Hosea
12 “Efraimu anajikulisha upepo.
Anafukuza upepo wa mashariki siku nzima.
Anaongeza uongo na jeuri.
Wanafanya agano pamoja na Ashuru+ na kupeleka mafuta Misri.+
2 Yehova iko* na kesi ya hukumu juu ya Yuda;+
Atamuomba Yakobo atoe hesabu kulingana na njia zake,
Na atamulipa kulingana na matendo yake.+
3 Katika tumbo la uzazi alimushika ndugu yake kwenye kisigino,+
Na kwa nguvu zake alishindana na Mungu.+
4 Aliendelea kushindana na malaika na akashinda.
Alilia na kuomba amuonyeshe wema.”+
6 “Basi rudia kwa Mungu wako,+
Endelea kuwa na upendo mushikamanifu na haki,+
Na umutumainie Mungu wako sikuzote.
Na katika kazi yangu yote ya jasho, hawatapata jambo lolote lenye kuwa kosa ao lenye kuwa zambi.’
9 Lakini mimi ni Yehova Mungu wako kuanzia* inchi ya Misri.+
Nitakufanya tena ukae katika mahema
Kama katika siku za wakati wenye uliwekwa.*
11 Gileadi amekuwa na udanganyifu*+ na uongo.
Katika Gilgali wametoa zabihu za ngombe-dume,+
Na mazabahu zao ni kama marundo ya majiwe katika mifereji ya shamba.+