Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 105
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Matendo ya uaminifu ya Yehova kuelekea watu wake

        • Mungu anakumbuka agano lake (8-10)

        • “Musiguse watiwa-mafuta wangu” (15)

        • Mungu anamutumia Yosefu mwenye alikuwa katika utumwa (17-22)

        • Miujiza ya Mungu katika Misri (23-36)

        • Israeli wanatoka Misri (37-39)

        • Mungu anakumbuka ahadi yenye alimupatia Abrahamu (42)

Zaburi 105:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 136:1
  • +1Nya 16:8-13; Zab 96:3; 145:11, 12; Isa 12:4

Zaburi 105:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mumupigie muziki.”

  • *

    Ao pengine, “Museme.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 77:12; 119:27

Zaburi 105:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 9:24
  • +Zab 119:2

Zaburi 105:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuwapo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 5:4; Sef 2:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2000, uku. 15

Zaburi 105:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:18, 19

Zaburi 105:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wazao wa.” Tnn., “mbegu ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:6
  • +Kut 19:5, 6; Isa 41:8

Zaburi 105:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 20:2; Zab 100:3
  • +1Nya 16:14-18; Isa 26:9; Ufu 15:4

Zaburi 105:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Neno lenye aliamuru.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 1:5
  • +Kum 7:9; Lu 1:72, 73

Zaburi 105:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 17:1, 2; 22:15-18
  • +Mwa 26:3

Zaburi 105:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 12:7; 13:14, 15; 15:18; 26:3; 28:13
  • +Zab 78:55

Zaburi 105:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 34:30
  • +Mwa 17:8; 23:4; 1Nya 16:19-22; Mdo 7:4, 5

Zaburi 105:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 20:1; 46:6

Zaburi 105:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 31:7, 42
  • +Mwa 12:17; 20:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2013, uku. 20-21

    15/4/2010, uku. 8

Zaburi 105:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 26:9, 11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/3/2013, uku. 20-21

    15/4/2010, uku. 8

    “Kila Andiko,” uku. 18

Zaburi 105:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Alivunja kila fimbo ya mukate.” Inawezekana ni fimbo zenye zilikuwa zinatumiwa ili kuwekea mikate.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 41:30, 54; 42:5; Mdo 7:11

Zaburi 105:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 37:28, 36; 45:4, 5; 50:20

Zaburi 105:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Walitesa.”

  • *

    Ao “Nafsi yake iliingia katika chuma.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 39:20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/11/2014, uku. 14-15

Zaburi 105:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 7:10

Zaburi 105:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 41:14

Zaburi 105:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 41:39-41, 48; 45:8

Zaburi 105:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ili afunge.”

  • *

    Ao “kwa njia yenye kupendeza nafsi yake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 41:33, 38

Zaburi 105:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 46:4, 6

Zaburi 105:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 1:7; Mdo 7:17
  • +Kut 1:8, 9

Zaburi 105:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 1:10; Mdo 7:18, 19

Zaburi 105:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 3:10; 4:12; 6:11
  • +Kut 4:14; 7:1

Zaburi 105:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:10; Zab 78:43-51

Zaburi 105:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 10:22, 23

Zaburi 105:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 7:20, 21

Zaburi 105:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 8:6

Zaburi 105:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 8:17, 24

Zaburi 105:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “miali ya moto.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 9:23-26

Zaburi 105:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 10:13-15

Zaburi 105:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:29

Zaburi 105:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 15:13, 14; Kut 3:22; 12:35, 36

Zaburi 105:38

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 12:33

Zaburi 105:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 14:19, 20
  • +Kut 13:21

Zaburi 105:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 78:27
  • +Kut 16:12-15; Zab 78:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/6/2014, uku. 7-8

Zaburi 105:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 17:6; 1 Kor. 10:1, 4
  • +Zab 78:15, 16

Zaburi 105:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 12:7; 15:13, 14; Kut 2:24; Kum 9:5

Zaburi 105:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 33:3

Zaburi 105:44

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 11:23; 21:43; Ne 9:22; Zab 78:55; Mdo 13:19
  • +Kum 6:10, 11; Yosh. 5:11, 12

Zaburi 105:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Haleluya!” “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 4:40

Maandiko ingine

Zb. 105:1Zab 136:1
Zb. 105:11Nya 16:8-13; Zab 96:3; 145:11, 12; Isa 12:4
Zb. 105:2Zab 77:12; 119:27
Zb. 105:3Yer 9:24
Zb. 105:3Zab 119:2
Zb. 105:4Amo 5:4; Sef 2:3
Zb. 105:5Kum 7:18, 19
Zb. 105:6Kut 3:6
Zb. 105:6Kut 19:5, 6; Isa 41:8
Zb. 105:7Kut 20:2; Zab 100:3
Zb. 105:71Nya 16:14-18; Isa 26:9; Ufu 15:4
Zb. 105:8Ne 1:5
Zb. 105:8Kum 7:9; Lu 1:72, 73
Zb. 105:9Mwa 17:1, 2; 22:15-18
Zb. 105:9Mwa 26:3
Zb. 105:11Mwa 12:7; 13:14, 15; 15:18; 26:3; 28:13
Zb. 105:11Zab 78:55
Zb. 105:12Mwa 34:30
Zb. 105:12Mwa 17:8; 23:4; 1Nya 16:19-22; Mdo 7:4, 5
Zb. 105:13Mwa 20:1; 46:6
Zb. 105:14Mwa 31:7, 42
Zb. 105:14Mwa 12:17; 20:2, 3
Zb. 105:15Mwa 26:9, 11
Zb. 105:16Mwa 41:30, 54; 42:5; Mdo 7:11
Zb. 105:17Mwa 37:28, 36; 45:4, 5; 50:20
Zb. 105:18Mwa 39:20
Zb. 105:19Mdo 7:10
Zb. 105:20Mwa 41:14
Zb. 105:21Mwa 41:39-41, 48; 45:8
Zb. 105:22Mwa 41:33, 38
Zb. 105:23Mwa 46:4, 6
Zb. 105:24Kut 1:7; Mdo 7:17
Zb. 105:24Kut 1:8, 9
Zb. 105:25Kut 1:10; Mdo 7:18, 19
Zb. 105:26Kut 3:10; 4:12; 6:11
Zb. 105:26Kut 4:14; 7:1
Zb. 105:27Ne 9:10; Zab 78:43-51
Zb. 105:28Kut 10:22, 23
Zb. 105:29Kut 7:20, 21
Zb. 105:30Kut 8:6
Zb. 105:31Kut 8:17, 24
Zb. 105:32Kut 9:23-26
Zb. 105:34Kut 10:13-15
Zb. 105:36Kut 12:29
Zb. 105:37Mwa 15:13, 14; Kut 3:22; 12:35, 36
Zb. 105:38Kut 12:33
Zb. 105:39Kut 14:19, 20
Zb. 105:39Kut 13:21
Zb. 105:40Zab 78:27
Zb. 105:40Kut 16:12-15; Zab 78:24
Zb. 105:41Kut 17:6; 1 Kor. 10:1, 4
Zb. 105:41Zab 78:15, 16
Zb. 105:42Mwa 12:7; 15:13, 14; Kut 2:24; Kum 9:5
Zb. 105:43Hes 33:3
Zb. 105:44Yosh. 11:23; 21:43; Ne 9:22; Zab 78:55; Mdo 13:19
Zb. 105:44Kum 6:10, 11; Yosh. 5:11, 12
Zb. 105:45Kum 4:40
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 105:1-45

Zaburi

105 Mumushukuru Yehova,+ muitie jina lake,

Mujulishe matendo yake kati ya vikundi vya watu!+

 2 Mumuimbie, mumuimbie sifa,*

Mufikiri sana* juu ya kazi zake zote za ajabu.+

 3 Mujisifu juu ya jina lake takatifu.+

Mioyo ya wale wenye kumutafuta Yehova ishangilie.+

 4 Mumutafute Yehova+ na nguvu zake.

Mutafute uso* wake bila kuacha.

 5 Mukumbuke kazi za ajabu zenye amefanya,

Miujiza yake na hukumu zenye ametangaza,+

 6 Ninyi uzao wa* Abrahamu mutumishi wake,+

Ninyi wana wa Yakobo, wachaguliwa wake.+

 7 Yeye ni Yehova Mungu wetu.+

Hukumu zake ziko katika dunia yote.+

 8 Anakumbuka agano lake milele,+

Ahadi yenye alitoa,* mupaka vizazi elfu,+

 9 Agano lenye alifanya pamoja na Abrahamu,+

Na kiapo chenye alimuapia Isaka,+

10 Chenye aliweka kuwa amri kwa Yakobo

Na kuwa agano la kudumu kwa Israeli,

11 Akisema, “Nitakupatia inchi ya Kanaani+

Kuwa uriti wenu wenye muligawiwa.”+

12 Ilikuwa vile wakati walikuwa hesabu kidogo,+

Ndiyo, kidogo sana, na walikuwa wageni katika inchi.+

13 Walitembea-tembea kutoka taifa moja mupaka taifa lingine,

Kutoka ufalme mumoja mupaka kikundi kingine cha watu.+

14 Hakumuruhusu mutu yeyote awakandamize,+

Lakini kwa sababu yao alikaripia wafalme,+

15 Kwa kusema, “Musiguse watiwa-mafuta wangu,

Na musitendee manabii wangu jambo lolote la mubaya.”+

16 Alileta njaa katika inchi;+

Aliondoa akiba yao ya mikate.*

17 Alituma mutu mumoja awatangulie

Mwenye aliuzishwa ili kuwa mutumwa, Yosefu.+

18 Walifunga* miguu yake kwa pingu,+

Shingo yake ilitiwa katika vyuma;*

19 Mupaka wakati neno lake lilitimia,+

Neno la Yehova ndilo lilimusafisha.

20 Mufalme alituma watu wamufungue,+

Mutawala wa vikundi vya watu alimuweka huru.

21 Akamufanya kuwa bwana wa nyumba yake,

Mutawala juu ya mali zake zote,+

22 Ili akuwe na mamlaka juu ya* wakubwa wake namna alipenda*

Na ili afundishe wazee wake hekima.+

23 Kisha Israeli akaingia Misri,+

Na Yakobo akakaa akiwa mugeni katika inchi ya Hamu.

24 Mungu alifanya watu wake waongezeke sana;+

Aliwafanya wakuwe na nguvu kuliko wapinzani wao,+

25 Aliruhusu mioyo yao ibadilike ili wachukie watu wake,

Ili wafanye mupango mubaya juu ya watumishi wake.+

26 Alimutuma Musa mutumishi wake,+

Na Haruni,+ mwenye alikuwa amechagua.

27 Walifanya alama zake kati yao,

Miujiza yake katika inchi ya Hamu.+

28 Alituma giza na inchi ikakuwa giza;+

Hawakuasi maneno yake.

29 Alibadilisha maji yao kuwa damu

Na kuua samaki wao.+

30 Inchi yao ikajaa vyura,+

Hata katika vyumba vya kifalme.

31 Aliagiza mainzi wavamie

Na imbu katika maeneo yao yote.+

32 Alibadilisha mvua yao kuwa mvua ya majiwe

Na kutuma umeme wa radi* katika inchi yao.+

33 Alipiga mizabibu yao na miti yao ya tini

Na kuvunja-vunja miti ya eneo lao.

34 Alisema nzige wavamie,

Nzige wadogo wenye hawakukuwa na hesabu.+

35 Walikula mimea yote katika inchi,

Na walimeza mazao ya udongo.

36 Kisha akapiga na kuua kila muzaliwa wa kwanza katika inchi yao,+

Mwanzo wa nguvu zao za uzazi.

37 Alipeleka watu wake inje wakiwa na feza na zahabu;+

Na hakuna mutu yeyote kati ya makabila yake mwenye alijikwaa.

38 Misri ilishangilia wakati waliondoka,

Kwa maana woga mukubwa wa Israeli* ulikuwa umewaangukia.+

39 Alitandika wingu ili liwafunike+

Na moto ili utoe mwangaza wakati wa usiku.+

40 Waliomba, naye akaleta kware;+

Aliendelea kuwashibisha mukate kutoka mbinguni.+

41 Alifungua mwamba, na maji yakatiririka;+

Maji hayo yalitiririka katika jangwa kama muto.+

42 Kwa maana alikumbuka ahadi takatifu yenye alimupatia Abrahamu mutumishi wake.+

43 Kwa hiyo akatosha watu wake wakishangilia,+

Alitosha wachaguliwa wake kwa vigelegele vya shangwe.

44 Aliwapatia inchi za mataifa;+

Waliriti vitu vyenye vikundi vingine vya watu vilikuwa vimetumika sana ili kuvitengeneza,+

45 Ili watii maagizo yake+

Na kushika sheria zake.

Mumusifu Yah!*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine