Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 4
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Mazabahu, Bahari, na beseni (1-6)

      • Vinara vya taa, meza, na viwanja (7-11a)

      • Vyombo vyote vya hekalu vinamalizika (11b-22)

2 Mambo ya Nyakati 4:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 38:1, 2; 1 Fal. 8:22

2 Mambo ya Nyakati 4:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tangi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 30:20; 38:8
  • +1 Fal. 7:23-26

2 Mambo ya Nyakati 4:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 6:18

2 Mambo ya Nyakati 4:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 52:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/12/2005, uku. 19

2 Mambo ya Nyakati 4:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Karibu santimetre 7.4 (inchi 2.9). Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Ao “Uwezo wake ulikuwa.”

  • *

    Bati moja ilikuwa sawa na litre 22 (galoni 5.81). Angalia Nyongeza B14.

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2008, uku. 15

    1/12/2005, uku. 19

2 Mambo ya Nyakati 4:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:38, 39
  • +Law. 1:9; 9:14
  • +Kut 29:4

2 Mambo ya Nyakati 4:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 37:17
  • +1Nya 28:12, 15
  • +Kut 40:24

2 Mambo ya Nyakati 4:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 4:19

2 Mambo ya Nyakati 4:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 27:9; Law. 6:16
  • +1 Fal. 6:36
  • +1 Fal. 7:12

2 Mambo ya Nyakati 4:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:39

2 Mambo ya Nyakati 4:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sepetu; bêches.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 27:3
  • +1 Fal. 7:40-46

2 Mambo ya Nyakati 4:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makila mbili ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 3:17
  • +1 Fal. 7:17

2 Mambo ya Nyakati 4:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ile makila.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:20
  • +Yer 52:22

2 Mambo ya Nyakati 4:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “magari ya kubeba maji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:27, 38

2 Mambo ya Nyakati 4:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:23, 25

2 Mambo ya Nyakati 4:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “sepetu; bêches.”

  • *

    Ao “nyuma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 38:3
  • +2Nya 2:13, 14

2 Mambo ya Nyakati 4:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 13:27, 28

2 Mambo ya Nyakati 4:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:47; 1Nya 22:3, 14; Yer 52:20

2 Mambo ya Nyakati 4:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:13
  • +Kut 37:25, 26; Ufu 8:3
  • +Kut 25:23, 24; 2Nya 4:8
  • +1 Fal. 7:48-50

2 Mambo ya Nyakati 4:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 25:31, 37

2 Mambo ya Nyakati 4:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “koleo.”

2 Mambo ya Nyakati 4:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 6:31, 32
  • +1 Fal. 6:33-35

Maandiko ingine

2 Nya. 4:1Kut 38:1, 2; 1 Fal. 8:22
2 Nya. 4:2Kut 30:20; 38:8
2 Nya. 4:21 Fal. 7:23-26
2 Nya. 4:31 Fal. 6:18
2 Nya. 4:4Yer 52:20
2 Nya. 4:61 Fal. 7:38, 39
2 Nya. 4:6Law. 1:9; 9:14
2 Nya. 4:6Kut 29:4
2 Nya. 4:7Kut 37:17
2 Nya. 4:71Nya 28:12, 15
2 Nya. 4:7Kut 40:24
2 Nya. 4:82Nya 4:19
2 Nya. 4:9Kut 27:9; Law. 6:16
2 Nya. 4:91 Fal. 6:36
2 Nya. 4:91 Fal. 7:12
2 Nya. 4:101 Fal. 7:39
2 Nya. 4:11Kut 27:3
2 Nya. 4:111 Fal. 7:40-46
2 Nya. 4:122Nya 3:17
2 Nya. 4:121 Fal. 7:17
2 Nya. 4:131 Fal. 7:20
2 Nya. 4:13Yer 52:22
2 Nya. 4:141 Fal. 7:27, 38
2 Nya. 4:151 Fal. 7:23, 25
2 Nya. 4:16Kut 38:3
2 Nya. 4:162Nya 2:13, 14
2 Nya. 4:17Yosh. 13:27, 28
2 Nya. 4:181 Fal. 7:47; 1Nya 22:3, 14; Yer 52:20
2 Nya. 4:192 Fal. 24:13
2 Nya. 4:19Kut 37:25, 26; Ufu 8:3
2 Nya. 4:19Kut 25:23, 24; 2Nya 4:8
2 Nya. 4:191 Fal. 7:48-50
2 Nya. 4:20Kut 25:31, 37
2 Nya. 4:221 Fal. 6:31, 32
2 Nya. 4:221 Fal. 6:33-35
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 4:1-22

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

4 Kisha akatengeneza mazabahu ya shaba,+ urefu wa mikono makumi mbili (20), upana wa mikono makumi mbili, na urefu kuenda juu wa mikono kumi (10).

2 Akatengeneza Bahari*+ kwa metali yenye kuyeyushwa. Ilikuwa na umbo ya muviringo, upana wa mikono kumi (10) kutoka sehemu moja ya mudomo mupaka sehemu ingine, na urefu kuenda juu wa mikono tano (5), na iliomba kamba ya urefu wa mikono makumi tatu (30) ili kuizunguka.+ 3 Na kulikuwa mapambo ya vibuyu+ chini yake, yalikuwa yanaizunguka kabisa, vibuyu kumi (10) kwa kila mukono mumoja kuzunguka Bahari hiyo pande zote. Vibuyu hivyo vilikuwa katika mistari mbili na viliyeyushwa kama kitu kimoja pamoja nayo. 4 Ilisimama juu ya ngombe-dume kumi na mbili (12),+ watatu (3) walikuwa wanaangalia kaskazini, watatu walikuwa wanaangalia mangaribi, watatu walikuwa wanaangalia kusini, na watatu walikuwa wanaangalia mashariki; na Bahari hiyo ilikuwa juu yao, na sehemu zao zote za nyuma zilielekea katikati. 5 Na unene wake ulikuwa upana wa kiganja kimoja cha mukono;* na mudomo wake ulitengenezwa kama mudomo wa kikombe, kama ua la yungiyungi. Chombo hicho kingeweza kuingia ndani* vipimo elfu tatu (3 000) vya bati.*

6 Tena, alitengeneza beseni kumi (10) za kusafishia na akaweka tano (5) upande wa kuume na tano upande wa kushoto.+ Walikuwa wanasafishia ndani vitu vyenye vilitumiwa kwa ajili ya toleo la kuteketezwa.+ Lakini Bahari ilitumiwa na makuhani kwa ajili ya kuoga.+

7 Kisha akatengeneza vinara kumi (10) vya taa vya zahabu,+ kama vile ilionyeshwa,+ na akaviweka katika hekalu, vitano (5) upande wa kuume na vitano upande wa kushoto.+

8 Akatengeneza pia meza kumi (10) na akaziweka katika hekalu, tano (5) upande wa kuume na tano upande wa kushoto;+ na akatengeneza mabakuli mia moja (100) ya zahabu.

9 Kisha akatengeneza kiwanja+ cha makuhani+ na kile kiwanja kikubwa+ na milango ya kiwanja hicho, na akafunika milango yake kwa shaba. 10 Na akaweka ile Bahari upande wa kuume, kuelekea kusini-mashariki.+

11 Hiramu akatengeneza pia makopo, vipao,* na mabakuli.+

Basi Hiramu akamaliza kazi yenye alifanya kwa ajili ya Mufalme Sulemani kwenye nyumba ya Mungu wa kweli:+ 12 zile nguzo mbili+ na vile vifuniko vyenye umbo ya bakuli vyenye vilikuwa kwenye sehemu ya juu ya zile nguzo mbili; zile nyavu mbili+ za* kufunika vile vifuniko mbili vyenye umbo ya bakuli vyenye vilikuwa kwenye sehemu ya juu ya zile nguzo; 13 yale makomamanga mia ine (400)+ kwa ajili ya zile nyavu* mbili, mistari mbili ya makomamanga kwa ajili ya kila wavu, ili kufunika vile vifuniko mbili vyenye umbo ya bakuli vyenye vilikuwa kwenye zile nguzo;+ 14 yale magari* kumi (10) na zile beseni kumi zenye zilikuwa kwenye magari hayo;+ 15 ile Bahari na wale ngombe-dume kumi na mbili (12) wenye walikuwa chini yake;+ 16 na yale makopo, vile vipao,* yale makanya,*+ na vyombo vyake vyote vyenye Hiram-abivu+ alimutengenezea Mufalme Sulemani kwa shaba yenye kungarishwa, kwa ajili ya nyumba ya Yehova. 17 Mufalme akaviyeyusha katika wilaya ya Yordani katika udongo muzito kati ya Sukoti+ na Saretani. 18 Sulemani akatengeneza vyombo hivyo vyote kwa wingi sana; uzito wa shaba haukujulikana.+

19 Sulemani akatengeneza vyombo vyote+ kwa ajili nyumba ya Mungu wa kweli: mazabahu ya zahabu;+ meza+ na mikate ya wonyesho juu ya meza hizo;+ 20 vinara vya taa na taa zake za zahabu safi,+ ili ziwake mbele ya chumba cha ndani zaidi kulingana na vile iliombwa; 21 na maua, taa, na vifaa vya kushikia tambi,* vya zahabu, zahabu safi kabisa; 22 vizimisha-moto, mabakuli, vikombe, na vyetezo, vya zahabu safi; na muingilio wa nyumba, milango yake ya ndani kwa ajili ya Patakatifu Zaidi,+ na milango ya nyumba ya hekalu, vya zahabu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine