Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 122
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Sala ya kuomba muji wa Yerusalemu ukuwe na amani

        • Shangwe ya kuenda kwenye nyumba ya Yehova (1)

        • Muji wenye kuunganishwa pamoja kama kitu kimoja (3)

Zaburi 122:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 6:15; Zab 27:4; 42:4; 84:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Huduma ya Ufalme,

    12/2001, uku. 3

Zaburi 122:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 6:6; Zab 84:7; 100:4

Zaburi 122:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:9

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/12/2014, uku. 24

    1/9/2006, uku. 15

Zaburi 122:4

Maelezo ya Chini

  • *

    “Yah” ni kifupi cha jina Yehova.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kut 23:17; Kum 12:5, 6

Zaburi 122:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 17:8, 9; 2Nya 19:8
  • +2 Sa. 7:16; 1 Fal. 10:18; 1Nya 29:23

Zaburi 122:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 51:18

Zaburi 122:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kuta zako zenye ngome.”

Zaburi 122:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:3; Zab 26:8; 69:9

Maandiko ingine

Zb. 122:12 Sa. 6:15; Zab 27:4; 42:4; 84:10
Zb. 122:22Nya 6:6; Zab 84:7; 100:4
Zb. 122:32 Sa. 5:9
Zb. 122:4Kut 23:17; Kum 12:5, 6
Zb. 122:5Kum 17:8, 9; 2Nya 19:8
Zb. 122:52 Sa. 7:16; 1 Fal. 10:18; 1Nya 29:23
Zb. 122:6Zab 51:18
Zb. 122:91Nya 29:3; Zab 26:8; 69:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 122:1-9

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda. Wa Daudi.

122 Nilishangilia wakati waliniambia:

“Tuende kwenye nyumba ya Yehova.”+

 2 Na sasa miguu yetu inasimama

Ndani ya milango yako mikubwa, Ee Yerusalemu.+

 3 Yerusalemu imejengwa kama muji

Wenye kuunganishwa pamoja kama kitu kimoja.+

 4 Makabila yamepanda kuenda kwenye muji huo,

Makabila ya Yah,*

Kulingana na kikumbusho chenye Israeli walipewa,

Ili kushukuru jina la Yehova.+

 5 Kwa maana viti vya ufalme vya hukumu viliwekwa kule,+

Viti vya ufalme vya nyumba ya Daudi.+

 6 Muombe Yerusalemu ikuwe na amani.+

Wale wenye kukupenda, Ee muji, watakuwa salama.

 7 Amani iendelee ndani ya boma zako,*

Usalama ndani ya minara yako yenye ngome.

 8 Kwa ajili ya ndugu zangu na wenzangu nitasema:

“Amani ikuwe ndani yako.”

 9 Kwa ajili ya nyumba ya Yehova Mungu wetu,+

Nitatafuta mema kwa ajili yako.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine