Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 132
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Daudi anachaguliwa na pia Sayuni

        • “Usimukatae mutiwa-mafuta wako” (10)

        • Makuhani wa Sayuni wanavalishwa wokovu (16)

Zaburi 132:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 20:1

Zaburi 132:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:2, 3

Zaburi 132:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 5:11

Zaburi 132:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Tabenakulo kubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 7:2; 1 Fal. 8:17; 1Nya 15:3, 12; Mdo 7:45, 46

Zaburi 132:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:12
  • +1 Sa. 7:1; 1Nya 13:6

Zaburi 132:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “tabenakulo yake kubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 43:3
  • +1Nya 28:2; Zab 5:7

Zaburi 132:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 10:35; 2 Sa. 6:17
  • +2Nya 6:41, 42

Zaburi 132:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Usigeuzie nyuma uso wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 15:4; 2 Fal. 19:34

Zaburi 132:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wa uzao wa tumbo lako la uzazi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 8:25; Zab 89:3, 4, 20, 36; Isa 9:7; Yer 33:20, 21; Mt 9:27; Lu 1:69; Mdo 2:30, 31; 13:22, 23

Zaburi 132:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1Nya 29:19
  • +2 Sa. 7:12, 16; 1Nya 17:11, 12; Zab 89:20, 29

Zaburi 132:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 48:2, 3; 78:68; Ebr 12:22
  • +Zab 87:2

Zaburi 132:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 46:5; Isa 24:23

Zaburi 132:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 22:26; 147:12, 14

Zaburi 132:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 149:4
  • +Zab 132:8, 9

Zaburi 132:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pembe ya Daudi ikomae.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 11:36; 15:4; 2Nya 21:7

Zaburi 132:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 2:6; 72:8; Isa 9:6; Ufu 11:15

Maandiko ingine

Zb. 132:11 Sa. 20:1
Zb. 132:22 Sa. 7:2, 3
Zb. 132:32 Sa. 5:11
Zb. 132:52 Sa. 7:2; 1 Fal. 8:17; 1Nya 15:3, 12; Mdo 7:45, 46
Zb. 132:61 Sa. 17:12
Zb. 132:61 Sa. 7:1; 1Nya 13:6
Zb. 132:7Zab 43:3
Zb. 132:71Nya 28:2; Zab 5:7
Zb. 132:8Hes 10:35; 2 Sa. 6:17
Zb. 132:82Nya 6:41, 42
Zb. 132:101 Fal. 15:4; 2 Fal. 19:34
Zb. 132:111 Fal. 8:25; Zab 89:3, 4, 20, 36; Isa 9:7; Yer 33:20, 21; Mt 9:27; Lu 1:69; Mdo 2:30, 31; 13:22, 23
Zb. 132:121Nya 29:19
Zb. 132:122 Sa. 7:12, 16; 1Nya 17:11, 12; Zab 89:20, 29
Zb. 132:13Zab 48:2, 3; 78:68; Ebr 12:22
Zb. 132:13Zab 87:2
Zb. 132:14Zab 46:5; Isa 24:23
Zb. 132:15Zab 22:26; 147:12, 14
Zb. 132:16Zab 149:4
Zb. 132:16Zab 132:8, 9
Zb. 132:171 Fal. 11:36; 15:4; 2Nya 21:7
Zb. 132:18Zab 2:6; 72:8; Isa 9:6; Ufu 11:15
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 132:1-18

Zaburi

Wimbo wa Safari za Kupanda.

132 Ee Yehova, umukumbuke Daudi

Na mateso yake yote;+

 2 Namna alimuapia Yehova,

Namna alimuwekea naziri Mwenye Nguvu wa Yakobo:+

 3 “Sitaingia katika hema yangu, katika nyumba yangu.+

Sitalala kwenye kiti changu, kwenye kitanda changu;

 4 Sitaruhusu macho yangu yalale usingizi,

Wala kope zangu zisinzie

 5 Mupaka wakati nitapata mahali kwa ajili ya Yehova,

Makao ya muzuri* kwa ajili ya Mwenye Nguvu wa Yakobo.”+

 6 Angalia! Tulisikia habari hiyo katika Efrata;+

Tuliipata katika mashamba ya pori.+

 7 Acha tuingie katika makao yake;*+

Acha tuiname kwenye kiti cha miguu yake.+

 8 Simama, Ee Yehova, ili ukuje mahali pako pa kupumuzikia,+

Wewe na Sanduku la nguvu zako.+

 9 Makuhani wako wavae haki,

Na washikamanifu wako wapige vigelegele vya shangwe.

10 Kwa ajili ya Daudi mutumishi wako,

Usimukatae* mutiwa-mafuta wako.+

11 Yehova amemuapia Daudi;

Hakika hatakosa kutimiza neno lake:

“Mumoja wa wazao wako,*

Nitamutia kwenye kiti chako cha ufalme.+

12 Kama wana wako wanashika agano langu

Na vikumbusho vyangu vyenye ninawafundisha,+

Wana wao pia

Watakaa kwenye kiti chako cha ufalme milele.”+

13 Kwa maana Yehova amechagua Sayuni;+

Ametamani ikuwe makao yake:+

14 “Hapa ndipo mahali pangu pa kupumuzikia milele;

Nitakaa hapa,+ kwa maana hiyo ndiyo tamaa yangu.

15 Nitapabariki sana kwa vyakula;

Nitashibisha maskini wake kwa mikate.+

16 Makuhani wake nitawavalisha wokovu,+

Na washikamanifu wake watapiga vigelegele vya shangwe.+

17 Kule nitafanya nguvu za Daudi zikomae.*

Nimetayarisha taa kwa ajili ya mutiwa-mafuta wangu.+

18 Nitavalisha maadui wake haya,

Lakini taji lenye kuwa kwenye kichwa chake litasitawi.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine