Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 49
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Unabii juu ya Amoni (1-6)

      • Unabii juu ya Edomu (7-22)

        • Edomu hatakuwa tena taifa (17, 18)

      • Unabii juu ya Damasko (23-27)

      • Unabii juu ya Kedari na Hasori (28-33)

      • Unabii juu ya Elamu (34-39)

Yeremia 49:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:36, 38; Kum 2:19; 2Nya 20:1
  • +1 Fal. 11:5; Sef 1:4, 5
  • +Amo 1:13

Yeremia 49:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “sauti ya kilio cha pigano isikiwe.”

  • *

    Ao “miji yenye kumuzunguka.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 3:11; Yosh. 13:24, 25; Eze 25:5; Amo 1:14
  • +Eze 21:19, 20
  • +Isa 14:2; Yer 50:19; Sef 2:9

Yeremia 49:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “mazizi ya kondoo.” Zizi ni lupango ya kuchungia wanyama.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 1:13, 15

Yeremia 49:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “maeneo tambarare ya chini.”

Yeremia 49:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 36:10, 11; Eze 25:13; Amo 1:12; Oba 8

Yeremia 49:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 21:13; Yer 25:17, 23

Yeremia 49:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Oba 5

Yeremia 49:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Oba 6, 9
  • +Mal 1:3, 4

Yeremia 49:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 25:27, 28; Omb 4:21; Oba 16

Yeremia 49:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 34:6; 63:1; Yer 49:22; Amo 1:12
  • +Oba 18; Mal 1:3

Yeremia 49:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Oba 1

Yeremia 49:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Oba 2-4

Yeremia 49:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nyumba yako; kiota chako.”

Yeremia 49:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 49:13

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 163

Yeremia 49:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 19:24, 25
  • +Isa 34:6, 10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku.163

Yeremia 49:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vichaka vikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 4:7
  • +Zab 76:7; Yer 50:44-46; Nah 1:6

Yeremia 49:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “shauri lenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Oba 9
  • +Mal 1:4

Yeremia 49:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:26

Yeremia 49:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 4:13
  • +Yer 48:40; 49:13

Yeremia 49:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 17:1; Amo 1:3
  • +Hes 13:21; 2 Fal. 17:24; Zek 9:1, 2

Yeremia 49:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 1:4

Yeremia 49:28

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 25:13; Isa 42:11; 60:7; Eze 27:21

Yeremia 49:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

Yeremia 49:32

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kila upande.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 9:25, 26; 25:17, 23

Yeremia 49:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mwa 10:22; Isa 21:2; Yer 25:17, 25; Eze 32:24; Da. 8:2; Mdo 2:8, 9
  • +2 Fal. 24:18

Yeremia 49:35

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “mwanzo wa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 22:6

Yeremia 49:37

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wale wenye wanatafuta nafsi yao.”

Yeremia 49:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 25:17, 25

Maandiko ingine

Yer. 49:1Mwa 19:36, 38; Kum 2:19; 2Nya 20:1
Yer. 49:11 Fal. 11:5; Sef 1:4, 5
Yer. 49:1Amo 1:13
Yer. 49:2Kum 3:11; Yosh. 13:24, 25; Eze 25:5; Amo 1:14
Yer. 49:2Eze 21:19, 20
Yer. 49:2Isa 14:2; Yer 50:19; Sef 2:9
Yer. 49:3Amo 1:13, 15
Yer. 49:7Mwa 36:10, 11; Eze 25:13; Amo 1:12; Oba 8
Yer. 49:8Isa 21:13; Yer 25:17, 23
Yer. 49:9Oba 5
Yer. 49:10Oba 6, 9
Yer. 49:10Mal 1:3, 4
Yer. 49:12Yer 25:27, 28; Omb 4:21; Oba 16
Yer. 49:13Isa 34:6; 63:1; Yer 49:22; Amo 1:12
Yer. 49:13Oba 18; Mal 1:3
Yer. 49:14Oba 1
Yer. 49:15Oba 2-4
Yer. 49:17Yer 49:13
Yer. 49:18Mwa 19:24, 25
Yer. 49:18Isa 34:6, 10
Yer. 49:19Yer 4:7
Yer. 49:19Zab 76:7; Yer 50:44-46; Nah 1:6
Yer. 49:20Oba 9
Yer. 49:20Mal 1:4
Yer. 49:211 Fal. 9:26
Yer. 49:22Yer 4:13
Yer. 49:22Yer 48:40; 49:13
Yer. 49:23Isa 17:1; Amo 1:3
Yer. 49:23Hes 13:21; 2 Fal. 17:24; Zek 9:1, 2
Yer. 49:27Amo 1:4
Yer. 49:28Mwa 25:13; Isa 42:11; 60:7; Eze 27:21
Yer. 49:32Yer 9:25, 26; 25:17, 23
Yer. 49:34Mwa 10:22; Isa 21:2; Yer 25:17, 25; Eze 32:24; Da. 8:2; Mdo 2:8, 9
Yer. 49:342 Fal. 24:18
Yer. 49:35Isa 22:6
Yer. 49:38Yer 25:17, 25
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 49:1-39

Yeremia

49 Kwa ajili ya Waamoni,+ Yehova anasema hivi:

“Je, Israeli hana wana:

Je, hana muriti?

Sababu gani Malkamu+ ameriti Gadi?+

Na sababu gani watu wake wanakaa katika miji ya Israeli?”

 2 “‘Kwa hiyo muangalie! siku zinakuja,’ ni vile Yehova anasema,

‘Wakati nitafanya mulio wa vita usikiwe* juu ya Raba+ ya Waamoni.+

Atakuwa kilima chenye kimeachwa ukiwa,

Na miji yake ya pembeni-pembeni* itawashwa moto.’

‘Na Israeli atachukua wale wenye walimuchukua,’+ ni vile Yehova anasema.

 3 ‘Omboleza, Ee Heshboni, kwa maana Ai ameharibiwa!

Mulie kwa sauti kubwa, Enyi miji ya pembeni-pembeni ya Raba.

Muvae nguo za magunia.

Muomboleze na muende huku na huku kati ya mazizi ya majiwe,*

Kwa maana Malkamu ataenda katika uhamisho,

Pamoja na makuhani wake na wakubwa wake.+

 4 Sababu gani unajisifu juu ya mabonde,*

Juu ya eneo lako tambarare lenye kutiririka, Ee binti mwenye kukosa uaminifu,

Mwenye kutegemea hazina zake,

Na mwenye kusema: “Ni nani atanishambulia?”’”

 5 “‘Angalia, ninaleta jambo la kuogopesha juu yako,’ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, Yehova wa majeshi anasema,

‘Kutoka kwa wale wote wenye kukuzunguka.

Utatawanywa kila upande,

Na hakuna mwenye atakusanya wale wenye kukimbia.’”

 6 “‘Lakini kisha nitakusanya watu wa Waamoni wenye walikamatwa mateka,’ ni vile Yehova anasema.”

7 Kwa ajili ya Edomu, Yehova wa majeshi anasema hivi:

“Je, hakuna tena hekima yoyote katika Temani?+

Je, shauri la muzuri limeangamia kutoka kwa wale wenye kuwa na uelewaji?

Je, hekima yao imeoza?

 8 Mukimbie, mugeuke!

Muende mukae katika sehemu za chini kabisa, Enyi wakaaji wa Dedani!+

Kwa maana nitaleta musiba juu ya Esau

Wakati muda wangu wa kumukazia uangalifu utafika.

 9 Kama wakusanya-zabibu wangeingia kwako,

Je, hawangeacha zabibu fulani nyuma kwa ajili ya kukusanywa?

Kama wezi wangeingia usiku,

Wangetokeza uharibifu kwa kiasi tu chenye wanataka.+

10 Lakini nitamuvua Esau akuwe uchi.

Nitafunua mahali pake pa kujificha,

Ili asiweze kujificha.

Watoto wake na ndugu zake na majirani wake wataharibiwa,+

Na hatakuwa tena.+

11 Acha watoto wako wenye hawana baba,

Na nitawalinda wazima,

Na wajane wako watanitegemea.”

12 Kwa maana Yehova anasema hivi: “Angalia! Kama wale wenye hawakuhukumiwa kunywa kikombe wanapaswa kukikunywa, je, wewe utaachwa bila kupewa azabu kabisa? Hautaachwa bila kupewa azabu, kwa maana unapaswa kukikunywa.”+

13 “Kwa maana nimeapa kwa nafsi yangu mwenyewe,” ni vile Yehova anasema, “kwamba Bosra itakuwa kitu cha kuogopesha,+ kitu cha haya, uharibifu, na laana; na miji yake yote itakuwa mabomoko ya kudumu.”+

14 Nimesikia habari kutoka kwa Yehova,

Mujumbe ametumwa kati ya mataifa, akisema:

“Mujikusanye pamoja na mumushambulie;

Mujitayarishe kwa ajili ya pigano.”+

15 “Kwa maana angalia! Nimekufanya kuwa mudogo sana kati ya mataifa,

Mwenye kuzarauliwa kati ya wanadamu.+

16 Mutetemeko wenye ulitokeza umekudanganya,

Kimbelembele cha moyo wako,

Ee wewe mwenye kukaa katika makimbilio ya mwamba,

Mwenye kukaa kwenye kilima kirefu zaidi.

Hata kama unajenga chicha yako* juu kama tai,

Nitakushusha kutoka pale,” ni vile Yehova anasema.

17 “Na Edomu anapaswa kuwa kitu cha kuogopesha.+ Kila mutu mwenye kupita pembeni yake ataangalia kwa woga na kupiga muluzi kwa sababu ya mapigo yake yote. 18 Kama vile katika uharibifu wa Sodoma na Gomora na wa miji yake jirani,”+ Yehova anasema, “hakuna mutu mwenye ataishi pale, na hakuna mutu mwenye atakaa pale.+

19 “Angalia! Mutu fulani atapanda ili kushambulia malisho yenye kuwa salama kama simba+ kutoka kwenye miti mingi midogo-midogo* pembeni ya Yordani, lakini kwa wakati kidogo nitamufanya akimbie kutoka kwake. Na nitaweka juu yake ule mwenye kuchaguliwa. Kwa maana ni nani mwenye kuwa kama mimi, na ni nani mwenye atanipinga? Ni muchungaji gani mwenye anaweza kusimama mbele yangu?+ 20 Kwa hiyo musikie, Enyi watu, uamuzi wenye* Yehova amefanya juu ya Edomu na mambo yenye amefikiria juu ya wakaaji wa Temani:+

Hakika wenye kuwa wadogo wa kundi watakokotwa.

Atafanya makao yao yakuwe ukiwa kwa sababu yao.+

21 Kwa sauti ya kuanguka kwao, dunia imetetemeka.

Kuko kilio!

Sauti imesikiwa mupaka kwenye Bahari Nyekundu.+

22 Angalia! Atapanda na kushuka kama vile tai,+

Na atanyoosha mabawa yake juu ya Bosra.+

Katika siku hiyo moyo wa wapiganaji-vita wa Edomu

Utakuwa kama moyo wa mwanamuke mwenye kuzaa.”

23 Kwa ajili ya Damasko:+

“Hamati+ na Arpadi wamepatishwa haya,

Kwa maana wamesikia habari ya mubaya.

Wanayeyuka kwa woga.

Kuko musukosuko katika bahari wenye hauwezi kutulizwa.

24 Damasko amepoteza bidii.

Amegeuka ili kukimbia, lakini ameshikwa na woga.

Taabu na maumivu vimemushika,

Kama mwanamuke mwenye kuzaa.

25 Namna gani muji wenye sifa haukuachwa,

Muji wa furaha?

26 Kwa maana vijana wake wataanguka katika viwanja vyake vya watu wote,

Na maaskari wote wataangamia katika siku hiyo,” ni vile Yehova wa majeshi anasema.

27 “Nitawasha moto ukuta wa Damasko,

Na utateketeza minara yenye ngome ya Ben-hadadi.”+

28 Kwa ajili ya Kedari+ na falme za Hasori, zenye Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni alipiga, Yehova anasema hivi:

“Musimame, mupande kuenda Kedari,

Na muharibu wana wa Mashariki.

29 Mahema yao na makundi yao yatachukuliwa,

Vitambaa vyao vya mahema na mali zao zote.

Ngamia wao watachukuliwa,

Na watawalalamikia, ‘Kuko woga pande zote!’”

30 “Mukimbie, muende mbali!

Muende na mukae katika sehemu za chini kabisa, Enyi wakaaji wa Hasori,” ni vile Yehova anasema.

“Kwa maana Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni ametunga mbinu juu yenu,

Na amefanya mupango juu yenu.”

31 “Musimame, mupande ili kushambulia taifa lenye kuwa na amani,

Lenye kukaa kwa usalama!” ni vile Yehova anasema.

“Halina milango wala mapingo; wanaishi peke yao.

32 Ngamia wao watanyanganywa,

Na mifugo yao mingi itakuwa vitu vyenye vinachukuliwa katika vita.

Nitawatawanya kwenye kila upepo,*

Wale wenye wanakata nywele zao kwenye vipaji vya nyuso,+

Na nitaleta musiba wao kutoka kila upande,” ni vile Yehova anasema.

33 “Na Hasori atakuwa pango la mbweha,

Mahali kwenye kumeachwa ukiwa sikuzote.

Hakuna mutu mwenye ataishi kule,

Na hakuna mutu mwenye atakaa ndani yake.”

34 Hili ndilo neno la Yehova lenye lilikuja kwa Yeremia nabii kuhusu Elamu+ kwenye mwanzo wa utawala wa Mufalme Sedekia+ wa Yuda: 35 “Yehova wa majeshi anasema hivi: ‘Angalia, ninavunja upinde wa Elamu,+ chanzo cha* nguvu zao. 36 Nitaleta juu ya Elamu zile pepo ine (4) kutoka kwenye miisho ine ya mbingu, na nitawatawanya kwenye pepo hizi zote. Hakutakuwa taifa kwenye watu wa Elamu wenye walitawanywa hawataenda.’”

37 “Nitavunja-vunja Waelamu mbele ya maadui wao na mbele ya wale wenye wanatafuta kuchukua uzima wao;* na nitaleta musiba juu yao, kasirani yangu yenye kuwaka,” ni vile Yehova anasema. “Na nitatuma upanga uwafuate mupaka wakati nitakuwa nimewaharibu.”

38 “Na nitaweka kiti changu cha ufalme katika Elamu,+ na nitaharibu kutoka pale mufalme na wakubwa,” ni vile Yehova anasema.

39 “Lakini katika kipindi cha mwisho cha zile siku, nitakusanya watu wa Elamu wenye walikamatwa mateka,” ni vile Yehova anasema.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine