Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 140
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Zaburi

      • Yehova ni Mwokozi mwenye nguvu

        • Waovu wako kama nyoka (3)

        • Watu wenye jeuri wataanguka (11)

Zaburi 140:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 18:48; 59:1

Zaburi 140:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 64:2, 6

Zaburi 140:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 52:1, 2; 58:3, 4
  • +Rom. 3:13; Yak 3:8

Zaburi 140:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 17:8; 36:11; 71:4

Zaburi 140:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makila.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 10:9
  • +Yer 18:22

Zaburi 140:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 28:2; 55:1

Zaburi 140:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Sa. 17:37

Zaburi 140:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 15:31; Zab 27:12

Zaburi 140:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 7:16; Mez. 12:13

Zaburi 140:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Ndani ya mashimo yenye maji.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 11:5, 6
  • +Zab 55:23

Zaburi 140:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “katika inchi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 12:3

Zaburi 140:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 10:17, 18; 22:24

Zaburi 140:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “katika kuwapo kwako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 23:6

Maandiko ingine

Zb. 140:1Zab 18:48; 59:1
Zb. 140:2Zab 64:2, 6
Zb. 140:3Zab 52:1, 2; 58:3, 4
Zb. 140:3Rom. 3:13; Yak 3:8
Zb. 140:4Zab 17:8; 36:11; 71:4
Zb. 140:5Zab 10:9
Zb. 140:5Yer 18:22
Zb. 140:6Zab 28:2; 55:1
Zb. 140:71 Sa. 17:37
Zb. 140:82 Sa. 15:31; Zab 27:12
Zb. 140:9Zab 7:16; Mez. 12:13
Zb. 140:10Zab 11:5, 6
Zb. 140:10Zab 55:23
Zb. 140:11Zab 12:3
Zb. 140:12Zab 10:17, 18; 22:24
Zb. 140:13Zab 23:6
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Zaburi 140:1-13

Zaburi

Kwa kiongozi. Muziki wa Daudi.

140 Uniokoe, Ee Yehova, kutoka kwa watu waovu;

Unilinde kutoka kwa watu wenye jeuri,+

 2 Wale wenye kufanya mipango ya uovu katika mioyo yao+

Na kuchochea ugomvi muchana wote.

 3 Wananoa ulimi wao kama ule wa nyoka;+

Sumu ya nyoka-vipiri iko nyuma ya midomo yao.+ (Sela)

 4 Unilinde, Ee Yehova, kutokana na mikono ya waovu;+

Unilinde kutokana na watu wenye jeuri,

Wale wenye kufanya mupango wa kunifanya nijikwae.

 5 Wenye majivuno wanaficha mutego ili uninase;

Kwa kamba wanatandika wavu* pembeni ya njia.+

Wanatega mitego ya kuninasa.+ (Sela)

 6 Ninamuambia Yehova: “Wewe ni Mungu wangu.

Sikiliza, Ee Yehova, vilio vyangu vya kuomba musaada.”+

 7 Ee Yehova Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, Mwokozi wangu mwenye nguvu,

Wewe unalinda kichwa changu katika siku ya vita.+

 8 Ee Yehova, usitimize tamaa za waovu.

Usiruhusu mipango yao mibaya ifanikiwe, ili wasijiinue.+ (Sela)

 9 Vichwa vya wale wenye kunizunguka

Vifunikwe na uovu wenye kusemwa na midomo yao.+

10 Makaa yenye kuwaka yawanyeshee.+

Watupwe katika moto,

Ndani ya mashimo ya murefu,*+ wasisimame tena hata siku moja.

11 Muchongezi asipate makao juu ya dunia.*+

Uovu ufuatilie watu wenye jeuri na uwapige na kuwaua.

12 Ninajua kwamba Yehova atatetea watu wa hali ya chini

Na kupatia maskini haki.+

13 Hakika wenye haki watashukuru jina lako;

Watu wanyoofu watakaa mbele ya uso wako.*+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine