Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Matendo 22
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

Habari Zenye Kuwa Katika Matendo

      • Paulo anajitetea mbele ya watu wengi (1-21)

      • Paulo anatumia uraia wake wa Roma (22-29)

      • Sanhedrini inakusanywa (30)

Matendo 22:1

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Flp 1:7

Matendo 22:3

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Rom. 11:1
  • +Mdo 21:39
  • +Mdo 5:34
  • +Mdo 26:4, 5
  • +Gal 1:14; Flp 3:4-6

Matendo 22:4

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 8:3; 9:1, 2; 26:9-11; 1 Tim. 1:12, 13

Matendo 22:6

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:3-8; 26:13-15

Matendo 22:10

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 26:16

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    15/10/2012, uku. 28

Matendo 22:13

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:17, 18

Matendo 22:14

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 9:1; 15:8; Gal 1:15, 16

Matendo 22:15

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 23:11; 26:16

Matendo 22:16

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +1 Kor. 6:11; 1 Yo. 1:7; Ufu 1:5
  • +Mdo 10:43

Matendo 22:17

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:26; Gal 1:18

Matendo 22:18

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:28, 29

Matendo 22:19

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 8:3

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 17

Matendo 22:20

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 7:58; 8:1; 1 Tim. 1:13, 15

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2007 ),

    15/6/2007, uku. 17

Matendo 22:21

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 9:15; 13:2; Rom. 1:5; 11:13; Gal 2:7; 1 Tim. 2:7

Matendo 22:23

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +2 Sa. 16:13

Matendo 22:24

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi (2001),

    15/12/2001, uku. 21-22

Matendo 22:25

Maelezo ya Chini

  • *

    Ao “raia Muroma.”

  • *

    Ao “mwenye hajasambishwa?”

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:37, 38; 23:27

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Munara wa Mulinzi,

    1/3/2015, uku. 12

    15/12/2001, uku. 22

Matendo 22:28

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 16:37

Endekse

  • Musaada wa Kutafuta Habari

    Kutoa Ushahidi, uku. 184

Matendo 22:29

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mdo 25:16

Matendo 22:30

Maelezo Ingine Juu ya Hii Andiko

  • +Mt 10:17, 18; Lu 21:12

Maandiko ingine

Mdo. 22:1Flp 1:7
Mdo. 22:3Rom. 11:1
Mdo. 22:3Mdo 21:39
Mdo. 22:3Mdo 5:34
Mdo. 22:3Mdo 26:4, 5
Mdo. 22:3Gal 1:14; Flp 3:4-6
Mdo. 22:4Mdo 8:3; 9:1, 2; 26:9-11; 1 Tim. 1:12, 13
Mdo. 22:6Mdo 9:3-8; 26:13-15
Mdo. 22:10Mdo 26:16
Mdo. 22:13Mdo 9:17, 18
Mdo. 22:141 Kor. 9:1; 15:8; Gal 1:15, 16
Mdo. 22:15Mdo 23:11; 26:16
Mdo. 22:161 Kor. 6:11; 1 Yo. 1:7; Ufu 1:5
Mdo. 22:16Mdo 10:43
Mdo. 22:17Mdo 9:26; Gal 1:18
Mdo. 22:18Mdo 9:28, 29
Mdo. 22:19Mdo 8:3
Mdo. 22:20Mdo 7:58; 8:1; 1 Tim. 1:13, 15
Mdo. 22:21Mdo 9:15; 13:2; Rom. 1:5; 11:13; Gal 2:7; 1 Tim. 2:7
Mdo. 22:232 Sa. 16:13
Mdo. 22:25Mdo 16:37, 38; 23:27
Mdo. 22:28Mdo 16:37
Mdo. 22:29Mdo 25:16
Mdo. 22:30Mt 10:17, 18; Lu 21:12
  • Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Matendo 22:1-30

Matendo ya Mitume

22 “Wanaume, ndugu na baba, musikilize sasa namna ninajitetea mbele yenu.”+ 2 Basi, wakati walisikia anasema nao katika luga ya Kiebrania, wakakuwa kimya hata zaidi, na akasema: 3 “Mimi ni Muyahudi,+ nilizaliwa katika Tarso ya Kilikia,+ lakini nilipata elimu katika muji huu kwenye miguu ya Gamalieli,+ na nilifundishwa namna ya kufuata kabisa Sheria ya mababu,+ na niko na bidii kwa ajili ya Mungu kama vile ninyi wote muko nayo leo.+ 4 Nilitesa Njia hii mupaka kifo, nilifunga na kutia katika gereza wanaume na wanamuke pia,+ 5 kama vile kuhani mukubwa na mukusanyiko wote wa wazee wanaweza kutoa ushahidi. Nilipata pia barua kutoka kwao ili nizipeleke kwa ndugu katika Damasko, na nilikuwa ninaenda kukamata wale wenye walikuwa kule na kuwaleta Yerusalemu wakiwa wamefungwa ili wapewe azabu.

6 “Lakini wakati nilikuwa ninasafiri na kukaribia Damasko, karibu katikati ya muchana, kwa kushitukia mwangaza mukubwa ukatokea mbinguni na kunizunguka,+ 7 na nikaanguka chini na nikasikia sauti ikiniambia: ‘Sauli, Sauli, sababu gani unanitesa?’ 8 Nikajibu, ‘Wewe ni nani Bwana?’ Naye akaniambia, ‘Mimi ni Yesu Munazareti, mwenye unatesa.’ 9 Sasa watu wenye walikuwa pamoja na mimi waliona ule mwangaza, lakini hawakusikia sauti ya mutu mwenye alikuwa anasema na mimi. 10 Halafu nikasema: ‘Nifanye nini Bwana?’ Bwana akaniambia: ‘Simama, uende Damasko, na kule utaambiwa kila kitu chenye umepangiwa kufanya.’+ 11 Lakini sikukuwa ninaona kitu chochote kwa sababu ya utukufu wa mwangaza huo, basi wale wenye walikuwa pamoja na mimi wakanikamata kwenye mukono na kuniongoza mupaka Damasko.

12 “Kisha mwanaume mwenye kuitwa Anania, mwenye kumuogopa Mungu kulingana na Sheria, na mwenye Wayahudi wote wenye walikuwa wanaishi kule walikuwa wanatoa ushahidi muzuri juu yake, 13 akakuja kwenye nilikuwa. Akasimama pembeni yangu na kuniambia: ‘Sauli, ndugu, anza kuona tena!’ Na wakati uleule nikaangalia juu na nikamuona.+ 14 Akasema: ‘Mungu wa mababu zetu amekuchagua ili ujue mapenzi yake na uone ule mwenye haki+ na kusikia sauti ya kinywa chake, 15 kwa sababu unapaswa kuwa shahidi wake kwa watu wote juu ya mambo yenye umeona na kusikia.+ 16 Na sasa sababu gani unakawia? Simama, ubatizwe, na ujisafishe na kuondolea mbali zambi zako+ kwa kuitia jina lake.’+

17 “Lakini wakati nilikuwa nimerudia Yerusalemu+ na nikiwa ninasali katika hekalu, nikaona maono, 18 na nikamuona akiniambia: ‘Fanya haraka utoke Yerusalemu mbio, kwa sababu hawatakubali ushahidi wenye unatoa juu yangu.’+ 19 Na nikasema: ‘Bwana, wao wenyewe wanajua muzuri kwamba nilikuwa ninatia katika gereza na kupiga viboko katika sinagogi moja kisha lingine wale wenye walikuwa wanakuamini;+ 20 na wakati damu ya Stefano shahidi wako ilikuwa inamwangwa, nilikuwa nimesimama pembeni na kukubaliana na jambo hilo na nilikuwa ninachunga nguo za inje za wale wenye walikuwa wanamuua.’+ 21 Lakini akaniambia: ‘Uende, kwa sababu nitakutuma mbali sana kwa mataifa.’”+

22 Sasa wakaendelea kumusikiliza mupaka wakati alisema neno hilo. Kisha wakapandisha sauti zao, kwa kusema: “Tosha mutu wa namna hiyo katika dunia, kwa maana hastahili kuishi!” 23 Kwa sababu walikuwa wanasema kwa sauti kubwa, na kutupa nguo zao za inje huku na huku, na kurusha vumbi katika hewa,+ 24 ule kiongozi wa jeshi akaagiza Paulo aingizwe katika makao ya maaskari na akasema kwamba anapaswa kuulizwa maulizo akiwa anapigwa mijeledi, ili ajue kabisa sababu gani walikuwa wanamufanyia Paulo makelele kwa njia hiyo. 25 Lakini wakati walikuwa wamemunyoosha ili apigwe mijeledi, Paulo akamuuliza ofisa wa jeshi mwenye alikuwa amesimama pale: “Je, munaruhusiwa kupiga mijeledi Muroma* mwenye hajahukumiwa?”*+ 26 Basi wakati ule ofisa wa jeshi alisikia vile, akaenda kwa kiongozi wa jeshi na kumuelezea jambo hilo, kwa kusema: “Unakusudia kufanya nini? Kwa maana mutu huyu ni Muroma.” 27 Basi ule kiongozi wa jeshi akakaribia na kumuuliza: “Uniambie, wewe ni Muroma?” Akasema: “Ndiyo.” 28 Ule kiongozi wa jeshi akasema: “Mimi nilinunua haki hizi za kuwa raia kwa feza nyingi.” Paulo akasema: “Lakini mimi nilizaliwa nazo.”+

29 Kwa hiyo, mara moja watu wenye walikuwa karibu kumuuliza maulizo wakimutesa wakamuacha; na kiongozi wa jeshi akaogopa wakati alitambua kwamba alikuwa Muroma na kwamba alikuwa amemufunga kwa minyororo.+

30 Basi siku yenye ilifuata, kwa sababu alitaka kujua kwa hakika sababu gani alikuwa anashitakiwa na Wayahudi, akamufungua na akaamuru wakubwa wa makuhani na Sanhedrini yote wakusanyike. Kisha akamushusha Paulo na kumusimamisha katikati yao.+

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine