Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 39
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Kuanguka kwa Yerusalemu (1-10)

        • Sedekia anakimbia kisha anakamatwa (4-7)

      • Yeremia atalindwa (11-14)

      • Uzima wa Ebed-meleki utaokolewa (15-18)

Yeremia 39:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:1, 2; Yer 52:4, 5; Eze 24:1, 2

Yeremia 39:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:3, 4; Yer 52:6, 7; Eze 33:21

Yeremia 39:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao kulingana na mupangilio tofauti wa maneno ya maandishi ya Kiebrania, “Nergal-shareza, Samgari-nebo, Sarsekimu, Rabsarisi.”

  • *

    Ao “muchawi mukubwa (mwenye elimu ya nyota).”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 1:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Amuka!,

    5/2009, uku. 11

Yeremia 39:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:25
  • +2 Fal. 25:4-7; Yer 52:7-11

Yeremia 39:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 32:4; 38:18
  • +2 Fal. 23:31, 33
  • +2 Fal. 17:24

Yeremia 39:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 21:7; 34:18-20

Yeremia 39:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 12:13

Yeremia 39:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 5:9; Yer 38:18
  • +2 Fal. 25:9-11; 2Nya 36:17, 19; Ne 1:3; Yer 52:13-15

Yeremia 39:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:20; Yer 40:1; 52:12

Yeremia 39:10

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “wafanye kazi za kulazimishwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 25:12; Yer 52:16

Yeremia 39:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

Yeremia 39:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 40:2, 4

Yeremia 39:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ofisa mukubwa wa makao ya mufalme.”

  • *

    Ao “muchawi mukubwa (mwenye elimu ya nyota).”

Yeremia 39:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 38:28
  • +2 Fal. 25:22; Yer 40:5; 41:2
  • +2Nya 34:20, 21; Yer 26:24
  • +2 Fal. 22:8

Yeremia 39:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 32:2; 37:21

Yeremia 39:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 38:7

Yeremia 39:17

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2012, uku. 31

Yeremia 39:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yako.”

  • *

    Ao “utaponyoka na uzima wako.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 45:2, 5
  • +Zab 37:39, 40; Yer 17:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/5/2012, uku. 31

Maandiko ingine

Yer. 39:12 Fal. 25:1, 2; Yer 52:4, 5; Eze 24:1, 2
Yer. 39:22 Fal. 25:3, 4; Yer 52:6, 7; Eze 33:21
Yer. 39:3Yer 1:15
Yer. 39:4Kum 28:25
Yer. 39:42 Fal. 25:4-7; Yer 52:7-11
Yer. 39:5Yer 32:4; 38:18
Yer. 39:52 Fal. 23:31, 33
Yer. 39:52 Fal. 17:24
Yer. 39:6Yer 21:7; 34:18-20
Yer. 39:7Eze 12:13
Yer. 39:8Isa 5:9; Yer 38:18
Yer. 39:82 Fal. 25:9-11; 2Nya 36:17, 19; Ne 1:3; Yer 52:13-15
Yer. 39:92 Fal. 25:20; Yer 40:1; 52:12
Yer. 39:102 Fal. 25:12; Yer 52:16
Yer. 39:12Yer 40:2, 4
Yer. 39:14Yer 38:28
Yer. 39:142 Fal. 25:22; Yer 40:5; 41:2
Yer. 39:142Nya 34:20, 21; Yer 26:24
Yer. 39:142 Fal. 22:8
Yer. 39:15Yer 32:2; 37:21
Yer. 39:16Yer 38:7
Yer. 39:18Yer 45:2, 5
Yer. 39:18Zab 37:39, 40; Yer 17:7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 39:1-18

Yeremia

39 Katika mwaka wa kenda (9) wa Mufalme Sedekia wa Yuda, katika mwezi wa kumi (10), Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni na jeshi lake lote walikuja Yerusalemu, na kuizunguka kwa ajili ya vita.+

2 Katika mwaka wa kumi na moja (11) wa Sedekia, katika mwezi wa ine (4), katika siku ya kenda (9) ya mwezi huo, walipasua ukuta wa muji.+ 3 Na wakubwa wote wa mufalme wa Babiloni wakaingia na kukaa katika Mulango Mukubwa wa Katikati,+ ni kusema, Nergal-shareza ule Samgari, Nebo-sarsekimu ule Rabsarisi,* Nergal-shareza ule Rabmagi,* na wakubwa wengine wote wa mufalme wa Babiloni.

4 Wakati mufalme Sedekia wa Yuda na maaskari wote waliwaona, wakakimbia,+ wakatoka katika muji usiku kupitia njia ya bustani ya mufalme, kupitia mulango mukubwa wenye ulikuwa kati ya zile kuta mbili, na wakaendelea kupitia njia ya Araba.+ 5 Lakini jeshi la Wakaldayo likawafuatilia, na wakamufikia Sedekia katika maeneo tambarare ya jangwa la Yeriko.+ Wakamukamata na kumuleta kwa Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni kule Ribla+ katika inchi ya Hamati,+ wakamuhukumu kule. 6 Mufalme wa Babiloni akaagiza wana wa Sedekia wauawe mbele ya macho yake kule Ribla, na mufalme wa Babiloni akaagiza watu wote wenye vyeo wa Yuda wauawe.+ 7 Halafu akapofusha macho ya Sedekia, kisha akamufunga kwa pingu za shaba ili kumupeleka Babiloni.+

8 Kisha Wakaldayo wakateketeza nyumba ya mufalme na nyumba za watu,+ na wakabomoa kuta za Yerusalemu.+ 9 Nebuzaradani+ mukubwa wa walinzi akapeleka katika uhamisho kule Babiloni watu wenye kubakia wenye waliachwa katika muji, wale wenye walikimbia wenye walikuwa wamejiunga naye, na mutu yeyote mwenye alibakia.

10 Lakini Nebuzaradani mukubwa wa walinzi akaacha katika inchi ya Yuda wamoja kati ya watu maskini zaidi, wenye hawakukuwa na kitu chochote. Katika siku hiyo pia aliwapatia mashamba ya mizabibu na mashamba mengine ili wayalime.*+

11 Sasa Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni akamupatia Nebuzaradani mukubwa wa walinzi maagizo haya juu ya Yeremia: 12 “Umuchukue na umuhangaikie; usimuumize, na umupatie kitu chochote chenye anakuomba.”+

13 Basi Nebuzaradani mukubwa wa walinzi, Nebushazbani ule Rabsarisi,* Nergal-shareza ule Rabmagi,* na wakubwa wote wa mufalme wa Babiloni wakatuma watu 14 na wakaleta Yeremia kutoka katika Kiwanja cha Walinzi+ na kumutia katika mukono wa Gedalia+ mwana wa Ahikamu+ mwana wa Shafani+ ili apelekwe kwenye nyumba yake. Basi akaishi pamoja na watu.

15 Wakati Yeremia alikuwa amefungwa katika Kiwanja cha Walinzi,+ neno la Yehova lilikuja kwake, na kusema: 16 “Uende na umuambie Ebed-meleki+ Mwetiopia, ‘Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: “Angalia, ninatimiza maneno yangu juu ya muji huu kwa ajili ya musiba na hapana kwa ajili ya mema, na katika siku hiyo utaona hilo likitendeka.”’

17 “‘Lakini nitakukomboa katika siku hiyo,’ ni vile Yehova anasema, ‘na hautatiwa katika mukono wa watu wenye unaogopa.’

18 “‘Kwa maana hakika nitakuokoa, na hautaanguka kwa upanga. Utapata uzima wako* kama kitu chenye kilichukuliwa katika vita,*+ kwa sababu ulinitegemea,’+ ni vile Yehova anasema.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine