Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Nehemia 10
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Nehemia

      • Watu wanakubali kufuata Sheria (1-39)

        • “Hatutapuuza nyumba ya Mungu wetu” (39)

Nehemia 10:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Tirshata,” jina la cheo cha Kiajemi cha gavana wa jimbo.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:38

Nehemia 10:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 2:1, 39

Nehemia 10:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 8:1, 2

Nehemia 10:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 3:9; Ne 12:8

Nehemia 10:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 12:24

Nehemia 10:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 7:6, 11

Nehemia 10:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Wanetini.” Tnn., “wenye walitolewa.”

  • *

    Ao pengine, “wote wenye miaka ya kuelewa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 8:1; 9:2

Nehemia 10:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 34:15, 16; Kum 7:3, 4

Nehemia 10:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:10
  • +Kut 12:16; Hes 29:1, 12
  • +Kut 23:10, 11; Law. 25:4, 5
  • +Kum 15:1-3

Nehemia 10:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Shekeli moja ilikuwa sawa na grame 11.4 (aunsi troi 0.367). Angalia Nyongeza B14.

  • *

    Ao “hekalu la.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 30:13

Nehemia 10:33

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, mikate ya wonyesho.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 24:5-7
  • +Kut 29:40, 41
  • +Hes 28:9
  • +Hes 28:11-13; 1Nya 23:31
  • +Kum 16:16
  • +Law. 16:15

Nehemia 10:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 1:7; 6:12, 13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2006, uku. 11

Nehemia 10:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:19; Hes 18:8, 13; Kum 26:2

Nehemia 10:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 13:2; Hes 18:15
  • +Hes 18:8, 11; 1 Kor. 9:13

Nehemia 10:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vyumba vya kukulia chakula vya.”

  • *

    Ao “zaka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 15:20
  • +Law. 27:30
  • +Hes 18:8, 12; Kum 18:1, 4
  • +2Nya 31:11
  • +Hes 18:21

Nehemia 10:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vyumba vya kukulia chakula.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 18:26

Nehemia 10:39

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vyumba vya kukulia chakula.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 12:5, 6
  • +Kum 14:23
  • +Ne 13:10, 11

Maandiko ingine

Ne. 10:1Ne 9:38
Ne. 10:5Ezr 2:1, 39
Ne. 10:6Ezr 8:1, 2
Ne. 10:9Ezr 3:9; Ne 12:8
Ne. 10:12Ne 12:24
Ne. 10:14Ne 7:6, 11
Ne. 10:28Ne 8:1; 9:2
Ne. 10:30Kut 34:15, 16; Kum 7:3, 4
Ne. 10:31Kut 20:10
Ne. 10:31Kut 12:16; Hes 29:1, 12
Ne. 10:31Kut 23:10, 11; Law. 25:4, 5
Ne. 10:31Kum 15:1-3
Ne. 10:32Kut 30:13
Ne. 10:33Law. 24:5-7
Ne. 10:33Kut 29:40, 41
Ne. 10:33Hes 28:9
Ne. 10:33Hes 28:11-13; 1Nya 23:31
Ne. 10:33Kum 16:16
Ne. 10:33Law. 16:15
Ne. 10:34Law. 1:7; 6:12, 13
Ne. 10:35Kut 23:19; Hes 18:8, 13; Kum 26:2
Ne. 10:36Kut 13:2; Hes 18:15
Ne. 10:36Hes 18:8, 11; 1 Kor. 9:13
Ne. 10:37Hes 15:20
Ne. 10:37Law. 27:30
Ne. 10:37Hes 18:8, 12; Kum 18:1, 4
Ne. 10:372Nya 31:11
Ne. 10:37Hes 18:21
Ne. 10:38Hes 18:26
Ne. 10:39Kum 12:5, 6
Ne. 10:39Kum 14:23
Ne. 10:39Ne 13:10, 11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Nehemia 10:1-39

Nehemia

10 Wale wenye walishuhudia kwa kutia muhuri juu ya mapatano hayo+ walikuwa:

Nehemia gavana,* mwana wa Hakalia,

Na Sedekia, 2 Seraya, Azaria, Yeremia, 3 Pashuri, Amaria, Malkiya, 4 Hatushi, Shebania, Maluku, 5 Harimu,+ Meremoti, Obadia, 6 Danieli,+ Ginetoni, Baruku, 7 Meshulamu, Abiya, Miyamini, 8 Maazia, Bilgai, na Shemaya; hao walikuwa makuhani.

9 Pia Walawi: Yeshua mwana wa Azania, Binui wa wana wa Henadadi, Kadmieli,+ 10 na ndugu zao Shebania, Hodia, Kelita, Pelaya, Hanani, 11 Mika, Rehobu, Hashabia, 12 Zakuri, Sherebia,+ Shebania, 13 Hodia, Bani, na Beninu.

14 Vichwa vya watu: Paroshi, Pahat-moabu,+ Elamu, Zatu, Bani, 15 Buni, Azgadi, Bebai, 16 Adoniya, Bigvai, Adini, 17 Ateri, Hezekia, Azuri, 18 Hodia, Hashumu, Besai, 19 Harifu, Anatoti, Nebai, 20 Magpiashi, Meshulamu, Heziri, 21 Meshezabeli, Sadoki, Yadua, 22 Pelatia, Hanani, Anaya, 23 Hoshea, Hanania, Hashubu, 24 Haloheshi, Pilha, Shobeki, 25 Rehumu, Hashabna, Maaseya, 26 Ahiya, Hanani, Anani, 27 Maluku, Harimu, na Baana.

28 Watu wengine⁠—​makuhani, Walawi, walinzi wa milango mikubwa, waimbaji, watumishi wa hekalu,* na watu wote wenye walijitenga na watu wa inchi hizo ili wafuate Sheria ya Mungu wa kweli,+ pamoja na bibi zao, watoto wao wanaume, na watoto wao wanamuke, wale wote wenye ujuzi na uelewaji*⁠— 29 wakajiunga na ndugu zao, watu wao wa maana, wakajifunga kwa laana na kiapo, ili kutembea katika Sheria ya Mungu wa kweli, yenye ilikuwa imetolewa kupitia Musa mutumishi wa Mungu wa kweli, na kufuata kwa uangalifu amri zote za Yehova Bwana wetu, hukumu zake, na masharti yake. 30 Hatutapatia watu wa inchi watoto wetu wanamuke, na hatutachukua watoto wao wanamuke kwa ajili ya watoto wetu wanaume.+

31 Kama watu wa inchi wanaleta vitu vyao na kila namna ya nafaka ili kuuzisha siku ya Sabato, hatutanunua kitu chao chochote siku ya Sabato+ ao siku takatifu.+ Pia, tutaachilia mazao ya mwaka wa saba (7)+ na hatutalipisha kila deni lenye halijalipwa.+

32 Pia, tuliweka amri juu yetu wenyewe kwamba kila mumoja wetu anapaswa kutoa sehemu moja ya tatu (1/3) ya shekeli* kila mwaka kwa ajili ya utumishi wa nyumba ya* Mungu wetu,+ 33 na kwa ajili ya mikate yenye kupangwa moja juu ya ingine,*+ toleo la nafaka lenye linatolewa kwa ukawaida,+ toleo la kuteketezwa lenye linatolewa kwa ukawaida la Sabato mbalimbali+ na miezi mipya,+ na kwa ajili ya sikukuu zenye kuwekwa,+ kwa ajili ya vitu vitakatifu, kwa ajili ya matoleo ya zambi+ ili kufunika zambi kwa ajili ya Israeli, na kwa ajili ya kazi zote za nyumba ya Mungu wetu.

34 Pia, tulipiga kura kuhusu kiasi cha kuni zenye makuhani, Walawi na watu walipaswa kuleta kwenye nyumba ya Mungu kulingana na jamaa zetu za upande wa baba, kwa nyakati zenye kuwekwa, mwaka kwa mwaka, ili kuwasha moto kwenye mazabahu ya Yehova Mungu wetu, kulingana na mambo yenye kuandikwa katika Sheria.+ 35 Pia, tutaleta matunda ya kwanza yenye kukomaa ya mashamba yetu na matunda ya kwanza yenye kuivya ya kila aina ya muti wa matunda, mwaka kwa mwaka, kwenye nyumba ya Yehova,+ 36 na pia muzaliwa wa kwanza wa wana wetu na wa mifugo yetu+⁠—​kulingana na mambo yenye kuandikwa katika Sheria⁠—​na muzaliwa wa kwanza wa mifugo yetu na makundi yetu. Tutawaleta kwenye nyumba ya Mungu wetu, kwa makuhani wenye wanatumikia kwenye nyumba ya Mungu wetu.+ 37 Pia, matunda ya kwanza ya unga wetu wa chenga-chenga,+ michango yetu, matunda ya kila aina ya muti,+ divai mupya, na mafuta,+ tunapaswa kupelekea makuhani kwenye madepo ya* nyumba ya Mungu wetu,+ na kupelekea Walawi sehemu moja ya kumi (1/10)*+ ya mazao ya mashamba yetu, kwa maana wao ndio wanakusanya sehemu moja za kumi za miji yetu yote ya kilimo.

38 Na kuhani, mwana wa Haruni, anapaswa kuwa pamoja na Walawi wakati Walawi wanakusanya sehemu moja ya kumi (1/10); na Walawi wanapaswa kutoa sehemu moja ya kumi ya ile sehemu moja ya kumi kwa nyumba ya Mungu wetu,+ kwenye vyumba* vya depo. 39 Kwa maana Waisraeli na wana wa Walawi wanapaswa kuleta muchango+ wa nafaka, divai mupya, na mafuta+ kwenye madepo,* ni pale vyombo vya patakatifu vinapatikana, na pia makuhani wenye kutumikia, walinzi wa milango mikubwa, na waimbaji. Hatutapuuza nyumba ya Mungu wetu.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine