Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 18
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Mapatano ya Yehoshafati pamoja na Ahabu (1-11)

      • Unabii wa Mikaya wa kushindwa (12-27)

      • Ahabu anauawa kule Ramoti-gileadi (28-34)

2 Mambo ya Nyakati 18:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 17:5
  • +1 Fal. 16:28, 33; 21:25

2 Mambo ya Nyakati 18:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “akamutia moyo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:2-4; 2Nya 19:2
  • +Kum 4:41-43; 1Nya 6:77, 80

2 Mambo ya Nyakati 18:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 2:1; 1 Fal. 22:5, 6

2 Mambo ya Nyakati 18:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 3:11
  • +1 Fal. 22:7, 8

2 Mambo ya Nyakati 18:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 18:4; 19:9, 10
  • +Yer 38:4

2 Mambo ya Nyakati 18:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:9-12

2 Mambo ya Nyakati 18:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utasukuma.”

2 Mambo ya Nyakati 18:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mik 3:5

2 Mambo ya Nyakati 18:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 30:9, 10
  • +1 Fal. 22:13-17

2 Mambo ya Nyakati 18:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:28; Mdo 20:27

2 Mambo ya Nyakati 18:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:14, 17; Hes 27:16, 17

2 Mambo ya Nyakati 18:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:18

2 Mambo ya Nyakati 18:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 6:1; Eze 1:26; Ufu 20:11
  • +Yob 1:6; Da. 7:9, 10
  • +1 Fal. 22:19-23

2 Mambo ya Nyakati 18:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “malaika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 104:4

2 Mambo ya Nyakati 18:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 19:14; Eze 14:9

2 Mambo ya Nyakati 18:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 18:10
  • +2Nya 18:7
  • +Yer 20:2; Mk 14:65
  • +1 Fal. 22:24-28

2 Mambo ya Nyakati 18:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 16:10; Mdo 5:18

2 Mambo ya Nyakati 18:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 16:29

2 Mambo ya Nyakati 18:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 20:8; 1 Fal. 22:29-33; 2Nya 18:2

2 Mambo ya Nyakati 18:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:10; 2Nya 13:14

2 Mambo ya Nyakati 18:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “bila nia ya mubaya.”

  • *

    Tnn., “kambi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 22:34, 35

2 Mambo ya Nyakati 18:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 18:22

Maandiko ingine

2 Nya. 18:12Nya 17:5
2 Nya. 18:11 Fal. 16:28, 33; 21:25
2 Nya. 18:21 Fal. 22:2-4; 2Nya 19:2
2 Nya. 18:2Kum 4:41-43; 1Nya 6:77, 80
2 Nya. 18:42 Sa. 2:1; 1 Fal. 22:5, 6
2 Nya. 18:62 Fal. 3:11
2 Nya. 18:61 Fal. 22:7, 8
2 Nya. 18:71 Fal. 18:4; 19:9, 10
2 Nya. 18:7Yer 38:4
2 Nya. 18:81 Fal. 22:9-12
2 Nya. 18:11Mik 3:5
2 Nya. 18:12Isa 30:9, 10
2 Nya. 18:121 Fal. 22:13-17
2 Nya. 18:13Yer 23:28; Mdo 20:27
2 Nya. 18:16Law. 26:14, 17; Hes 27:16, 17
2 Nya. 18:171 Fal. 22:18
2 Nya. 18:18Isa 6:1; Eze 1:26; Ufu 20:11
2 Nya. 18:18Yob 1:6; Da. 7:9, 10
2 Nya. 18:181 Fal. 22:19-23
2 Nya. 18:20Zab 104:4
2 Nya. 18:22Isa 19:14; Eze 14:9
2 Nya. 18:232Nya 18:10
2 Nya. 18:232Nya 18:7
2 Nya. 18:23Yer 20:2; Mk 14:65
2 Nya. 18:231 Fal. 22:24-28
2 Nya. 18:262Nya 16:10; Mdo 5:18
2 Nya. 18:27Hes 16:29
2 Nya. 18:28Yosh. 20:8; 1 Fal. 22:29-33; 2Nya 18:2
2 Nya. 18:31Kut 14:10; 2Nya 13:14
2 Nya. 18:331 Fal. 22:34, 35
2 Nya. 18:342Nya 18:22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 18:1-34

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

18 Yehoshafati alikuwa na utajiri na utukufu kwa wingi,+ lakini alifanya mapatano ya ndoa pamoja na Ahabu.+ 2 Basi miaka fulani kisha pale akashuka kuenda kwa Ahabu kule Samaria,+ na Ahabu akatoa zabihu za kondoo na ngombe kwa wingi kwa ajili yake na kwa ajili ya watu wenye walikuwa pamoja naye. Na akamusadikisha* apande kuenda kushambulia Ramoti-gileadi.+ 3 Kisha Mufalme Ahabu wa Israeli akamuambia Mufalme Yehoshafati wa Yuda: “Je, utaenda pamoja na mimi Ramoti-gileadi?” Akamujibu: “Mimi ni kama wewe, na watu wangu ni kama watu wako na watakuunga mukono katika vita.”

4 Lakini Yehoshafati akamuambia mufalme wa Israeli: “Tafazali, uliza kwanza neno la Yehova.”+ 5 Kwa hiyo mufalme wa Israeli akakusanya pamoja manabii, wanaume mia ine (400), na akawaambia: “Je, tuende kupigana vita na Ramoti-gileadi, ao nisiende?” Wakasema: “Panda uende, na Mungu wa kweli ataitia katika mukono wa mufalme.”

6 Kisha Yehoshafati akasema: “Je, hapa hakuna nabii wa Yehova?+ Acha tuulize pia kupitia yeye.”+ 7 Halafu mufalme wa Israeli akamuambia Yehoshafati: “Kungali mutu mumoja+ mwenye kupitia yeye tunaweza kumuuliza Yehova; lakini ninamuchukia, kwa maana hatabiri hata kidogo mambo ya muzuri juu yangu, lakini ya mubaya sikuzote.+ Yeye ni Mikaya mwana wa Imla.” Hata hivyo, Yehoshafati akasema: “Mufalme asiseme jambo kama hilo.”

8 Basi mufalme wa Israeli akamuita ofisa mumoja wa makao ya mufalme na kusema: “Leta haraka Mikaya mwana wa Imla.”+ 9 Sasa mufalme wa Israeli na Yehoshafati mufalme wa Yuda walikuwa wamekaa kila mumoja kwenye kiti chake cha ufalme, akiwa amevaa nguo za kifalme; walikuwa wamekaa katika kiwanja cha kupigia-pigia nafaka kwenye muingilio wa mulango mukubwa wa Samaria, na manabii wote walikuwa wanatabiri mbele yao. 10 Kisha Sedekia mwana wa Kenaana akajitengenezea pembe za chuma na kusema: “Yehova anasema hivi: ‘Kwa pembe hizi utapiga* Wasiria mupaka utawaharibu.’” 11 Wale manabii wengine wote walikuwa wanatabiri kwa njia ileile, wakisema: “Panda uende Ramoti-gileadi na utapata matokeo ya muzuri;+ Yehova ataitia katika mukono wa mufalme.”

12 Basi mujumbe mwenye alienda kumuita Mikaya akamuambia: “Angalia! Maneno ya manabii wote pamoja ni ya muzuri kwa mufalme. Tafazali, acha neno lako likuwe kama maneno yao,+ na useme mambo ya muzuri.”+ 13 Lakini Mikaya akasema: “Kama vile hakika Yehova anaishi, jambo lolote lenye Mungu wangu atasema, hilo ndilo nitasema.”+ 14 Kisha akaingia kwa mufalme, na mufalme akamuuliza: “Mikaya, je, tuende kupigana vita na Ramoti-gileadi, ao nisiende?” Mara moja akajibu: “Panda uende na utapata matokeo ya muzuri; watatiwa katika mukono wako.” 15 Halafu mufalme akamuambia: “Ninapaswa kukuapisha mara ngapi kwamba usiniambie jambo lolote isipokuwa kweli katika jina la Yehova?” 16 Basi akasema: “Ninaona Waisraeli wote wakiwa wametawanyika kwenye milima, kama kondoo wenye hawana muchungaji.+ Yehova akasema: ‘Hawa hawana bwana. Kila mumoja wao arudie kwenye nyumba yake kwa amani.’”

17 Kisha mufalme wa Israeli akamuambia Yehoshafati: “Je, sikukuambia, ‘Hatatabiri mambo ya muzuri juu yangu, ya mubaya tu’?”+

18 Kisha Mikaya akasema: “Basi, sikia neno la Yehova: Nilimuona Yehova akiwa amekaa kwenye kiti chake cha ufalme+ na jeshi lote la mbinguni+ likiwa limesimama upande wake wa kuume na upande wake wa kushoto.+ 19 Kisha Yehova akasema, ‘Ni nani mwenye atadanganya Mufalme Ahabu wa Israeli, ili apande na kuanguka kule Ramoti-gileadi?’ Na mumoja alikuwa anasema jambo moja lakini mwingine alikuwa anasema jambo lingine. 20 Kisha roho*+ fulani akakuja na kusimama mbele ya Yehova na kusema, ‘Mimi nitamudanganya.’ Yehova akamuuliza, ‘Utafanya vile namna gani?’ 21 Akajibu, ‘Nitaenda na kuwa roho ya udanganyifu katika kinywa cha manabii wake wote.’ Kwa hiyo akasema, ‘Utamudanganya, na zaidi ya hilo, utapata matokeo ya muzuri. Uende na ufanye vile.’ 22 Na sasa Yehova ametia roho ya udanganyifu katika kinywa cha hawa manabii wako,+ lakini Yehova ametangaza musiba juu yako.”

23 Sasa Sedekia+ mwana wa Kenaana akamukaribia Mikaya+ na kumupiga kwenye shavu+ na kusema: “Roho ya Yehova ilipita njia gani kutoka kwangu ili iseme na wewe?”+ 24 Mikaya akajibu: “Angalia! Utaona ni njia gani katika siku yenye utaingia katika chumba cha ndani kabisa ili kujificha.” 25 Kisha mufalme wa Israeli akasema: “Kamata Mikaya na umupeleke kwa Amoni mukubwa wa muji na kwa Yoashi mwana wa mufalme. 26 Uwaambie, ‘Mufalme anasema hivi: “Mutie mutu huyu katika gereza+ na mumulishe kwa kiasi chenye kilipunguzwa cha mukate na maji mupaka wakati nitarudia kwa amani.”’” 27 Lakini Mikaya akasema: “Kama unarudia kwa amani, Yehova hakusema na mimi.”+ Kisha akaongezea: “Mukuwe waangalifu, ninyi watu wote.”

28 Basi mufalme wa Israeli na Yehoshafati mufalme wa Yuda wakapanda kuenda Ramoti-gileadi.+ 29 Sasa mufalme wa Israeli akamuambia Yehoshafati: “Nitajibadilisha sura na nitaingia katika pigano, lakini wewe uvae nguo zako za kifalme.” Kwa hiyo mufalme wa Israeli akajibadilisha sura, na wakaingia katika pigano. 30 Sasa mufalme wa Siria alikuwa ameamuru makamanda wake wa magari hivi: “Musipigane na mutu yeyote, mudogo ao mukubwa, isipokuwa mufalme wa Israeli.” 31 Na wakati tu makamanda wa magari waliona Yehoshafati, wakasema: “Ni mufalme wa Israeli.” Basi wakageuka ili kupigana naye; na Yehoshafati akaanza kulilia musaada,+ na Yehova akamusaidia, na mara moja Mungu akawaelekeza upande mwingine ili wamuache. 32 Wakati makamanda hao wa magari waliona kwamba haikukuwa mufalme wa Israeli, mara moja wakageuka na kuacha kumufuata.

33 Lakini mutu fulani alipiga upinde wake bila kukusudia,* na akamupiga mufalme wa Israeli katikati ya viungio vya koti yake ya chuma. Basi mufalme akamuambia muendesha-gari wake: “Geuka na unitoshe katika pigano,* kwa maana nimeumizwa mubaya.”+ 34 Pigano likakuwa kali sana siku hiyo yote, na mufalme wa Israeli akasimamishwa katika gari, kuelekeana na Wasiria mupaka mangaribi, na akakufa wakati wa kushuka kwa jua.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine