Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 137
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Pembeni ya mito ya Babiloni

        • Nyimbo za Sayuni hazikuimbwa (3, 4)

        • Babiloni itaharibiwa (8)

Zaburi 137:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:13; Eze 3:15; Da. 10:4
  • +Da. 9:2, 3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 104

Zaburi 137:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, katikati ya Babiloni.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 24:8

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    2/2007, uku. 11

Zaburi 137:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 123:4

Zaburi 137:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “ukauke.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 2:3; Zab 84:2; 102:13, 14; Isa 62:1; Yer 51:50

Zaburi 137:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Kaakaa ni sehemu ya juu ndani ya kinywa.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 122:1

Zaburi 137:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 49:7; Omb 4:22; Eze 25:12; Oba 10-13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 151

Zaburi 137:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 47:1; Yer 25:12; 50:2
  • +Yer 50:29; Ufu 18:6

Zaburi 137:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:1, 16

Maandiko ingine

Zb. 137:1Yer 51:13; Eze 3:15; Da. 10:4
Zb. 137:1Da. 9:2, 3
Zb. 137:2Isa 24:8
Zb. 137:3Zab 123:4
Zb. 137:5Ne 2:3; Zab 84:2; 102:13, 14; Isa 62:1; Yer 51:50
Zb. 137:6Zab 122:1
Zb. 137:7Yer 49:7; Omb 4:22; Eze 25:12; Oba 10-13
Zb. 137:8Isa 47:1; Yer 25:12; 50:2
Zb. 137:8Yer 50:29; Ufu 18:6
Zb. 137:9Isa 13:1, 16
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 137:1-9

Zaburi

137 Pembeni ya mito ya Babiloni,+ ni pale tulikaa.

Tulilia wakati tulikumbuka Sayuni.+

 2 Juu ya miti ya mierebi yenye ilikuwa katikati yake,*

Tulitundika vinubi vyetu.+

 3 Kwa maana kule, wenye walitukamata walituomba tuwaimbie wimbo,+

Wale wenye kutuchekelea walitaka tuwafurahishe:

“Mutuimbie moja ya nyimbo za Sayuni.”

 4 Namna gani tunaweza kuimba wimbo wa Yehova

Kwenye udongo wa kigeni?

 5 Kama ninakusahau, Ee Yerusalemu,

Acha mukono wangu wa kuume ukuwe musahaulifu.*+

 6 Ulimi wangu ushikamane na kaakaa* langu

Kama sikukumbuke,

Kama sitie Yerusalemu juu ya

Sababu zangu kubwa zaidi za kushangilia.+

 7 Kumbuka, Ee Yehova,

Mambo yenye Waedomu walisema siku yenye Yerusalemu ilianguka:

“Muibomoe! Muibomoe mupaka kwenye misingi yake!”+

 8 Ee binti ya Babiloni, mwenye kuwa karibu kuharibiwa,+

Mwenye furaha ni ule mwenye atakupatia zawabu

Mambo yenye ulitutendea.+

 9 Mwenye furaha ni ule mwenye atakamata watoto wako

Na kuwapiga-piga juu ya miamba.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine