+ alikuwa mushauri wa mufalme, na Hushai+ Mwarki alikuwa rafiki ya* mufalme. 34 Kisha Ahitofeli kulikuwa Yehoyada mwana wa Benaya+ na Abiatari;+ na Yoabu+ alikuwa mukubwa wa jeshi la mufalme.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine