Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 23
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika 2 Mambo ya Nyakati

      • Yehoyada anaingilia kati; Yehoashi anafanywa kuwa mufalme (1-11)

      • Atalia anauawa (12-15)

      • Mabadiliko yenye Yehoyada alifanya (16-21)

2 Mambo ya Nyakati 23:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “agano.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 11:4

2 Mambo ya Nyakati 23:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 8:14

2 Mambo ya Nyakati 23:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:3
  • +2 Sa. 7:8, 12; 1 Fal. 2:4; 9:5; Zab 89:20, 29

2 Mambo ya Nyakati 23:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 24:3
  • +2 Fal. 11:5-8; 1Nya 9:22-25; 26:1

2 Mambo ya Nyakati 23:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 7:1
  • +1 Fal. 7:12

2 Mambo ya Nyakati 23:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:28, 32

2 Mambo ya Nyakati 23:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wakati anatoka inje na wakati anaingia ndani.”

2 Mambo ya Nyakati 23:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 11:9-12
  • +1Nya 24:1; 26:1

2 Mambo ya Nyakati 23:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Mara nyingi zilibebwa na wapiga-mishale.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 11:4
  • +2 Sa. 8:7
  • +1Nya 26:26, 27; 2Nya 5:1

2 Mambo ya Nyakati 23:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine ni kitabu cha kukunjwa chenye kuwa na Sheria ya Mungu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 11:2
  • +Kum 17:18
  • +1 Sa. 10:1, 24

2 Mambo ya Nyakati 23:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 11:13-16

2 Mambo ya Nyakati 23:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “walikuwa wanatoa alama kwa ajili ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 23:1
  • +1 Fal. 1:39, 40

2 Mambo ya Nyakati 23:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 11:17, 18; 2Nya 34:1, 31

2 Mambo ya Nyakati 23:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hekalu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 10:27, 28
  • +Kum 12:3; 2Nya 34:1, 4
  • +Kum 13:5; 1 Fal. 18:40

2 Mambo ya Nyakati 23:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kupitia mikono ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 23:6, 30, 31
  • +Kut 29:38; Hes 28:2

2 Mambo ya Nyakati 23:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 9:26; 26:1, 13

2 Mambo ya Nyakati 23:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 11:9
  • +1 Fal. 7:7; 2 Fal. 11:19, 20

Maandiko ingine

2 Nya. 23:12 Fal. 11:4
2 Nya. 23:22Nya 8:14
2 Nya. 23:32 Sa. 5:3
2 Nya. 23:32 Sa. 7:8, 12; 1 Fal. 2:4; 9:5; Zab 89:20, 29
2 Nya. 23:41Nya 24:3
2 Nya. 23:42 Fal. 11:5-8; 1Nya 9:22-25; 26:1
2 Nya. 23:51 Fal. 7:1
2 Nya. 23:51 Fal. 7:12
2 Nya. 23:61Nya 23:28, 32
2 Nya. 23:82 Fal. 11:9-12
2 Nya. 23:81Nya 24:1; 26:1
2 Nya. 23:92 Fal. 11:4
2 Nya. 23:92 Sa. 8:7
2 Nya. 23:91Nya 26:26, 27; 2Nya 5:1
2 Nya. 23:112 Fal. 11:2
2 Nya. 23:11Kum 17:18
2 Nya. 23:111 Sa. 10:1, 24
2 Nya. 23:122 Fal. 11:13-16
2 Nya. 23:132Nya 23:1
2 Nya. 23:131 Fal. 1:39, 40
2 Nya. 23:162 Fal. 11:17, 18; 2Nya 34:1, 31
2 Nya. 23:172 Fal. 10:27, 28
2 Nya. 23:17Kum 12:3; 2Nya 34:1, 4
2 Nya. 23:17Kum 13:5; 1 Fal. 18:40
2 Nya. 23:181Nya 23:6, 30, 31
2 Nya. 23:18Kut 29:38; Hes 28:2
2 Nya. 23:191Nya 9:26; 26:1, 13
2 Nya. 23:202 Fal. 11:9
2 Nya. 23:201 Fal. 7:7; 2 Fal. 11:19, 20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
2 Mambo ya Nyakati 23:1-21

Cha Pili cha Mambo ya Nyakati

23 Katika mwaka wa saba (7), Yehoyada alitenda kwa uhodari na akafanya mapatano* pamoja na wakubwa wa mamia,+ ni kusema, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri. 2 Kisha wakazunguka katika Yuda na wakakusanya pamoja Walawi+ kutoka katika miji yote ya Yuda na vichwa vya jamaa za upande wa baba za Israeli. Wakati walikuja Yerusalemu, 3 kutaniko lote likafanya agano+ pamoja na mufalme katika nyumba ya Mungu wa kweli, kisha akawaambia:

“Muangalie! Mwana wa mufalme atatawala, kama vile Yehova aliahidi juu ya wana wa Daudi.+ 4 Ni hivi munapaswa kufanya: Sehemu moja ya tatu (1/3) ya makuhani na ya Walawi wenye watakuwa na mugao wa kutimiza+ katika siku ya Sabato watakuwa walinzi wa milango;+ 5 sehemu ingine moja ya tatu (1/3) watakuwa kwenye nyumba ya mufalme,+ na sehemu ingine moja ya tatu watakuwa kwenye Mulango Mukubwa wa Musingi, na watu wote watakuwa katika viwanja vya nyumba ya Yehova.+ 6 Musiache mutu yeyote aingie katika nyumba ya Yehova isipokuwa makuhani na Walawi wenye kufanya utumishi.+ Hao wanaweza kuingia kwa sababu ni kikundi kitakatifu, na watu wote watatimiza mambo yenye Yehova anawaomba kufanya. 7 Walawi wanapaswa kumuzunguka mufalme pande zote, kila mumoja akiwa na silaha zake katika mukono. Mutu yeyote mwenye ataingia katika nyumba hiyo atauawa. Mubakie na mufalme kila mahali anaenda.”*

8 Walawi na Yuda wote wakafanya sawasawa mambo yenye Yehoyada kuhani alikuwa ameamuru. Basi kila mumoja akakamata wanaume wake wenye walikuwa na mugao siku ya Sabato, pamoja na wale wenye hawakukuwa na mugao siku ya Sabato,+ kwa maana Yehoyada kuhani hakukuwa ameondoa vikundi hivyo+ kwenye mugao wavyo. 9 Kisha Yehoyada kuhani akapatia wakubwa wa mamia+ mikuki na ngao za kidogo* na ngao za muviringo zenye zilikuwa za Mufalme Daudi,+ zenye zilikuwa katika nyumba ya Mungu wa kweli.+ 10 Halafu akaweka watu wote, kila mumoja akiwa na silaha yake katika mukono, kuanzia upande wa kuume wa nyumba mupaka upande wa kushoto wa nyumba, pembeni ya mazabahu na pembeni ya nyumba hiyo, kumuzunguka mufalme pande zote. 11 Kisha wakamupeleka inje mwana wa mufalme+ na wakaweka juu yake taji na Ushuhuda*+ na wakamufanya kuwa mufalme, na Yehoyada na wana wake wakamutia mafuta. Kisha wakasema: “Mufalme aishi siku nyingi!”+

12 Wakati Atalia alisikia sauti ya watu wenye kukimbia na kumusifu mufalme, mara moja akakuja kwenye watu walikuwa kwenye nyumba ya Yehova.+ 13 Kisha akamuona mufalme akiwa amesimama pale karibu na nguzo yake kwenye muingilio. Wakubwa+ na wapiga-tarumbeta walikuwa pamoja na mufalme, na watu wote wa inchi walikuwa wanafurahi+ na kupiga tarumbeta, na waimbaji wenye kuwa na vyombo vya muziki walikuwa wanaongoza* sifa. Halafu Atalia akapasua nguo zake na kusema kwa sauti kubwa: “Ni mupango mubaya! Ni mupango mubaya!” 14 Lakini Yehoyada kuhani akawapeleka inje wakubwa wa mamia, wale wenye waliwekwa kusimamia jeshi, na akawaambia: “Mumutoshe katikati ya majeshi, na kama mutu yeyote anamufuata, mumuue kwa upanga!” Kwa maana kuhani alikuwa amesema: “Musimuue ndani ya nyumba ya Yehova.” 15 Basi wakamukamata, na wakati alifika kwenye muingilio wa Mulango Mukubwa wa Farasi wa nyumba ya mufalme, mara moja wakamuua pale.

16 Kisha Yehoyada akafanya agano kati yake mwenyewe na watu wote na mufalme, kwamba wataendelea kuwa watu wa Yehova.+ 17 Kisha, watu wote wakaenda kwenye nyumba* ya Baali na kuibomoa,+ na wakavunja vipande-vipande mazabahu zake na sanamu zake,+ na wakamuua Matani kuhani wa Baali+ mbele ya zile mazabahu. 18 Kisha Yehoyada akaweka uangalizi wa nyumba ya Yehova katika mikono ya makuhani na Walawi, wenye Daudi alikuwa amepanga katika vikundi juu ya nyumba ya Yehova ili kutoa zabihu za kuteketezwa za Yehova+ kulingana na mambo yenye yameandikwa katika Sheria ya Musa,+ kwa furaha na kwa wimbo, kama vile iliagizwa na* Daudi. 19 Aliweka pia walinzi wa milango mikubwa+ karibu na milango mikubwa ya nyumba ya Yehova, ili mutu yeyote mwenye haiko safi kwa njia yoyote asiingie. 20 Sasa akachukua wakubwa wa mamia,+ watu wenye vyeo, watawala wa watu, na watu wote wa inchi na wakamusindikiza mufalme kushuka kutoka kwenye nyumba ya Yehova. Halafu wakakuja kupitia mulango mukubwa wa juu wa nyumba ya mufalme na kumuweka mufalme kwenye kiti cha ufalme.+ 21 Basi watu wote wa inchi wakafurahi na muji ulikuwa wenye kutulia, kwa maana walikuwa wamemuua Atalia kwa upanga.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine