Zaburi
Wimbo wa Safari za Kupanda. Wa Daudi.
131 Ee Yehova, moyo wangu hauna majivuno,
Wala macho yangu hayana kiburi;+
Wala sijitafutie mambo makubwa sana,+
Wala mambo yenye kupita uwezo wangu.
2 Hapana, lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu*+
Kama mutoto mwenye ameachishwa kunyonya akiwa katika mikono ya mama yake;
Nimetosheka* kama mutoto mwenye ameachishwa kunyonya.
3 Israeli amungojee Yehova+
Kuanzia sasa na milele.