Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 109
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Sala ya mutu mwenye kuwa katika taabu

        • “Mutu mwingine akamate cheo chake” (8)

        • Mungu anasimama kwenye mukono wa kuume wa maskini (31)

Zaburi 109:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 33:1

Zaburi 109:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 15:2, 3; Zab 31:18

Zaburi 109:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 15:12; 16:5-7; Zab 69:4

Zaburi 109:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 13:39

Zaburi 109:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 35:11, 12; 38:19, 20
  • +Zab 55:12-14

Zaburi 109:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mushitaki.”

Zaburi 109:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “aonekane kuwa muovu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:15; Mik 3:4

Zaburi 109:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 55:23; Mt 27:5
  • +Mdo 1:16-20

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 18-19

    “Kila Andiko,” uku. 204

Zaburi 109:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

Zaburi 109:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

Zaburi 109:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Wenye kuomba faida ya juu sana wawekee mitego.”

  • *

    Ao “eko.”

Zaburi 109:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “upendo mushikamanifu.”

Zaburi 109:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Kizazi chake chenye kuja kiharibiwe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 37:28

Zaburi 109:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 3:28, 29; 21:1

Zaburi 109:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 34:16

Zaburi 109:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “upendo mushikamanifu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yak 2:13
  • +Zab 10:2
  • +2 Sa. 16:11; 17:1, 2; Zab 37:32

Zaburi 109:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mushipi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 109:29

Zaburi 109:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yangu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 17:23

Zaburi 109:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 25:11; 31:3
  • +Zab 36:7; 69:16; 86:5

Zaburi 109:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 40:17
  • +Zab 102:4

Zaburi 109:23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 13

Zaburi 109:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Mwili wangu umekuwa mwembamba, hauna mafuta.”

Zaburi 109:25

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 31:11
  • +Zab 22:7; Mt 27:39

Zaburi 109:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “koti yenye haina mikono.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 35:26

Zaburi 109:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:22

Zaburi 109:31

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuhukumu nafsi yake.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/9/2006, uku. 14

Maandiko ingine

Zb. 109:1Zab 33:1
Zb. 109:22 Sa. 15:2, 3; Zab 31:18
Zb. 109:32 Sa. 15:12; 16:5-7; Zab 69:4
Zb. 109:42 Sa. 13:39
Zb. 109:5Zab 35:11, 12; 38:19, 20
Zb. 109:5Zab 55:12-14
Zb. 109:7Isa 1:15; Mik 3:4
Zb. 109:8Zab 55:23; Mt 27:5
Zb. 109:8Mdo 1:16-20
Zb. 109:13Zab 37:28
Zb. 109:142 Sa. 3:28, 29; 21:1
Zb. 109:15Zab 34:16
Zb. 109:16Yak 2:13
Zb. 109:16Zab 10:2
Zb. 109:162 Sa. 16:11; 17:1, 2; Zab 37:32
Zb. 109:19Zab 109:29
Zb. 109:202 Sa. 17:23
Zb. 109:21Zab 25:11; 31:3
Zb. 109:21Zab 36:7; 69:16; 86:5
Zb. 109:22Zab 40:17
Zb. 109:22Zab 102:4
Zb. 109:25Zab 31:11
Zb. 109:25Zab 22:7; Mt 27:39
Zb. 109:29Zab 35:26
Zb. 109:30Zab 22:22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 109:1-31

Zaburi

Kwa kiongozi. Ya Daudi. Muziki.

109 Ee Mungu mwenye ninasifu,+ usibakie kimya.

 2 Kwa maana waovu na wadanganyifu wananifungulia vinywa vyao.

Wanasema kunihusu kwa ndimi za uongo;+

 3 Wananizunguka na maneno ya chuki,

Na wananishambulia bila sababu.+

 4 Wananipinga hata kama mimi ninawapenda;+

Lakini ninaendelea kusali.

 5 Wananilipa ubaya kwa wema.+

Na chuki kwa upendo wangu.+

 6 Weka mutu muovu juu yake;

Acha mupinzani* asimame kwenye mukono wake wa kuume.

 7 Wakati anahukumiwa, acha apatikane na hatia;*

Hata sala yake ihesabiwe kuwa zambi.+

 8 Siku zake zikuwe kidogo;+

Mutu mwingine akamate cheo chake cha uangalizi.+

 9 Acha watoto* wake wakuwe bila baba,

Na bibi yake akuwe mujane.

10 Acha watoto* wake wakuwe watu wenye kutanga-tanga wakiomba-omba,

Wakitafuta chakula mbali na nyumba zao zenye kuharibiwa.

11 Mwenye alimukopesha akamate* vitu vyote vyenye iko* navyo,

Na wageni wanyanganye mali zake.

12 Mutu yeyote asimutendee kwa fazili,*

Na mutu yeyote asionyeshe wema watoto wake wenye hawana baba.

13 Wazao wake waharibiwe;*+

Jina lao lifutwe katika kizazi.

14 Yehova akumbuke kosa la mababu zake,+

Na zambi ya mama yake isifutwe.

15 Yehova aendelee kukumbuka mambo yenye wamefanya;

Na aondoe kumbukumbu lao lisikuwe tena katika dunia.+

16 Kwa maana hakukumbuka kuonyesha fazili,*+

Lakini aliendelea kumufuatilia mutu mwenye kukandamizwa,+ maskini, na mutu mwenye kuvunjika moyo

Ili amuue.+

17 Alipenda kulaani, kwa hiyo laana hiyo ikamupata;

Hakutaka kubariki, kwa hiyo hakupata baraka yoyote.

18 Alivalishwa laana kama nguo yake.

Na laana hizo zikamwangwa katika mwili wake kama maji,

Katika mifupa yake kama mafuta.

19 Laana zake zikuwe kama nguo yenye anajifunika+

Na kama mukaba* wenye anavaa sikuzote.

20 Hayo ndiyo malipo kutoka kwa Yehova ya mutu mwenye kunipinga+

Na ya wale wenye kusema mambo maovu juu yangu.*

21 Lakini wewe, Yehova Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi,

Tenda kwa faida yangu kwa ajili ya jina lako.+

Uniokoe, kwa sababu upendo wako mushikamanifu ni mwema.+

22 Kwa maana sina uwezo na niko maskini,+

Na moyo wangu umetobolewa ndani yangu.+

23 Ninapitilia mbali kama kivuli chenye kufifia;

Nimekungutwa kama nzige.

24 Magoti yangu yanaregea kwa sababu ya kufunga;

Mwili wangu umekonda, na ninaendelea kuwa muzaifu.*

25 Nimekuwa kitu chao cha kuchokoza.+

Wakati wananiona, wanatikisa vichwa vyao.+

26 Unisaidie, Ee Yehova Mungu wangu;

Uniokoe kupitia upendo wako mushikamanifu.

27 Wajue kwamba mukono wako ndio ulitenda hili;

Kwamba wewe, Ee Yehova, umetenda hili.

28 Watangaze laana, lakini wewe utoe baraka.

Wapatishwe haya wakati wanasimama ili kunishambulia,

Lakini mutumishi wako ashangilie.

29 Wale wenye kunipinga wavalishwe aibu;

Wafunikwe haya yao kama kanzu.*+

30 Kinywa changu kitamusifu Yehova kwa bidii;

Nitamusifu mbele ya watu wengi.+

31 Kwa maana atasimama kwenye mukono wa kuume wa maskini

Ili amuokoe kutoka kwa wale wenye kumuhukumu.*

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine