Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Maombolezo 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Maombolezo

      • Yerusalemu anatajwa kuwa mujane

        • Anakaa peke yake na ameachwa (1)

        • Zambi kubwa za Sayuni (8, 9)

        • Mungu anakataa Sayuni (12-15)

        • Hakuna wa kufariji Sayuni (17)

Maombolezo 1:utangulizi

Maelezo ya Chini

  • *

    Sura ya 1-4 ni nyimbo za maombolezo zenye ziliandikwa kwa kufuata alfabeti ya Kiebrania ao mupangilio wa kishairi.

Maombolezo 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wilaya za utawala.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 122:3, 4
  • +1 Fal. 4:20
  • +Kum 28:15, 48; 2 Fal. 25:11, 12

Maombolezo 1:2

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Omb 1:16
  • +Yer 4:30; Eze 16:37
  • +Yer 30:14

Maombolezo 1:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:33; 2 Fal. 24:14, 15; 25:21; Yer 39:9; 52:27
  • +Yer 17:4
  • +Kum 28:64

Maombolezo 1:4

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “Vijana wake wanamuke.”

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Amo 8:10
  • +Isa 3:26

Maombolezo 1:5

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kichwa chake.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zek 1:15
  • +2Nya 36:15, 16; Ne 9:33; Da. 9:7, 16
  • +Yer 39:9; 52:30

Maombolezo 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 24:21

Maombolezo 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “wakashangilia.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Fal. 10:27
  • +Yer 52:4
  • +Zab 137:7; Omb 2:16

Maombolezo 1:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 1:4; 59:2; Eze 22:4
  • +Yer 13:22; Eze 23:29
  • +Yer 4:31

Maombolezo 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 8:7
  • +Yer 50:29

Maombolezo 1:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 52:17, 19; Da. 1:1, 2
  • +2Nya 36:17, 18; Zab 74:7; Yer 52:13

Maombolezo 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ili tu kurudisha nafsi.”

  • *

    Maneno haya yanahusu muji wa Yerusalemu wenye unazungumuziwa kama mutu.

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 38:9; 52:6; Omb 2:12; 4:4

Maombolezo 1:12

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 21:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 8

Maombolezo 1:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makila.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 102:3

Maombolezo 1:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Law. 26:37; Eze 11:9

Maombolezo 1:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:14, 15
  • +2Nya 36:17
  • +Ufu 14:19; 19:15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    1/6/2007, uku. 8-9

Maombolezo 1:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “kutia moyo nafsi yangu.”

  • *

    Ao “eko.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 31:15

Maombolezo 1:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 4:31
  • +Kum 28:49; 2 Fal. 24:1, 2; 25:1
  • +Omb 1:8

Maombolezo 1:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kinywa chake.”

  • *

    Ao “Vijana wangu wanamuke.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Ne 9:33; Da. 9:7
  • +1 Sa. 12:14, 15
  • +Kum 28:32

Maombolezo 1:19

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “ili kurudisha nafsi.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 30:14
  • +2 Fal. 25:3; Yer 38:9

Maombolezo 1:20

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “Matumbotumbo yangu yanavurugika.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 107:11; Isa 1:2; 63:10
  • +Kum 32:25; Yer 15:2

Maombolezo 1:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Eze 25:6, 7; Oba 12
  • +Isa 13:19; Yer 25:12-14; Yoe 3:19
  • +Zab 137:8, 9; Isa 51:22, 23

Maombolezo 1:22

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 51:35

Maandiko ingine

Omb. 1:1Zab 122:3, 4
Omb. 1:11 Fal. 4:20
Omb. 1:1Kum 28:15, 48; 2 Fal. 25:11, 12
Omb. 1:2Omb 1:16
Omb. 1:2Yer 4:30; Eze 16:37
Omb. 1:2Yer 30:14
Omb. 1:3Law. 26:33; 2 Fal. 24:14, 15; 25:21; Yer 39:9; 52:27
Omb. 1:3Yer 17:4
Omb. 1:3Kum 28:64
Omb. 1:4Isa 3:26
Omb. 1:4Amo 8:10
Omb. 1:5Zek 1:15
Omb. 1:52Nya 36:15, 16; Ne 9:33; Da. 9:7, 16
Omb. 1:5Yer 39:9; 52:30
Omb. 1:6Eze 24:21
Omb. 1:71 Fal. 10:27
Omb. 1:7Yer 52:4
Omb. 1:7Zab 137:7; Omb 2:16
Omb. 1:8Isa 1:4; 59:2; Eze 22:4
Omb. 1:8Yer 13:22; Eze 23:29
Omb. 1:8Yer 4:31
Omb. 1:9Yer 8:7
Omb. 1:9Yer 50:29
Omb. 1:10Yer 52:17, 19; Da. 1:1, 2
Omb. 1:102Nya 36:17, 18; Zab 74:7; Yer 52:13
Omb. 1:11Yer 38:9; 52:6; Omb 2:12; 4:4
Omb. 1:12Yer 21:7
Omb. 1:13Zab 102:3
Omb. 1:14Law. 26:37; Eze 11:9
Omb. 1:152 Fal. 24:14, 15
Omb. 1:152Nya 36:17
Omb. 1:15Ufu 14:19; 19:15
Omb. 1:16Yer 31:15
Omb. 1:17Yer 4:31
Omb. 1:17Kum 28:49; 2 Fal. 24:1, 2; 25:1
Omb. 1:17Omb 1:8
Omb. 1:18Ne 9:33; Da. 9:7
Omb. 1:181 Sa. 12:14, 15
Omb. 1:18Kum 28:32
Omb. 1:19Yer 30:14
Omb. 1:192 Fal. 25:3; Yer 38:9
Omb. 1:20Zab 107:11; Isa 1:2; 63:10
Omb. 1:20Kum 32:25; Yer 15:2
Omb. 1:21Eze 25:6, 7; Oba 12
Omb. 1:21Isa 13:19; Yer 25:12-14; Yoe 3:19
Omb. 1:21Zab 137:8, 9; Isa 51:22, 23
Omb. 1:22Yer 51:35
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Maombolezo 1:1-22

Maombolezo

א [Aleph]*

1 Namna sasa amekaa akiwa peke yake, muji wenye ulikuwa umejaa watu!+

Namna amekuwa kama mujane, yeye mwenye alikuwa na watu wengi kati ya mataifa!+

Namna ule mwenye alikuwa binti ya kifalme kati ya majimbo* amewekwa kwenye kazi za kulazimishwa!+

ב [Beth]

 2 Analia sana usiku,+ na machozi yake yanafunika mashavu yake.

Hakuna mutu yeyote wa kumufariji kati ya wapenzi wake wote.+

Wenzake wote wamemusaliti;+ wamekuwa maadui wake.

ג [Gimel]

 3 Yuda ameenda katika uhamisho+ kwa mateso na utumwa mukali.+

Anapaswa kukaa kati ya mataifa;+ hapate mahali pa kupumuzikia.

Wote wenye kumutesa wamemufikia katika taabu yake.

ד [Daleth]

 4 Barabara za kuenda Sayuni zinaomboleza, kwa sababu hakuna mutu yeyote mwenye anakuja kwenye sikukuu.+

Milango yake yote mikubwa imekuwa ukiwa;+ makuhani wake wanalia kwa maumivu.

Mabikira wake* wako na huzuni, na yeye iko* katika uchungu mukali.

ה [He]

 5 Wapinzani wake wamekuwa sasa bwana wake;* maadui wake hawana mahangaiko.+

Kwa maana Yehova amemuletea huzuni kwa sababu ya makosa yake mengi.+

Watoto wake wameenda katika utekwa mbele ya adui.+

ו [Waw]

 6 Utukufu wote umetoka kwa binti ya Sayuni.+

Wakubwa wake wamekuwa kama paa wenye hawakupata malisho,

Na wanatembea wakiwa wenye kuchoka mbele ya mwenye kuwafuatilia.

ז [Zayin]

 7 Katika siku za mateso yake na za kukosa kuwa na makao, Yerusalemu anakumbuka

Vitu vyote vyenye samani vyenye vilikuwa vyake katika siku za zamani sana.+

Wakati watu wake walianguka katika mukono wa adui na hakukuwa na musaidizi,+

Maadui walimuona na wakacheka* juu ya kuanguka kwake.+

ח [Heth]

 8 Yerusalemu amefanya zambi sana.+

Ndiyo sababu amekuwa kitu chenye kuchukiza.

Wote wenye walikuwa wanamuheshimia wanamutendea sasa kama kitu cha kuzarauliwa, kwa maana wameona uchi wake.+

Yeye mwenyewe analia kwa maumivu+ na anageuka kwa haya.

ט [Teth]

 9 Uchafu wake uko katika nguo zake.

Hakufikiria wakati wake wenye kuja.+

Alianguka kwa njia ya kushangaza; hana mutu wa kumufariji.

Ee Yehova, ona mateso yangu, kwa maana adui amejitukuza mwenyewe.+

י [Yod]

10 Adui ametia mikono yake juu ya hazina zake zote.+

Kwa maana ameona mataifa yakiingia patakatifu pake,+

Watu wenye uliamuru wasiingie katika kutaniko lako.

כ [Kaph]

11 Watu wake wote wanalia kwa maumivu; wanatafuta mukate.+

Wametoa vitu vyao vyenye samani ili wapate chakula, ili tu waendelee kuishi.*

Angalia, Ee Yehova, na uone namna nimekuwa kama mwanamuke mwenye hana mafaa yoyote.*

ל [Lamed]

12 Je, haimaanishe kitu chochote kwenu ninyi wote wenye kupita katika barabara?

Muangalie na muone!

Je, kuko maumivu yoyote kama maumivu yenye nimetendewa,

Yenye Yehova amefanya nipate katika siku ya kasirani yake yenye kuwaka?+

מ [Mem]

13 Kutoka juu ametuma moto katika mifupa yangu,+ na anatiisha kila mumoja.

Ametandika wavu* kwa ajili ya miguu yangu; amenilazimisha nigeuke na nirudie nyuma.

Amenifanya kuwa mwanamuke mwenye ameachwa ukiwa.

Niko mugonjwa muchana wote.

נ [Nun]

14 Makosa yangu yamefungwa kama nira, yamefungwa pamoja kwa mukono wake.

Yamewekwa kwenye shingo yangu, na nguvu zangu zimeisha.

Yehova amenitia katika mukono wa watu wenye siwezi kupingana nao.+

ס [Samekh]

15 Yehova ametupa pembeni watu wote wenye nguvu kutoka katikati yangu.+

Ameita mukusanyiko juu yangu ili kuponda vijana wangu wanaume.+

Yehova amemukanyanga binti bikira wa Yuda katika kikamulio cha divai.+

ע [Ayin]

16 Ninalia kwa sababu ya mambo hayo;+ macho yangu yanatiririka machozi.

Kwa maana mutu yeyote mwenye angenifariji ao kunitia moyo* iko* mbali sana na mimi.

Watoto wangu wameachwa ukiwa, kwa sababu adui ameshinda.

פ [Pe]

17 Sayuni amenyoosha mikono yake,+ hana mutu wa kumufariji.

Yehova ametoa amri juu ya Yakobo kwa maadui wake wote wenye kumuzunguka.+

Yerusalemu imekuwa kwao kitu chenye kuchukiza.+

צ [Tsade]

18 Yehova ni mwenye haki,+ kwa maana nimeasi amri zake.*+

Musikilize, ninyi vikundi vyote vya watu, na muone maumivu yangu.

Mabikira wangu* na vijana wangu wanaume wameenda katika utekwa.+

ק [Qoph]

19 Nimeita wapenzi wangu kwa sauti kubwa, lakini wamenisaliti.+

Katika muji makuhani wangu na wazee wangu wameangamia,

Wakati walitafuta chakula ili waendelee kuishi.*+

ר [Resh]

20 Ona, Ee Yehova, kwa maana niko katika taabu kali.

Sehemu zangu za ndani zinavurugika.*

Moyo wangu umepinduka ndani yangu, kwa maana nimeasi kabisa.+

Inje upanga unaua watu;+ ndani ya nyumba ni kama kifo.

ש [Shin]

21 Watu wamesikia kilio changu cha maumivu; hakuna mutu wa kunifariji.

Maadui wangu wote wamesikia juu ya musiba wangu.

Wanafurahi, kwa sababu uliuleta.+

Lakini utaleta siku yenye ulitangaza,+ wakati watakuwa kama mimi.+

ת [Taw]

22 Uovu wao wote ukuje mbele yako, na uwatendee kwa ukali,+

Kama vile umenitendea kwa ukali kwa sababu ya makosa yangu yote.

Kwa maana vilio vyangu vya maumivu ni vingi, na moyo wangu ni mugonjwa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine