Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 48
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Unabii juu ya Moabu (1-47)

Yeremia 48:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Mahali salama pa juu pamepatishwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:36, 37; Isa 15:1
  • +Hes 32:37, 38
  • +Yosh. 13:15, 19; Eze 25:9
  • +Isa 15:2

Yeremia 48:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:37; Isa 16:8

Yeremia 48:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 15:5; Yer 48:34

Yeremia 48:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 15:5

Yeremia 48:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi zenu.”

Yeremia 48:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:29; 1 Fal. 11:7

Yeremia 48:8

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Eneo tambarare la chini.”

  • *

    Ao “eneo tambarare la juu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 25:9

Yeremia 48:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Sef 2:9

Yeremia 48:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Machicha ni masalio ya pombe yenye kubakia chini ya chombo.

Yeremia 48:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 12:28, 29; Ho 10:15; Amo 5:5

Yeremia 48:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 16:6

Yeremia 48:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 48:8
  • +Isa 34:2
  • +Zab 24:8

Yeremia 48:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 25:11

Yeremia 48:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “kwenye inchi kavu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:30; Yosh. 13:15, 17; Isa 15:2
  • +Yer 48:8

Yeremia 48:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:34; Kum 2:36

Yeremia 48:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:13; Yosh. 13:8, 9

Yeremia 48:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eneo tambarare la juu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Sef 2:9
  • +Hes 21:23; Isa 15:4
  • +Yosh. 13:15, 18

Yeremia 48:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:34
  • +Hes 32:3, 4

Yeremia 48:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 32:37; Yer 48:1
  • +Hes 32:37, 38; Yosh. 13:15, 17; Eze 25:9

Yeremia 48:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 2:2

Yeremia 48:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Pembe ya Moabu imekatwa.”

Yeremia 48:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 25:15, 16
  • +Yer 48:42

Yeremia 48:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 2:15; Sef 2:8

Yeremia 48:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba; viota.”

Yeremia 48:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 16:6; 25:10, 11; Sef 2:9, 10

Yeremia 48:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 3:24, 25; Isa 16:7

Yeremia 48:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:32; 32:34, 35; Yosh. 21:8, 39
  • +Hes 32:37, 38; Yosh. 13:15, 19
  • +Isa 16:8, 9; Yer 48:8

Yeremia 48:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 25:10
  • +Isa 16:10

Yeremia 48:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:25; Yosh. 13:15, 17
  • +Hes 32:37; Isa 16:9
  • +Hes 21:23
  • +Yer 48:2, 3
  • +Isa 15:4-6

Yeremia 48:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “utakuwa na musukosuko kwa ajili ya.”

  • *

    Ni kusema, filimbi yenye ilipigwa wakati wa kuomboleza kwenye maziko.

  • *

    Ao “utakuwa na musukosuko kwa ajili ya.”

  • *

    Ni kusema, filimbi yenye ilipigwa wakati wa kuomboleza kwenye maziko.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 16:11

Yeremia 48:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 16:6
  • +Law. 19:28
  • +Mwa 37:34; Isa 15:2, 3

Yeremia 48:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 4:19; Hab 1:8
  • +Yer 49:22

Yeremia 48:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 30:11
  • +Yer 48:29

Yeremia 48:45

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:26, 28
  • +Hes 24:17; Amo 2:2

Yeremia 48:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Hes 21:29; 1 Fal. 11:7
  • +Yer 48:7

Yeremia 48:47

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 25:11

Maandiko ingine

Yer. 48:1Mwa 19:36, 37; Isa 15:1
Yer. 48:1Hes 32:37, 38
Yer. 48:1Yosh. 13:15, 19; Eze 25:9
Yer. 48:1Isa 15:2
Yer. 48:2Hes 32:37; Isa 16:8
Yer. 48:3Isa 15:5; Yer 48:34
Yer. 48:5Isa 15:5
Yer. 48:7Hes 21:29; 1 Fal. 11:7
Yer. 48:8Eze 25:9
Yer. 48:9Sef 2:9
Yer. 48:131 Fal. 12:28, 29; Ho 10:15; Amo 5:5
Yer. 48:14Isa 16:6
Yer. 48:15Yer 48:8
Yer. 48:15Isa 34:2
Yer. 48:15Zab 24:8
Yer. 48:16Eze 25:11
Yer. 48:18Hes 21:30; Yosh. 13:15, 17; Isa 15:2
Yer. 48:18Yer 48:8
Yer. 48:19Hes 32:34; Kum 2:36
Yer. 48:20Hes 21:13; Yosh. 13:8, 9
Yer. 48:21Sef 2:9
Yer. 48:21Hes 21:23; Isa 15:4
Yer. 48:21Yosh. 13:15, 18
Yer. 48:22Hes 32:34
Yer. 48:22Hes 32:3, 4
Yer. 48:23Hes 32:37; Yer 48:1
Yer. 48:23Hes 32:37, 38; Yosh. 13:15, 17; Eze 25:9
Yer. 48:24Amo 2:2
Yer. 48:26Yer 25:15, 16
Yer. 48:26Yer 48:42
Yer. 48:27Omb 2:15; Sef 2:8
Yer. 48:29Isa 16:6; 25:10, 11; Sef 2:9, 10
Yer. 48:312 Fal. 3:24, 25; Isa 16:7
Yer. 48:32Hes 21:32; 32:34, 35; Yosh. 21:8, 39
Yer. 48:32Hes 32:37, 38; Yosh. 13:15, 19
Yer. 48:32Isa 16:8, 9; Yer 48:8
Yer. 48:33Yer 25:10
Yer. 48:33Isa 16:10
Yer. 48:34Hes 21:25; Yosh. 13:15, 17
Yer. 48:34Hes 32:37; Isa 16:9
Yer. 48:34Hes 21:23
Yer. 48:34Yer 48:2, 3
Yer. 48:34Isa 15:4-6
Yer. 48:36Isa 16:11
Yer. 48:37Yer 16:6
Yer. 48:37Law. 19:28
Yer. 48:37Mwa 37:34; Isa 15:2, 3
Yer. 48:40Omb 4:19; Hab 1:8
Yer. 48:40Yer 49:22
Yer. 48:42Yer 30:11
Yer. 48:42Yer 48:29
Yer. 48:45Hes 21:26, 28
Yer. 48:45Hes 24:17; Amo 2:2
Yer. 48:46Hes 21:29; 1 Fal. 11:7
Yer. 48:46Yer 48:7
Yer. 48:47Eze 25:11
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
  • 47
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 48:1-47

Yeremia

48 Kwa ajili ya Moabu,+ Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi:

“Ole wa Nebo,+ kwa maana ameharibiwa!

Kiriataimu+ amepatishwa haya na kukamatwa.

Kimbilio salama limepatishwa* haya na kuvunjwa-vunjwa.+

 2 Hawasifu tena Moabu.

Katika Heshboni+ wamepanga anguko lake:

‘Mukuje, tumumalize asikuwe taifa.’

Wewe pia, Ee Madmeni, unapaswa kukaa kimya,

Kwa maana upanga unakufuata.

 3 Kuko sauti ya kilio kutoka Horonaimu,+

Ya uharibifu na anguko kubwa.

 4 Moabu amevunjwa.

Watoto wake wanalia kwa sauti kubwa.

 5 Kwenye mupando wa Luhiti wanaendelea kulia wakati wanapanda.

Na kwenye njia yenye kushuka kutoka Horonaimu wanasikia vilio vya taabu kwa sababu ya musiba.+

 6 Mukimbie, muponyoke ili kuokoa uzima wenu!*

Munapaswa kuwa kama muti wa muberoshi katika jangwa.

 7 Kwa sababu unategemea kazi zako na hazina zako,

Wewe pia utakamatwa.

Na Kemoshi+ ataenda katika uhamisho,

Pamoja na makuhani wake na wakubwa wake.

 8 Mwenye kuharibu atakuja katika kila muji,

Na hakuna muji wenye utaponyoka.+

Bonde* litaangamia,

Na inchi tambarare* itaharibiwa, kama vile Yehova amesema.

 9 Muwekee Moabu alama,

Kwa maana wakati atakuwa mabomoko atakimbia,

Na miji yake itakuwa kitu cha kuogopesha,

Bila mukaaji.+

10 Alaaniwe mutu mwenye anatimiza kazi ya Yehova kwa uzembe!

Alaaniwe mutu mwenye anazuia upanga wake usimwange damu!

11 Wamoabu hawakusumbuliwa tangu ujana wao,

Kama divai yenye imetulia kwenye machicha.*

Hawakumwangwa kutoka chombo kimoja kuenda kingine,

Na hawakuenda katika uhamisho hata siku moja.

Ndiyo sababu onjo lao limebakia lilelile,

Na harufu yao haikubadilika.

12 “‘Kwa hiyo angalia! siku zinakuja,’ ni vile Yehova anasema, ‘wakati nitatuma watu wawapindue. Watawapindua na kumwanga kile chenye kuwa ndani ya vyombo vyao, na watavunja mitungi yao mikubwa vipande-vipande. 13 Na Wamoabu watapatishwa haya kwa sababu ya Kemoshi, kama vile nyumba ya Israeli imepatishwa haya kwa sababu ya Beteli, yenye ilikuwa tegemeo lao.+

14 Namna gani munapima kusema: “Sisi ni wapiganaji-vita wenye nguvu, tayari kwa ajili ya pigano”?’+

15 ‘Moabu ameharibiwa,

Miji yake imeshambuliwa,+

Na vijana wao wazuri zaidi wameuawa,’+

Ni vile Mufalme anasema, yeye mwenye jina lake ni Yehova wa majeshi.+

16 Musiba juu ya Wamoabu utakuja karibuni,

Na anguko lao linakaribia haraka.+

17 Wale wote wenye kuwazunguka watawasikitikia,

Wale wote wenye wanajua jina lao.

Muwaambie, ‘Namna fimbo yenye nguvu imevunjwa, fimbo ya uzuri!’

18 Shuka kutoka kwenye utukufu wako,

Na ukae katika kiu,* Ee binti mwenye kukaa Diboni,+

Kwa maana mwenye kuharibu wa Moabu amekuja juu yako,

Na atafanya sehemu zako zenye ngome kuwa mabomoko.+

19 Simama pembeni ya barabara na uangalie, wewe mukaaji wa Aroeri.+

Uliza mwanaume mwenye kukimbia na mwanamuke mwenye kuponyoka, ‘Kumetokea nini?’

20 Moabu amepatishwa haya na ameingiwa na woga.

Muomboleze na mulie kwa sauti kubwa.

Mutangaze katika Arnoni+ kwamba Moabu ameangamizwa.

21 “Hukumu imekuja katika inchi tambarare,*+ juu ya Holoni, Yahazi,+ na Mefaati;+ 22 juu ya Diboni,+ Nebo,+ na Bet-diblataimu; 23 juu ya Kiriataimu,+ Bet-gamuli, na Bet-meoni;+ 24 juu ya Kerioti+ na Bosra; na juu ya miji yote ya inchi ya Moabu, yenye kuwa mbali na yenye kuwa karibu.

25 ‘Nguvu za Moabu zimekatwa;*

Mukono wake umevunjwa,’ ni vile Yehova anasema.

26 ‘Mumuleweshe,+ kwa maana amejiinua juu ya Yehova.+

Moabu anajigeuza-geuza katika matapiko yake,

Na ni kitu cha kuchekelewa.

27 Je, Israeli hakukuwa kwako kitu cha kuchekelewa?+

Je, alipatikana kati ya wezi,

Ili utikise kichwa chako na kusema mubaya juu yake?

28 Mutoke katika miji na mukae kwenye mwamba, ninyi wakaaji wa Moabu,

Na mukuwe kama njiwa mwenye anajenga chicha* kwenye kuta za bonde.’”

29 “Tumesikia juu ya kiburi cha Moabu⁠—​iko* na majivuno sana⁠—​

Juu ya kujisifu kwake, kiburi chake, majivuno yake, na kujiinua kwa moyo wake.”+

30 “‘Ninajua kasirani yake kali,’ ni vile Yehova anasema,

‘Lakini maneno yake yenye hayana maana yatakuwa bure.

Hayatafanya kitu chochote.

31 Ndiyo sababu nitaomboleza juu ya Moabu,

Kwa ajili ya Moabu yote nitalia kwa sauti kubwa

Na kuombolezea watu wa Kir-heresi.+

32 Kwa kilio chenye kupita kilio kwa ajili ya Yazeri,+

Nitalia kwa sababu yako, Ee muzabibu wa Sibma.+

Machipukizi yako yenye kujaa majani yamevuka bahari.

Yamefika mupaka kwenye bahari, mupaka Yazeri.

Juu ya matunda yako ya kipindi cha joto na mavuno yako ya zabibu

Mwenye kuharibu ameshuka.+

33 Kushangilia na kufurahi vimeondolewa katika shamba la matunda

Na katika inchi ya Moabu.+

Nimefanya divai iache kutiririka kutoka katika kikamulio cha divai.

Hakuna mutu mwenye atakanyanga akipiga vigelegele vya furaha.

Vigelegele vitakuwa vigelegele vya namna ingine.’”+

34 “‘Kuko kilio kutoka Heshboni+ mupaka Eleale.+

Wanapandisha sauti yao mupaka Yahazi,+

Kutoka Soari mupaka Horonaimu+ mupaka Eglat-shelishiya.

Hata maji ya Nimrimu yataachwa.+

35 Nitamaliza katika Moabu,’ ni vile Yehova anasema,

‘Mutu mwenye kuleta toleo mahali pa juu

Na mutu mwenye kutoa zabihu kwa mungu wake.

36 Ndiyo sababu moyo wangu utaombolezea* Moabu kama filimbi,*+

Na moyo wangu utaombolezea* watu wa Kir-heresi kama filimbi.*

Kwa maana utajiri wenye ametokeza utaangamia.

37 Kwa maana kila kichwa kiko na upara,+

Na ndevu zote zimekatwa.

Kuko mikato kwenye kila mukono,+

Na kuko nguo za magunia kwenye viuno vyao!’”+

38 “‘Kwenye sehemu zote za juu za nyumba za Moabu

Na katika viwanja vyake vyote vya watu wote,

Kuko maombolezo tu.

Kwa maana nimevunja Moabu

Kama mutungi wenye ulitupwa,’ ni vile Yehova anasema.

39 ‘Namna ameogopa! Muomboleze!

Namna Moabu amegeuza mugongo wake katika haya!

Moabu amekuwa kitu cha kuchekelewa,

Kitu cha kuogopesha kwa wote wenye kumuzunguka.’”

40 “Kwa maana Yehova anasema hivi:

‘Angalia! Kama vile tai mwenye anashuka chini,+

Atanyoosha mabawa yake juu ya Moabu.+

41 Miji itakamatwa,

Na ngome zake zitachukuliwa.

Katika siku hiyo moyo wa wapiganaji-vita wa Moabu

Utakuwa kama moyo wa mwanamuke mwenye kuzaa.’”

42 “‘Na Moabu ataharibiwa ili asikuwe kikundi cha watu,+

Kwa maana amejiinua juu ya Yehova.+

43 Woga na shimo na mutego viko mbele yako,

Ee mukaaji wa Moabu,’ ni vile Yehova anasema.

44 ‘Mutu yeyote mwenye kukimbia woga ataanguka katika shimo,

Na mutu yeyote mwenye kupanda kutoka katika shimo atanaswa katika mutego.’

‘Kwa maana nitaleta juu ya Moabu mwaka wa azabu yao,’ ni vile Yehova anasema.

45 ‘Katika kivuli cha Heshboni, wale wenye kukimbia watasimama bila nguvu.

Kwa maana moto utatoka katika Heshboni

Na mwali wa moto utatoka katikati ya Sihoni.+

Utateketeza paji la uso wa Moabu

Na mufupa wa kichwa wa wana wa fujo.’+

46 ‘Ole wako, Ee Moabu!

Watu wa Kemoshi+ wameangamia.

Kwa maana wana wako wamekamatwa mateka,

Na mabinti wako wamepelekwa katika uhamisho.+

47 Lakini nitakusanya watu wa Moabu wenye walikamatwa mateka katika kipindi cha mwisho cha zile siku,’ ni vile Yehova anasema.

‘Hukumu juu ya Moabu inaishia hapa.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine