Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 30
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Ahadi za kurudishwa na kuponyeshwa (1-24)

Yeremia 30:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 30:3; Eze 39:25
  • +Ezr 2:1; Yer 29:14; 32:44; Eze 20:42; Amo 9:14

Yeremia 30:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “viuno vyake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 4:31; Mik 4:9

Yeremia 30:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ni kubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yoe 2:11; Sef 1:14

Yeremia 30:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “pingu zako nitazikata.”

  • *

    Ao “watu wa inchi ya kigeni.”

  • *

    Ao “hawatawafanya.”

Yeremia 30:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 34:23; 37:24; Ho 3:5

Yeremia 30:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:13
  • +Isa 49:25; Yer 3:18
  • +Yer 33:16; Eze 34:25; Ho 2:18; Mik 4:4

Yeremia 30:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Nitakurekebisha.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 50:29; 51:24
  • +Law. 26:44; Ne 9:31; Omb 3:22; Amo 9:8
  • +Kut 34:6, 7; Yer 46:27, 28

Yeremia 30:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:15, 16; Isa 6:10; Yer 8:21, 22

Yeremia 30:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 1:2, 19
  • +Omb 2:5
  • +Yer 5:6

Yeremia 30:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:14

Yeremia 30:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:11; Yer 25:12
  • +Yer 51:29, 56; Mik 5:9
  • +Zek 2:8, 9

Yeremia 30:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 102:13; Yer 33:6, 7
  • +Omb 2:15

Yeremia 30:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 85:1; Yer 24:6; 29:10
  • +Mik 4:8

Yeremia 30:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “waheshimiwe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ezr 3:12; Ne 8:17; Isa 35:10
  • +Kum 30:5; Isa 27:6; Zek 10:8
  • +Isa 60:22; Mik 4:7

Yeremia 30:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:26
  • +Isa 49:26; Yer 50:18

Yeremia 30:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kutoa moyo wake kuwa kitu chenye kinawekeshwa kwa ajili ya mukopo ili kunikaribia?”

Yeremia 30:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ho 2:23
  • +Yer 31:1; Eze 11:20; 36:28

Yeremia 30:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 25:32

Yeremia 30:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 4:28
  • +Yer 23:20

Maandiko ingine

Yer. 30:3Kum 30:3; Eze 39:25
Yer. 30:3Ezr 2:1; Yer 29:14; 32:44; Eze 20:42; Amo 9:14
Yer. 30:6Yer 4:31; Mik 4:9
Yer. 30:7Yoe 2:11; Sef 1:14
Yer. 30:9Eze 34:23; 37:24; Ho 3:5
Yer. 30:10Isa 41:13
Yer. 30:10Isa 49:25; Yer 3:18
Yer. 30:10Yer 33:16; Eze 34:25; Ho 2:18; Mik 4:4
Yer. 30:11Yer 50:29; 51:24
Yer. 30:11Law. 26:44; Ne 9:31; Omb 3:22; Amo 9:8
Yer. 30:11Kut 34:6, 7; Yer 46:27, 28
Yer. 30:122Nya 36:15, 16; Isa 6:10; Yer 8:21, 22
Yer. 30:14Omb 1:2, 19
Yer. 30:14Omb 2:5
Yer. 30:14Yer 5:6
Yer. 30:152Nya 36:14
Yer. 30:16Isa 41:11; Yer 25:12
Yer. 30:16Yer 51:29, 56; Mik 5:9
Yer. 30:16Zek 2:8, 9
Yer. 30:17Zab 102:13; Yer 33:6, 7
Yer. 30:17Omb 2:15
Yer. 30:18Zab 85:1; Yer 24:6; 29:10
Yer. 30:18Mik 4:8
Yer. 30:19Ezr 3:12; Ne 8:17; Isa 35:10
Yer. 30:19Kum 30:5; Isa 27:6; Zek 10:8
Yer. 30:19Isa 60:22; Mik 4:7
Yer. 30:20Isa 1:26
Yer. 30:20Isa 49:26; Yer 50:18
Yer. 30:22Ho 2:23
Yer. 30:22Yer 31:1; Eze 11:20; 36:28
Yer. 30:23Yer 25:32
Yer. 30:24Yer 4:28
Yer. 30:24Yer 23:20
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 30:1-24

Yeremia

30 Neno lenye lilikuja kwa Yeremia kutoka kwa Yehova, na kusema: 2 “Yehova Mungu wa Israeli anasema hivi: ‘Andika katika kitabu maneno yote yenye ninakuambia. 3 Kwa maana “angalia! siku zinakuja,” ni vile Yehova anasema, “wakati nitakusanya watu wangu wenye walikamatwa mateka, Israeli na Yuda,”+ ni vile Yehova anasema, “na nitawarudisha katika inchi yenye nilipatia mababu zao, na watairiti tena.”’”+

4 Haya ndiyo maneno yenye Yehova aliambia Israeli na Yuda.

 5 Yehova anasema hivi:

“Tumesikia sauti za kutetemeka;

Kuko woga, na hakuna amani.

 6 Muulize, tafazali, kama mwanaume anaweza kuzaa.

Basi, sababu gani ninaona kila mwanaume mwenye nguvu akishika tumbo lake*

Kama mwanamuke mwenye kuzaa?+

Sababu gani kila uso umegeuka rangi?

 7 Ole! Kwa maana siku hiyo ni yenye kuogopesha.*+

Hakuna ingine kama hiyo,

Wakati wa taabu kwa Yakobo.

Lakini ataokolewa kutokana nayo.”

8 “Na katika siku hiyo,” ni vile Yehova wa majeshi anasema, “nitavunja nira kutoka kwenye shingo yako, na vifungio vyako nitavikata* katika sehemu mbili; na wageni* hawatamufanya* tena kuwa mutumwa wao. 9 Watatumikia Yehova Mungu wao na Daudi mufalme wao, mwenye nitawasimamishia.”+

10 “Na wewe, mutumishi wangu Yakobo, usiogope,” ni vile Yehova anasema,

“Na usiingiwe na woga, Ee Israeli.+

Kwa maana nitakuokoa kutoka mbali

Na uzao wako kutoka katika inchi yao ya utekwa.+

Yakobo atarudia na kuwa na utulivu na bila usumbufu,

Bila mutu wa kuwaogopesha.”+

11 “Kwa maana mimi niko pamoja na wewe,” ni vile Yehova anasema, “ili nikuokoe.

Lakini nitafanya uharibifu mukubwa kati ya mataifa yote kwenye nimekutawanya;+

Hata hivyo, wewe sitakuharibu kabisa.+

Nitakutia nizamu* kwa kiasi chenye kufaa,

Na sitakuacha hata kidogo bila kukupatia azabu.”+

12 Kwa maana Yehova anasema hivi:

“Hakuna matunzo kwa ajili ya kuvunjika kwako.+

Kidonda chako hakiwezi kupona.

13 Hakuna mutu wa kukutetea,

Hakuna njia ya kuponyesha kidonda chako.

Hakuna matunzo kwa ajili yako.

14 Wote wenye kukupenda kwa tamaa wamekusahau.+

Hawakutafute tena.

Kwa maana nimekupiga kwa pigo la adui,+

Kwa azabu ya mutu mwenye hana huruma,

Kwa sababu ya hatia yako kubwa na zambi zako nyingi.+

15 Sababu gani unalia kwa sauti kubwa kwa sababu ya kuvunjika kwako?

Maumivu yako hayawezi kupona!

Kwa sababu ya hatia yako kubwa na zambi zako nyingi+

Nimekutendea vile.

16 Kwa hiyo wale wote wenye kukumeza watamezwa,+

Na maadui wako wote watakamatwa pia na kuenda katika utekwa.+

Wale wenye kukuiba wataibwa,

Na nitatoa wale wote wenye kunyanganya vitu vyako ili wanyanganywe vitu vyao.”+

17 “Lakini nitakurudishia afya ya muzuri na nitaponyesha vidonda vyako,”+ ni vile Yehova anasema.

“Hata kama walikuita mwenye kutengwa:

‘Sayuni, mwenye hakuna mutu yeyote mwenye anamutafuta.’”+

18 Yehova anasema hivi:

“Angalia, ninakusanya watu wenye walikamatwa mateka wa mahema ya Yakobo,+

Na nitasikilia tabenakulo zake huruma.

Muji utajengwa upya juu ya kilima chake,+

Na munara wenye ngome utasimama mahali pake penye kufaa.

19 Na kutoka kwao kutakuwa shukrani na sauti za kicheko.+

Nitawafanya waongezeke, na hawatakuwa watu kidogo;+

Nitawafanya kuwa wengi,*

Na hawatakuwa watu bure.+

20 Wana wake watakuwa kama zamani,

Na mukusanyiko wake utafanywa kuwa imara kabisa mbele yangu.+

Nitashugulika na wakandamizaji wake wote.+

21 Mutu wake mwenye cheo atakuwa mumoja wa watu wake,

Na mutawala wake atatoka katikati yake.

Nitamufanya akaribie, na atanikaribia.”

“Kwa maana tofauti na hilo, ni nani anaweza kupima kunikaribia?”* ni vile Yehova anasema.

22 “Na mutakuwa watu wangu,+ na mimi nitakuwa Mungu wenu.”+

23 Angalia! Zoruba yenye upepo mukali ya Yehova italipuka kwa kasirani kali,+

Zoruba kali yenye kufagia yenye kuzunguka-zunguka juu ya kichwa cha waovu.

24 Kasirani yenye kuwaka ya Yehova haitarudia nyuma

Mupaka wakati atakuwa ametenda na kutimiza makusudi ya moyo wake.+

Katika kipindi cha mwisho cha zile siku ninyi mutaelewa jambo hilo.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine