Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Habakuki 1
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Habakuki

      • Nabii analilia musaada (1-4)

        • ‘Ee Yehova, mupaka wakati gani?’ (2)

        • “Sababu gani unaachilia ukandamizaji?” (3)

      • Mungu anatumia Wakaldayo ili kutoa hukumu (5-11)

      • Nabii anamulilia Yehova (12-17)

        • ‘Mungu wangu, wewe hauwezi kufa’ (12)

        • ‘Macho yako ni safi sana, hayawezi kuendelea kuangalia ubaya’ (13)

Habakuki 1:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Pengine jina hili linamaanisha “Kumbatio Changamufu.”

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    “Kila Andiko,” uku. 161

Habakuki 1:2

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “hauokoe.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 13:1
  • +Zab 22:1; 74:10; Ufu 6:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/6/2000, uku. 19

    1/2/2000, uku. 8-9

    15/1/2000, uku. 10

Habakuki 1:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yob 12:6; Zab 12:8; Mhu. 8:11; Isa 1:21; Mdo 7:52, 53

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 8-9

Habakuki 1:5

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 28:21; 29:14; Omb 4:11, 12; Mdo 13:40, 41

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    11/2017, uku. 6

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/11/2007, uku. 9-10

    1/2/2000,

    uku. 10-11, 13

    “Kila Andiko,”

    uku. 161-162

Habakuki 1:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 22:7; 46:2
  • +Kum 28:49-51; Yer 5:15-17; 6:22, 23; Eze 23:22, 23

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Utumishi na Maisha ya Mukristo—Buku la Mukutano,

    11/2017, uku. 6

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/11/2007, uku. 9-10

    1/2/2000, uku. 11

    “Kila Andiko,”

    uku. 161-162

Habakuki 1:7

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “heshima.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 39:5-7; Da. 5:18, 19

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 11

Habakuki 1:8

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 5:6
  • +Yer 4:13; Omb 4:19; Eze 17:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 11

Habakuki 1:9

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 25:9
  • +Isa 27:8; Eze 17:10

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 11

Habakuki 1:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Fal. 24:12
  • +Yer 32:24; 52:7

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 11

Habakuki 1:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “nguvu zao ni mungu wao.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Isa 47:5, 6; Yer 51:24; Zek 1:15
  • +Da. 5:1, 4

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 11

Habakuki 1:12

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao pengine, “sisi hatutakufa.”

  • *

    Ao “ili uwakaripie.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 90:2; 93:2; Ufu 1:8
  • +1 Tim. 1:17; Ufu 15:3
  • +Kum 32:4
  • +Yer 30:11

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 11-12

Habakuki 1:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Zab 5:4, 5
  • +Yer 12:1
  • +Zab 35:21, 22

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 12

Habakuki 1:14

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/2/2000, uku. 12

Habakuki 1:15

Maelezo ya Chini

  • *

    Ni kusema, adui Mukaldayo.

  • *

    Ao “makila yake ya.”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Yer 50:11

Habakuki 1:16

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makila yake ya.”

  • *

    Ao “anachoma zabihu ili zitoe moshi kwa ajili ya wavu wake wa kuvua samaki.”

  • *

    Tnn., “limetiwa mafuta muzuri.”

Habakuki 1:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “makila yake ya.”

  • *

    Ao pengine, “Je, ataendelea kuchomoa upanga wake?”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2Nya 36:17; Nah 3:7

Maandiko ingine

Hab. 1:2Zab 13:1
Hab. 1:2Zab 22:1; 74:10; Ufu 6:10
Hab. 1:4Yob 12:6; Zab 12:8; Mhu. 8:11; Isa 1:21; Mdo 7:52, 53
Hab. 1:5Isa 28:21; 29:14; Omb 4:11, 12; Mdo 13:40, 41
Hab. 1:6Yer 22:7; 46:2
Hab. 1:6Kum 28:49-51; Yer 5:15-17; 6:22, 23; Eze 23:22, 23
Hab. 1:7Yer 39:5-7; Da. 5:18, 19
Hab. 1:8Yer 5:6
Hab. 1:8Yer 4:13; Omb 4:19; Eze 17:3
Hab. 1:9Isa 27:8; Eze 17:10
Hab. 1:9Yer 25:9
Hab. 1:102 Fal. 24:12
Hab. 1:10Yer 32:24; 52:7
Hab. 1:11Isa 47:5, 6; Yer 51:24; Zek 1:15
Hab. 1:11Da. 5:1, 4
Hab. 1:12Zab 90:2; 93:2; Ufu 1:8
Hab. 1:121 Tim. 1:17; Ufu 15:3
Hab. 1:12Kum 32:4
Hab. 1:12Yer 30:11
Hab. 1:13Zab 5:4, 5
Hab. 1:13Yer 12:1
Hab. 1:13Zab 35:21, 22
Hab. 1:15Yer 50:11
Hab. 1:172Nya 36:17; Nah 3:7
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Habakuki 1:1-17

Habakuki

1 Tangazo lenye nabii Habakuki* alipokea katika maono:

 2 Ee Yehova, nililie musaada mupaka wakati gani, lakini wewe hausikie?+

Nitakuomba musaada kwa sababu ya jeuri mupaka wakati gani, lakini wewe hauingilie kati?*+

 3 Sababu gani unanifanya nione matendo mabaya?

Na sababu gani unaachilia ukandamizaji?

Sababu gani uharibifu na jeuri viko mbele yangu?

Na sababu gani ugomvi na vita vinaongezeka?

 4 Sheria haitumike,

Na haki haifuatwe hata kidogo.

Kwa sababu muovu amemuzunguka mwenye haki;

Ndiyo sababu haki imepotoshwa.+

 5 “Muangalie kati ya mataifa, na mukaze uangalifu!

Mushangae na kustaajabu;

Kwa maana jambo fulani litatokea katika siku zenu

Lenye hata mukiambiwa hamutaliamini.+

 6 Kwa maana, angalia, ninasimamisha Wakaldayo,+

Taifa lenye halina huruma na lenye kutenda haraka bila kufikiri,

Wanaenda haraka katika maeneo mengi ya dunia

Ili kunyanganya makao yenye hayako yao.+

 7 Ni wenye kutisha na wenye kuogopesha.

Wanajiwekea haki na mamlaka* yao wenyewe.+

 8 Farasi wao wanakimbia kuliko chui,

Na ni wakali kuliko imbwa wa pori wakati wa usiku.+

Farasi wao wa vita wanakimbia kuenda mbele;

Farasi wao wanatoka mbali.

Wanashuka mbio sana kama tai mwenye kuenda kula.+

 9 Wote wanakuja kutenda jeuri.+

Wakati nyuso zao zinakusanywa, ni kama upepo wa mashariki,+

Na wanakusanya watu wenye walikamatwa mateka kama muchanga.

10 Wanachekelea wafalme

Na kuchekelea maofisa wakubwa.+

Wanachekelea kila mahali kwenye ngome;+

Wanarundika udongo na kukamata mateka mahali pale.

11 Kisha wanasonga mbele kama upepo na kupita,

Lakini watakuwa na hatia,+

Kwa sababu wanasema nguvu zao zinatoka kwa mungu wao.”*+

12 Je, wewe hauko wa tangu milele, Ee Yehova?+

Ee Mungu wangu, Mutakatifu wangu, wewe hauwezi kufa.*+

Ee Yehova, uliwaweka ili watimize hukumu;

Mwamba wangu,+ uliwafanya kuwa imara kwa ajili ya azabu.*+

13 Macho yako ni safi sana, hayawezi kuendelea kuangalia ubaya,

Na hauwezi kuvumilia uovu.+

Lakini sababu gani unavumilia wadanganyifu+

Na kunyamaza wakati muovu anameza mutu mwenye haki kuliko yeye?+

14 Sababu gani unafanya mwanadamu kuwa kama samaki wa bahari,

Kama viumbe vyenye kutambaa vyenye havina mutawala?

15 Yeye* ameinua hao wote kwa ndoano.

Anawakamata kwa wavu wake wa* kukokotwa,

Na anawakusanya katika wavu wake wa kuvua samaki.

Ndiyo sababu anashangilia sana.+

16 Ndiyo sababu anatolea wavu wake wa* kukokotwa zabihu

Na anatolea wavu wake wa kuvua samaki zabihu;*

Kwa maana kupitia hizo fungu lake ni kubwa,*

Na chakula chake ni kizuri.

17 Je, ataendelea kuondoa vyote vyenye kuwa katika wavu wake wa* kukokotwa?*

Je, ataendelea kuchinja mataifa bila huruma?+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine