Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 101
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mutawala mwenye kutenda kwa uaminifu-mushikamanifu

        • ‘Sitavumilia kiburi’ (5)

        • “Nitaangalia waaminifu” (6)

Zaburi 101:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nitakupigia muziki.”

Zaburi 101:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa uaminifu-mushikamanifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:4; Zab 78:70, 72

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2005, uku. 24-25

Zaburi 101:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Matendo yao hayashikamane na mimi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 97:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/7/2011, uku. 12-13

Zaburi 101:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Sitajua.”

Zaburi 101:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nitamuharibu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 20:19

Zaburi 101:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kwa uaminifu-mushikamanifu.”

Zaburi 101:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mbele ya macho yangu.”

Zaburi 101:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nitaharibu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mez. 20:8

Maandiko ingine

Zb. 101:21 Fal. 9:4; Zab 78:70, 72
Zb. 101:3Zab 97:10
Zb. 101:5Mez. 20:19
Zb. 101:8Mez. 20:8
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 101:1-8

Zaburi

Ya Daudi. Muziki.

101 Nitaimba kuhusu upendo mushikamanifu na haki.

Nitakuimbia sifa,* Ee Yehova.

 2 Nitatenda kwa busara na bila lawama.*

Utakuja kwangu wakati gani?

Nitatembea kwa uaminifu-mushikamanifu wa moyo+ ndani ya nyumba yangu.

 3 Sitatia mbele ya macho yangu kitu chenye hakina mafaa yoyote.

Ninachukia matendo ya wale wenye kukengeuka na kuacha mambo yenye kuwa sawa;+

Sitashirikiana nao hata kidogo.*

 4 Moyo wenye kupotoka uko mbali na mimi;

Sitakubali* mambo ya mubaya.

 5 Mutu yeyote mwenye kumuchongea jirani yake kwa uficho,+

Nitamunyamazisha.*

Mutu yeyote mwenye kuwa na macho yenye kiburi na moyo wenye majivuno,

Sitamuvumilia.

 6 Nitaangalia waaminifu wa dunia,

Ili wakae pamoja na mimi.

Ule mwenye kutembea bila lawama* atanitumikia.

 7 Hakuna mutu yeyote mudanganyifu mwenye atakaa katika nyumba yangu,

Na hakuna muongo yeyote mwenye atasimama mbele yangu.*

 8 Kila asubui nitanyamazisha* waovu wote wa dunia,

Ili kuondoa wakosaji wote katika muji wa Yehova.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine