Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 50
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Unabii juu ya Babiloni (1-46)

        • Mukimbie kutoka katika Babiloni (8)

        • Israeli atarudishwa (17-19)

        • Maji ya Babiloni yatakaushwa (38)

        • Babiloni hataikaliwa tena (39, 40)

Yeremia 50:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:1

Yeremia 50:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nguzo ya alama.”

  • *

    Pengine neno la Kiebrania lenye linatumiwa hapa linahusiana na maneno “mavi ya wanyama” na linatumiwa ili kuonyesha zarau.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:8; Ufu 14:8
  • +Isa 46:1; Yer 51:44

Yeremia 50:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:17; Yer 51:11, 48

Yeremia 50:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:12; Yer 3:18; Ho 1:11
  • +Yer 31:8, 9
  • +Ho 3:5

Yeremia 50:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 35:10
  • +Yer 31:31

Yeremia 50:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 53:6
  • +Yer 10:21; 23:2; Eze 34:2, 6

Yeremia 50:7

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 79:6, 7

Yeremia 50:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 48:20; Yer 51:6, 45; Zek 2:7; 2 Kor. 6:17; Ufu 18:2, 4

Yeremia 50:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 21:2; Yer 51:11, 27, 28, 48; Da. 5:28, 30
  • +Isa 13:17, 18

Yeremia 50:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 25:12; 27:6, 7
  • +Ufu 17:16

Yeremia 50:11

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 1:21
  • +Isa 14:4-6; 47:6; Yer 30:16

Yeremia 50:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 47:8
  • +Isa 13:20, 21

Yeremia 50:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 1:15
  • +Yer 25:12
  • +Yer 51:37

Yeremia 50:14

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kukanyanga.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:18; Yer 51:11
  • +Yer 51:35, 36

Yeremia 50:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Ametoa mukono wake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:58
  • +Yer 51:6, 11
  • +Zab 137:8; Ufu 18:6

Yeremia 50:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Mundu ni kisu chenye kujikunja chenye kinatumiwa ili kuvuna.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:23
  • +Isa 13:14; Yer 51:9

Yeremia 50:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Nebukadreza,” njia ingine ya kuandika jina hili.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 23:1; 50:6; Eze 34:5
  • +Yer 2:15
  • +2 Fal. 17:6; Isa 8:7
  • +2 Fal. 25:1; 2Nya 36:17; Yer 4:7

Yeremia 50:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 19:35; Isa 14:25; Sef 2:13

Yeremia 50:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “nafsi yake itashiba.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 11:16; 65:10; Yer 23:3; 33:7; Eze 34:14; Mik 2:12
  • +Mik 7:14
  • +Yer 31:6
  • +Oba 19

Yeremia 50:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 44:22; Yer 31:34; Mik 7:19

Yeremia 50:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “uwaharibu.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 23:22, 23

Yeremia 50:23

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hama, marteau.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 14:5, 6; Yer 51:20
  • +Yer 51:41; Ufu 18:15, 16

Yeremia 50:24

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:31; Da. 5:30; Ufu 18:8

Yeremia 50:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:5; Yer 51:11

Yeremia 50:26

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:27
  • +Yer 50:10
  • +Isa 14:22, 23

Yeremia 50:27

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 34:6, 7; Eze 39:18

Yeremia 50:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 94:1; Yer 51:11

Yeremia 50:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kukanyanga.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 50:14
  • +Zab 137:8; Yer 51:56
  • +Omb 3:64; Ufu 18:6
  • +Isa 14:13

Yeremia 50:30

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “watanyamazishwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:17, 18

Yeremia 50:31

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:25
  • +Isa 14:13; Da. 4:30

Yeremia 50:32

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:26

Yeremia 50:33

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 47:6
  • +Isa 14:17

Yeremia 50:34

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:14; Ufu 18:8
  • +Isa 47:4
  • +Omb 3:59
  • +Isa 14:3, 4
  • +Yer 51:24

Yeremia 50:35

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 47:13; Yer 51:57; Da. 5:7

Yeremia 50:36

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “manabii wa uongo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:30

Yeremia 50:37

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:8
  • +Isa 45:3

Yeremia 50:38

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 44:27; Yer 51:36, 37; Ufu 16:12
  • +Isa 46:1; Yer 51:44, 52; Da. 5:1, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 161-162

Yeremia 50:39

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:20, 21; Yer 51:37; Ufu 18:2
  • +Yer 25:12; 51:43, 64

Yeremia 50:40

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 13:19
  • +Mwa 19:24, 25; Yud 7
  • +Yer 51:26

Yeremia 50:41

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 45:1; Yer 51:11, 27, 28
  • +Isa 13:5, 17

Yeremia 50:42

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 50:9
  • +Zab 137:8; Isa 13:17, 18
  • +Yer 51:42
  • +Yer 51:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/11/2001, uku. 26

Yeremia 50:43

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:31
  • +Da. 5:6

Yeremia 50:44

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “vichaka vikubwa.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 41:25
  • +Yer 49:19-21

Yeremia 50:45

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “shauri lenye.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:11
  • +Isa 13:1, 20; Yer 51:43

Yeremia 50:46

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ufu 18:9

Maandiko ingine

Yer. 50:1Isa 13:1
Yer. 50:2Yer 51:8; Ufu 14:8
Yer. 50:2Isa 46:1; Yer 51:44
Yer. 50:3Isa 13:17; Yer 51:11, 48
Yer. 50:4Isa 11:12; Yer 3:18; Ho 1:11
Yer. 50:4Yer 31:8, 9
Yer. 50:4Ho 3:5
Yer. 50:5Isa 35:10
Yer. 50:5Yer 31:31
Yer. 50:6Isa 53:6
Yer. 50:6Yer 10:21; 23:2; Eze 34:2, 6
Yer. 50:7Zab 79:6, 7
Yer. 50:8Isa 48:20; Yer 51:6, 45; Zek 2:7; 2 Kor. 6:17; Ufu 18:2, 4
Yer. 50:9Isa 21:2; Yer 51:11, 27, 28, 48; Da. 5:28, 30
Yer. 50:9Isa 13:17, 18
Yer. 50:10Yer 25:12; 27:6, 7
Yer. 50:10Ufu 17:16
Yer. 50:11Omb 1:21
Yer. 50:11Isa 14:4-6; 47:6; Yer 30:16
Yer. 50:12Isa 47:8
Yer. 50:12Isa 13:20, 21
Yer. 50:13Zek 1:15
Yer. 50:13Yer 25:12
Yer. 50:13Yer 51:37
Yer. 50:14Isa 13:18; Yer 51:11
Yer. 50:14Yer 51:35, 36
Yer. 50:15Yer 51:58
Yer. 50:15Yer 51:6, 11
Yer. 50:15Zab 137:8; Ufu 18:6
Yer. 50:16Yer 51:23
Yer. 50:16Isa 13:14; Yer 51:9
Yer. 50:17Yer 23:1; 50:6; Eze 34:5
Yer. 50:17Yer 2:15
Yer. 50:172 Fal. 17:6; Isa 8:7
Yer. 50:172 Fal. 25:1; 2Nya 36:17; Yer 4:7
Yer. 50:182 Fal. 19:35; Isa 14:25; Sef 2:13
Yer. 50:19Isa 11:16; 65:10; Yer 23:3; 33:7; Eze 34:14; Mik 2:12
Yer. 50:19Mik 7:14
Yer. 50:19Yer 31:6
Yer. 50:19Oba 19
Yer. 50:20Isa 44:22; Yer 31:34; Mik 7:19
Yer. 50:21Eze 23:22, 23
Yer. 50:23Isa 14:5, 6; Yer 51:20
Yer. 50:23Yer 51:41; Ufu 18:15, 16
Yer. 50:24Yer 51:31; Da. 5:30; Ufu 18:8
Yer. 50:25Isa 13:5; Yer 51:11
Yer. 50:26Yer 51:27
Yer. 50:26Yer 50:10
Yer. 50:26Isa 14:22, 23
Yer. 50:27Isa 34:6, 7; Eze 39:18
Yer. 50:28Zab 94:1; Yer 51:11
Yer. 50:29Yer 50:14
Yer. 50:29Zab 137:8; Yer 51:56
Yer. 50:29Omb 3:64; Ufu 18:6
Yer. 50:29Isa 14:13
Yer. 50:30Isa 13:17, 18
Yer. 50:31Yer 51:25
Yer. 50:31Isa 14:13; Da. 4:30
Yer. 50:32Yer 51:26
Yer. 50:33Isa 47:6
Yer. 50:33Isa 14:17
Yer. 50:34Isa 41:14; Ufu 18:8
Yer. 50:34Isa 47:4
Yer. 50:34Omb 3:59
Yer. 50:34Isa 14:3, 4
Yer. 50:34Yer 51:24
Yer. 50:35Isa 47:13; Yer 51:57; Da. 5:7
Yer. 50:36Yer 51:30
Yer. 50:37Isa 13:8
Yer. 50:37Isa 45:3
Yer. 50:38Isa 44:27; Yer 51:36, 37; Ufu 16:12
Yer. 50:38Isa 46:1; Yer 51:44, 52; Da. 5:1, 4
Yer. 50:39Isa 13:20, 21; Yer 51:37; Ufu 18:2
Yer. 50:39Yer 25:12; 51:43, 64
Yer. 50:40Isa 13:19
Yer. 50:40Mwa 19:24, 25; Yud 7
Yer. 50:40Yer 51:26
Yer. 50:41Isa 45:1; Yer 51:11, 27, 28
Yer. 50:41Isa 13:5, 17
Yer. 50:42Yer 50:9
Yer. 50:42Zab 137:8; Isa 13:17, 18
Yer. 50:42Yer 51:42
Yer. 50:42Yer 51:27
Yer. 50:43Yer 51:31
Yer. 50:43Da. 5:6
Yer. 50:44Isa 41:25
Yer. 50:44Yer 49:19-21
Yer. 50:45Yer 51:11
Yer. 50:45Isa 13:1, 20; Yer 51:43
Yer. 50:46Ufu 18:9
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
  • 36
  • 37
  • 38
  • 39
  • 40
  • 41
  • 42
  • 43
  • 44
  • 45
  • 46
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 50:1-46

Yeremia

50 Neno lenye Yehova alisema kuhusu Babiloni,+ kuhusu inchi ya Wakaldayo, kupitia Yeremia nabii:

 2 “Museme jambo hilo kati ya mataifa na mulitangaze.

Muinue alama* na mulitangaze.

Musifiche jambo lolote!

Museme, ‘Babiloni amekamatwa.+

Beli amepatishwa haya.+

Merodaki ameingiwa na woga.

Sanamu zake zimepatishwa haya.

Sanamu zake zenye kuchukiza* zimeingiwa na woga.’

 3 Kwa maana taifa limekuja juu yake kutoka kaskazini.+

Linafanya inchi yake kuwa kitu cha kuogopesha;

Hakuna mutu mwenye kukaa ndani yake.

Mwanadamu na pia munyama wamekimbia;

Wameenda zao.”

4 “Katika siku hizo na wakati huo,” ni vile Yehova anasema, “watu wa Israeli na watu wa Yuda watakuja pamoja.+ Watalia wakiwa wanatembea,+ na watamutafuta pamoja Yehova Mungu wao.+ 5 Watauliza njia ya kuenda Sayuni, nyuso zao zikiwa zimeelekezwa upande huo,+ na kusema, ‘Mukuje na tujiunge na Yehova katika agano la milele lenye halitasahauliwa.’+ 6 Watu wangu wamekuwa kundi la kondoo wenye walipotea.+ Wachungaji wao wenyewe waliwafanya wapotee.+ Waliwapeleka kwenye milima, wameenda kutoka mulima mupaka kilima. Wamesahau mahali pao pa kupumuzikia. 7 Wale wote wenye wanawapata wamewameza,+ na maadui wao wamesema, ‘Hatuna hatia, kwa sababu walitenda zambi juu ya Yehova, juu ya makao ya haki na tumaini la mababu zao, Yehova.’”

 8 “Mukimbie kutoka katikati ya Babiloni,

Mutoke katika inchi ya Wakaldayo,+

Na mukuwe kama wanyama wenye kuongoza mbele ya kundi.

 9 Kwa maana angalia, ninaamusha na kuleta juu ya Babiloni

Mukusanyiko wa mataifa makubwa kutoka katika inchi ya kaskazini.+

Watakuja juu yake wakiwa wamejipanga kwa ajili ya vita;

Kutoka pale atakamatwa.

Mishale yao ni kama ya mupiganaji-vita

Yenye inatokeza kufiwa na watoto;+

Hairudie bila matokeo.

10 Ukaldayo utakuwa kitu chenye kinachukuliwa katika vita.+

Wote wenye wanakamata kutoka kwake vitu vyenye vinachukuliwa katika vita watashiba kabisa,”+ ni vile Yehova anasema.

11 “Kwa maana muliendelea kufurahi,+ muliendelea kushangilia

Wakati mulikuwa munanyanganya uriti wangu mwenyewe.+

Kwa maana muliendelea kukanyanga kama kitoto-dike cha ngombe katika majani,

Na muliendelea kulia kama farasi-dume.

12 Mama yenu amepatishwa haya.+

Ule mwenye aliwazaa ninyi amekata tamaa.

Muangalie! Yeye ndiye mudogo zaidi kati ya mataifa,

Nyika yenye haina maji na jangwa.+

13 Kwa sababu ya kasirani kali ya Yehova watu hawatakaa ndani yake;+

Atabakia ukiwa kabisa.+

Mutu yeyote mwenye kupita pembeni ya Babiloni ataangalia kwa woga

Na kupiga muluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+

14 Mukuje juu ya Babiloni mukiwa mumejipanga kwa ajili ya vita kila upande,

Ninyi wote wenye kupinda* upinde.

Mumupige mishale, musiache mushale wowote,+

Kwa maana amemutendea Yehova zambi.+

15 Mufanye makelele ya vita juu yake kila upande.

Amejitia katika mikono ya maadui.*

Nguzo zake zimeanguka, kuta zake zimebomolewa,+

Kwa maana ni kisasi cha Yehova.+

Mujilipizie kisasi juu yake.

Mumutendee kama vile ametenda.+

16 Muondoe mupandaji wa mbegu katika Babiloni

Na ule mwenye kutumia mundu* wakati wa mavuno.+

Kwa sababu ya upanga wenye kuua sana, kila mutu atarudia kwa watu wake mwenyewe,

Kila mutu atakimbilia katika inchi yake mwenyewe.+

17 “Watu wa Israeli ni kondoo wenye walitawanyika.+ Simba wamewatawanya.+ Kwanza mufalme wa Ashuru aliwameza;+ kisha Mufalme Nebukadneza* wa Babiloni akatafuna mifupa yao.+ 18 Kwa hiyo Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Angalia, nitamutendea mufalme wa Babiloni na inchi yake kama vile nilimutendea mufalme wa Ashuru.+ 19 Na nitarudisha Israeli kwenye malisho yake,+ na atakula majani kwenye Karmeli na kwenye Bashani,+ na kwenye milima ya Efraimu+ na ya Gileadi+ atashiba.’”*

20 “Katika siku hizo na wakati huo,” ni vile Yehova anasema,

“Hatia ya Israeli itatafutwa,

Lakini hakutakuwa yoyote,

Na zambi za Yuda hazitapatikana,

Kwa maana nitasamehe wale wenye nitaacha wabakie.”+

21 “Panda ili kushambulia inchi ya Merataimu na kushambulia wakaaji wa Pekodi.+

Acha wauawe na kuharibiwa kabisa,”* ni vile Yehova anasema.

“Fanya yote yenye nimekuamuru.

22 Kuko sauti ya vita katika inchi,

Musiba mukubwa.

23 Namna nyundo* ya chuma ya dunia yote imekatwa na kuvunjwa!+

Namna Babiloni amekuwa kitu cha kuogopesha kati ya mataifa!+

24 Nimekuwekea mutego, na umekamatwa, Ee Babiloni,

Na haukujua hilo.

Ulipatikana na kukamatwa,+

Kwa maana Yehova ndiye ulipinga.

25 Yehova amefungua depo yake,

Na analeta inje silaha za kasirani yake kali.+

Kwa maana Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, Yehova wa majeshi, iko* na kazi

Katika inchi ya Wakaldayo.

26 Mukuje kumushambulia kutoka sehemu za mbali.+

Mufungue madepo yake.+

Mumurundike kama marundo ya nafaka.

Mumuharibu kabisa.+

Asikuwe na mutu yeyote mwenye kubakia.

27 Muue ngombe-dume wake wote wadogo;+

Washuke kuenda kwenye machinjo.

Ole wao, kwa maana siku yao imekuja,

Wakati wao wa kuombwa watoe hesabu!

28 Kuko sauti ya wale wenye kukimbia,

Wale wenye kuponyoka kutoka inchi ya Babiloni,

Ili kutangaza katika Sayuni kisasi cha Yehova Mungu wetu,

Kisasi kwa ajili ya hekalu lake.+

29 Muite wapiga-mishale ili washambulie Babiloni,

Wote wenye kupinda* upinde.+

Mupige kambi kumuzunguka pande zote; musiache mutu yeyote aponyoke.

Mumulipe kulingana na matendo yake.+

Mumutendee kama vile ametenda.+

Kwa maana ametenda kwa majivuno juu ya Yehova,

Juu ya Mutakatifu wa Israeli.+

30 Basi vijana wake wataanguka katika viwanja vyake vya watu wote,+

Na maaskari wake wote wataangamia* katika siku hiyo,” ni vile Yehova anasema.

31 “Angalia! Nitapigana na wewe,+ Ee mwenye kuwa kichwa-nguvu,”+ ni vile Bwana Mwenye Mamlaka Makubwa Zaidi, Yehova wa majeshi anasema,

“Kwa maana siku yako inapaswa kuja, wakati nitakuomba utoe hesabu.

32 Wewe, Ee mwenye kuwa kichwa-nguvu, utajikwaa na kuanguka,

Hakutakuwa mutu wa kukusimamisha.+

Na nitawasha moto miji yako,

Na utateketeza kila kitu chenye kukuzunguka.”

33 Yehova wa majeshi anasema hivi:

“Watu wa Israeli na Yuda wanakandamizwa,

Na wale wote wenye kuwakamata mateka wamewashika.+

Wamekataa kuwaachilia waende.+

34 Lakini Mukombozi wao ni mwenye nguvu.+

Yehova wa majeshi ndilo jina lake.+

Bila shaka atatetea kesi yao ya hukumu,+

Ili kupumuzisha inchi+

Na kuvuruga wakaaji wa Babiloni.”+

35 “Kuko upanga juu ya Wakaldayo,” ni vile Yehova anasema,

“Juu ya wakaaji wa Babiloni na juu ya wakubwa wake na juu ya watu wake wenye hekima.+

36 Kuko upanga juu ya wale wenye kuongea maneno yenye hayana maana,* na watatenda kipumbavu.

Kuko upanga juu ya wapiganaji-vita wake, na wataingiwa na woga.+

37 Kuko upanga juu ya farasi wao na magari yao ya vita,

Na juu ya watu wote wa mataifa mbalimbali wenye kuchangamana wenye kuwa katikati yake,

Na watakuwa kama wanamuke.+

Kuko upanga juu ya hazina zake, na zitanyanganywa.+

38 Kuko uharibifu juu ya maji yake, na yatakaushwa.+

Kwa maana ni inchi ya sanamu za kuchongwa,+

Na kwa sababu ya maono yao yenye kuogopesha wanaendelea kutenda kiwazimu.

39 Kwa hiyo, viumbe vya jangwa vitakaa pamoja na wanyama wenye kufanya makelele,

Na mbuni watakaa ndani yake.+

Hatakaliwa tena hata siku moja,

Na hatakuwa tena mahali pa kukaa kwa vizazi vyote.”+

40 “Kama vile Mungu aliharibu Sodoma na Gomora+ na miji yake jirani,”+ ni vile Yehova anasema, “hakuna mutu mwenye ataishi pale, na hakuna mutu mwenye atakaa pale.+

41 Angalia! Watu wanaingia kutoka kaskazini;

Taifa kubwa na wafalme wakubwa+ watainuliwa

Kutoka sehemu za mbali zaidi za dunia.+

42 Wanatumia upinde na mukuki mudogo.+

Ni wakali na hawataonyesha rehema.+

Sauti yao ni kama bahari yenye kuvuma,+

Wakiwa wamepanda farasi wao.

Kama mutu mumoja, wamejipanga kwa ajili ya vita juu yako, Ee binti ya Babiloni.+

43 Mufalme wa Babiloni amesikia habari juu yao,+

Na mikono yake imeregea.+

Ameshikwa na uchungu,

Maumivu kama ya mwanamuke mwenye kuzaa.

44 “Angalia! Mutu fulani atapanda ili kushambulia malisho yenye kuwa salama kama simba kutoka kwenye miti mingi midogo-midogo* pembeni ya Yordani, lakini kwa wakati kidogo nitawafanya wakimbie kutoka katika inchi. Na nitaweka juu ya inchi hiyo ule mwenye kuchaguliwa.+ Kwa maana ni nani mwenye kuwa kama mimi, na ni nani mwenye atanipinga? Ni muchungaji gani mwenye anaweza kusimama mbele yangu?+ 45 Kwa hiyo musikie, Enyi watu, uamuzi wenye* Yehova amefanya juu ya Babiloni+ na mambo yenye amefikiria juu ya inchi ya Wakaldayo.

Hakika wenye kuwa wadogo wa kundi watakokotwa.

Atafanya makao yao yakuwe ukiwa kwa sababu yao.+

46 Kutokana na sauti ya kukamatwa kwa Babiloni, dunia itatetemeka,

Na kilio kitasikiwa kati ya mataifa.”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine