Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 107
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Mumushukuru Mungu kwa sababu ya kazi zake za ajabu

        • Aliwaongoza katika njia yenye kufaa (7)

        • Alitosheleza wenye kiu na kushibisha wenye njaa (9)

        • Aliwatosha katika giza (14)

        • Alituma neno lake ili kuwaponyesha (20)

        • Analinda maskini ili wasikandamizwe (41)

Zaburi 107:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Lu 18:19
  • +1Nya 16:34; Zab 103:17

Zaburi 107:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “walinunuliwa.”

  • *

    Ao “nguvu za.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 35:10; Yer 15:21; Mik 4:10

Zaburi 107:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Kutoka mahali jua linatokea na kutoka mahali jua linashukia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 106:47; Yer 29:14
  • +Isa 43:5, 6; Yer 31:8

Zaburi 107:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yao ilizimia.”

Zaburi 107:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ho 5:14, 15
  • +Isa 41:17

Zaburi 107:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 30:21
  • +Ne 11:3

Zaburi 107:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 16:8
  • +Zab 40:5

Zaburi 107:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yenye kukauka.”

  • *

    Ao “nafsi yenye njaa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:10; Isa 55:2; Lu 1:53

Zaburi 107:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 106:43; Omb 3:42

Zaburi 107:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:21

Zaburi 107:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 68:6; 146:7; Isa 49:8, 9; 61:1

Zaburi 107:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 3:22

Zaburi 107:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Pingo ni kipande cha muti ao cha chuma cha kufungia mulango kwa ndani.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 45:1, 2

Zaburi 107:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 2:19
  • +Omb 3:39

Zaburi 107:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yao ilichukia kabisa.”

Zaburi 107:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 147:3

Zaburi 107:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 7:12; Zab 50:14

Zaburi 107:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mashua za maji; bateaux.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 9:21; Eze 27:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2005, uku. 32

Zaburi 107:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 1:21; Zab 104:25

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2005, uku. 32

Zaburi 107:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 135:7; Yer 10:13; Yon 1:4

Zaburi 107:26

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nafsi yao inayeyuka.”

Zaburi 107:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yon 1:4, 13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 14

Zaburi 107:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yon 1:14

Zaburi 107:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 65:7; 89:9; Yon 1:15

Zaburi 107:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Bandari ni mahali mashua zinaegesha.

Zaburi 107:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 105:5

Zaburi 107:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kiti cha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 111:1

Zaburi 107:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 17:1, 7; Isa 42:15; Amo 4:7

Zaburi 107:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 13:10; Kum 29:22, 23

Zaburi 107:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 3:17; Isa 35:7; 41:18

Zaburi 107:36

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 146:7; Lu 1:53
  • +Zab 107:7

Zaburi 107:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 65:21
  • +Mdo 14:17

Zaburi 107:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 7:13, 14

Zaburi 107:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 12:21, 24

Zaburi 107:41

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “anainua juu,” ni kusema, ili wasifikiwe.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 2:8

Zaburi 107:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 58:10
  • +Kut 11:7; Zab 63:11

Zaburi 107:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 64:9; Ho 14:9
  • +Zab 77:12; 143:5; Yer 9:24

Maandiko ingine

Zb. 107:1Lu 18:19
Zb. 107:11Nya 16:34; Zab 103:17
Zb. 107:2Isa 35:10; Yer 15:21; Mik 4:10
Zb. 107:3Zab 106:47; Yer 29:14
Zb. 107:3Isa 43:5, 6; Yer 31:8
Zb. 107:6Ho 5:14, 15
Zb. 107:6Isa 41:17
Zb. 107:7Isa 30:21
Zb. 107:7Ne 11:3
Zb. 107:81Nya 16:8
Zb. 107:8Zab 40:5
Zb. 107:9Zab 34:10; Isa 55:2; Lu 1:53
Zb. 107:11Zab 106:43; Omb 3:42
Zb. 107:12Law. 26:21
Zb. 107:14Zab 68:6; 146:7; Isa 49:8, 9; 61:1
Zb. 107:15Omb 3:22
Zb. 107:16Isa 45:1, 2
Zb. 107:17Yer 2:19
Zb. 107:17Omb 3:39
Zb. 107:20Zab 147:3
Zb. 107:22Law. 7:12; Zab 50:14
Zb. 107:232Nya 9:21; Eze 27:9
Zb. 107:24Mwa 1:21; Zab 104:25
Zb. 107:25Zab 135:7; Yer 10:13; Yon 1:4
Zb. 107:27Yon 1:4, 13
Zb. 107:28Yon 1:14
Zb. 107:29Zab 65:7; 89:9; Yon 1:15
Zb. 107:31Zab 105:5
Zb. 107:32Zab 111:1
Zb. 107:331 Fal. 17:1, 7; Isa 42:15; Amo 4:7
Zb. 107:34Mwa 13:10; Kum 29:22, 23
Zb. 107:352 Fal. 3:17; Isa 35:7; 41:18
Zb. 107:36Zab 146:7; Lu 1:53
Zb. 107:36Zab 107:7
Zb. 107:37Isa 65:21
Zb. 107:37Mdo 14:17
Zb. 107:38Kum 7:13, 14
Zb. 107:40Yob 12:21, 24
Zb. 107:411 Sa. 2:8
Zb. 107:42Zab 58:10
Zb. 107:42Kut 11:7; Zab 63:11
Zb. 107:43Zab 64:9; Ho 14:9
Zb. 107:43Zab 77:12; 143:5; Yer 9:24
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 107:1-43

Zaburi

KITABU CHA TANO

(Zaburi 107-150)

107 Mumushukuru Yehova, kwa maana yeye ni mwema;+

Upendo wake mushikamanifu unadumu milele.+

 2 Acha wale wenye walikombolewa* na Yehova waseme jambo hilo,

Wale wenye alikomboa katika mukono wa* mupinzani,+

 3 Wale wenye alikusanya pamoja kutoka katika inchi mbalimbali,+

Kutoka mashariki na kutoka mangaribi,*

Kutoka kaskazini na kutoka kusini.+

 4 Walitanga-tanga katika nyika, katika jangwa;

Hawakupata njia ya kuenda katika muji kwenye wangeweza kuishi.

 5 Walikuwa na njaa na kiu;

Walizimia* kwa sababu ya kuchoka sana.

 6 Waliendelea kumulilia Yehova katika taabu yao;+

Aliwaokoa katika shida yao.+

 7 Aliwafanya watembee katika njia yenye kufaa+

Ili wafike katika muji kwenye wangeweza kuishi.+

 8 Watu wamushukuru Yehova+ kwa sababu ya upendo wake mushikamanifu

Na kwa sababu ya kazi zake za ajabu zenye anatendea wana wa binadamu.+

 9 Kwa maana ametosheleza wenye kiu*

Na kujaza wenye njaa* kwa vitu vya muzuri.+

10 Wamoja kati yao walikuwa wanaishi katika giza nzito sana,

Wafungwa katika mateso na vyuma.

11 Kwa maana walikuwa wameasi neno la Mungu;

Hawakuheshimia shauri la Mwenye Kuwa Juu Zaidi.+

12 Kwa hiyo alinyenyekeza mioyo yao kupitia taabu;+

Walijikwaa, na hapakukuwa mutu yeyote wa kuwasaidia.

13 Walimuomba Yehova awasaidie katika taabu yao;

Akawaokoa katika shida yao.

14 Aliwatosha katika giza nzito sana,

Na kukata pingu zao.+

15 Watu wamushukuru Yehova kwa sababu ya upendo wake mushikamanifu+

Na kwa sababu ya kazi zake za ajabu zenye anatendea wana wa binadamu.

16 Kwa maana amevunja milango ya shaba

Na kukata mapingo* ya chuma.+

17 Walikuwa wapumbavu na waliteseka+

Kwa sababu ya makosa yao na zambi zao.+

18 Walipoteza hamu ya kula* vyakula vyote;

Walikaribia milango mikubwa ya kifo.

19 Walikuwa wanamuomba Yehova awasaidie katika taabu yao;

Na alikuwa anawaokoa katika shida yao.

20 Alikuwa anatuma neno lake na kuwaponyesha+

Na kuwaokoa katika mashimo yenye walikuwa wamenaswa ndani.

21 Watu wamushukuru Yehova kwa sababu ya upendo wake mushikamanifu

Na kwa sababu ya kazi zake za ajabu zenye anatendea wana wa binadamu.

22 Acha watoe zabihu za shukrani+

Na kutangaza kazi zake kwa vigelegele vya shangwe.

23 Wale wenye kusafiri kwa mashua* juu ya bahari,

Wenye kufanya biashara yao juu ya maji mengi,+

24 Wameona kazi za Yehova

Na kazi zake za ajabu katika mahali kwenye maji yenye kuenda chini sana;+

25 Namna zoruba yenye upepo mukali inainuka kwa neno lake,+

Na kuinua mawimbi ya bahari.

26 Wanapanda juu mupaka kwenye anga;

Wanashuka mupaka katika sehemu za chini kabisa.

Uhodari wao unayeyuka* kwa sababu ya musiba wenye kukaribia.

27 Wanayumba-yumba na kuenda huku na huku kama mulevi,

Na ufundi wao wote unakuwa hauna mafaa yoyote.+

28 Kisha wanamulilia Yehova kwa sauti kubwa katika taabu yao,+

Na anawaokoa katika shida yao.

29 Anatuliza zoruba yenye upepo mukali;

Mawimbi ya bahari yananyamaza.+

30 Wanashangilia wakati yanatulia,

Na anawaongoza mupaka kwenye bandari* yenye wanatamani.

31 Watu wamushukuru Yehova kwa sababu ya upendo wake mushikamanifu

Na kwa sababu ya kazi zake za ajabu zenye anatendea wana wa binadamu.+

32 Acha wamutukuze katika kutaniko la watu,+

Na acha wamusifu katika baraza la* wazee.

33 Anageuza mito kuwa jangwa,

Na chemchemi za maji kuwa udongo wenye kukauka,+

34 Eneo lenye kuzaa kuwa eneo lenye chumvi ambalo limeachwa,+

Kwa sababu ya uovu wa wale wenye kukaa ndani yake.

35 Anageuza jangwa kuwa viziwa vya maji vyenye matete,

Na inchi kavu kuwa chemchemi za maji.+

36 Anafanya wenye njaa wakae kule,+

Ili wajenge muji kwenye wanaweza kuishi.+

37 Wanapanda mbegu katika mashamba na kupanda mashamba ya mizabibu+

Yenye kuzaa mazao mengi.+

38 Anawabariki na wanaongezeka sana;

Haache ngombe wao wapunguke.+

39 Lakini tena wanakuwa kidogo na kunyenyekezwa

Kwa sababu ya ukandamizaji, musiba, na huzuni.

40 Anamwanga zarau juu ya watu wenye vyeo

Na kuwafanya watange-tange kwenye hakuna njia katika maeneo yenye yameachwa.+

41 Lakini analinda* maskini ili wasikandamizwe+

Na kufanya familia zao zikuwe nyingi sana kama kundi.

42 Watu wanyoofu wanaona jambo hilo na kushangilia;+

Lakini watu wote wenye hawako wenye haki wanafunga vinywa vyao.+

43 Mutu yeyote mwenye kuwa na hekima atachunguza mambo hayo+

Na atafikiria kwa uangalifu matendo ya Yehova ya upendo mushikamanifu.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine