Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yeremia 19
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Yeremia

      • Yeremia anaambiwa avunje chupa ya udongo (1-15)

        • Kumutolea Baali zabihu za watoto (5)

Yeremia 19:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 18:2

Yeremia 19:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yosh. 15:8, 12; 2Nya 28:1, 3; Yer 7:31

Yeremia 19:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 22:16, 17; Isa 65:11
  • +2Nya 33:1, 4
  • +2 Fal. 21:16; Isa 59:7; Yer 2:34; Omb 4:13; Mt 23:34, 35

Yeremia 19:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “halijaingia katika mawazo yangu hata kidogo.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 28:1, 3; 33:1, 6; Isa 57:5
  • +Law. 18:21; Yer 7:31; 32:35

Yeremia 19:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 7:32

Yeremia 19:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye wanatafuta nafsi yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Kum 28:25, 26; Zab 79:2; Yer 7:33; 16:4

Yeremia 19:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 9:8; Yer 18:16; Omb 2:15

Yeremia 19:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wenye wanatafuta nafsi yao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:29; Kum 28:53; Omb 2:20; 4:10; Eze 5:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia,

    uku. 154-155

Yeremia 19:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Maana ya Maneno.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 7:32

Yeremia 19:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 79:1
  • +Yer 8:1, 2; Sef 1:4, 5
  • +Yer 7:18; 32:29

Yeremia 19:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “walifanya shingo yao kuwa ngumu ili wasitii.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:17, 29; Zek 7:12

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Yeremia, uku. 159

Maandiko ingine

Yer. 19:1Yer 18:2
Yer. 19:2Yosh. 15:8, 12; 2Nya 28:1, 3; Yer 7:31
Yer. 19:42 Fal. 22:16, 17; Isa 65:11
Yer. 19:42Nya 33:1, 4
Yer. 19:42 Fal. 21:16; Isa 59:7; Yer 2:34; Omb 4:13; Mt 23:34, 35
Yer. 19:52Nya 28:1, 3; 33:1, 6; Isa 57:5
Yer. 19:5Law. 18:21; Yer 7:31; 32:35
Yer. 19:6Yer 7:32
Yer. 19:7Kum 28:25, 26; Zab 79:2; Yer 7:33; 16:4
Yer. 19:81 Fal. 9:8; Yer 18:16; Omb 2:15
Yer. 19:9Law. 26:29; Kum 28:53; Omb 2:20; 4:10; Eze 5:10
Yer. 19:11Yer 7:32
Yer. 19:13Zab 79:1
Yer. 19:13Yer 8:1, 2; Sef 1:4, 5
Yer. 19:13Yer 7:18; 32:29
Yer. 19:15Ne 9:17, 29; Zek 7:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Yeremia 19:1-15

Yeremia

19 Yehova amesema hivi: “Uende na ununue chupa ya udongo kwa mufinyanzi.*+ Uchukue wazee fulani wa watu na wazee fulani wa makuhani, 2 na uende kwenye Bonde la Mwana wa Hinomu,+ kwenye muingilio wa Mulango Mukubwa wa Vigae. Na pale utangaze maneno yenye ninakuambia. 3 Utasema, ‘Musikie neno la Yehova, ninyi wafalme wa Yuda na wakaaji wa Yerusalemu. Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi:

“‘“Niko karibu kuleta musiba mahali hapa, na masikio ya mutu yeyote mwenye kusikia kuhusu musiba huo yatawasha. 4 Ni kwa sababu waliniacha mimi+ na walifanya mahali hapa pasitambuliwe.+ Mule wanatoa zabihu kwa miungu mingine, yenye wao na mababu zao na wafalme wa Yuda hawakukuwa wamejua, na wamejaza mahali hapa damu ya wenye hawana hatia.+ 5 Walijenga mahali pa juu pa Baali ili kuteketeza wana wao katika moto kama matoleo mazima ya kuteketezwa kwa Baali,+ jambo lenye sikukuwa nimeamuru wala kuzungumuzia na lenye halijaingia katika moyo wangu hata kidogo.”’*+

6 “‘“Kwa hiyo angalia! siku zinakuja,” ni vile Yehova anasema, “wakati mahali hapa hapataitwa tena Tofeti ao Bonde la Mwana wa Hinomu lakini Bonde la Mauaji.+ 7 Nitavunja mipango ya Yuda na Yerusalemu mahali hapa, na nitawaangusha kwa upanga mbele ya maadui wao na kwa mukono wa wale wenye wanatafuta kuchukua uzima wao.* Na maiti zao nitazitoa zikuwe chakula kwa ndege wa mbinguni na kwa wanyama wa dunia.+ 8 Na nitafanya muji huu kuwa kitu cha kuogopesha na kitu cha kupigiwa muluzi. Kila mutu mwenye kupita pembeni yake ataangalia kwa mushangao na kupiga muluzi kwa sababu ya mapigo yake yote.+ 9 Na nitawafanya wakule nyama ya watoto wao wanaume na watoto wao wanamuke, na watakula kila mumoja nyama ya mwenzake, kwa sababu ya kuzungukwa kwa ajili ya vita na kwa sababu ya kukata kwao tamaa wakati watafinywa na maadui wao na wale wenye wanatafuta kuondoa uzima wao.”’*+

10 “Kisha uvunje ile chupa mbele ya macho ya wanaume wenye wanaenda pamoja na wewe, 11 na uwaambie, ‘Yehova wa majeshi anasema hivi: “Ni vile nitavunja watu hawa na muji huu, kama mutu mwenye anavunja chombo cha mufinyanzi* na hivyo hakiwezi kutengenezwa hata kidogo; na watazika wafu katika Tofeti mupaka kusikuwe tena nafasi ya kuwazika.”’+

12 “‘Ni vile nitatendea mahali hapa,’ ni vile Yehova anasema, ‘na wakaaji wake, ili kufanya muji huu kama Tofeti. 13 Na nyumba za Yerusalemu na nyumba za wafalme wa Yuda zitakuwa chafu kama mahali hapa, Tofeti,+ ndiyo, nyumba zote zenye, kwenye sehemu zake za juu, walitolea zabihu jeshi lote la mbinguni+ na kwenye walimwanga matoleo ya kinywaji kwa miungu mingine.’”+

14 Wakati Yeremia alirudia kutoka Tofeti kwenye Yehova alikuwa amemutuma ili atoe unabii, akasimama katika kiwanja cha nyumba ya Yehova na kuambia watu wote: 15 “Yehova wa majeshi, Mungu wa Israeli, anasema hivi: ‘Angalia, ninaleta juu ya muji huu na juu ya miji yake yote musiba wote wenye nimesema juu yake, kwa sababu walikataa kwa kichwa-nguvu kutii* maneno yangu.’”+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine