Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo 142
  • Tusiache Tumaini Yetu

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tusiache Tumaini Yetu
  • ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tuimbe Wimbo Mupya
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Utaishi Milele!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Muendelee Kutafuta Kwanza Ufalme
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Tuimbe Wimbo wa Ufalme!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
Ona Habari Zaidi
‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
sjj wimbo 142

WIMBO 142

Tusiache Tumaini Yetu

Maandishi

(Waebrania 6:18, 19)

  1. 1. Watu wako wanatembea mu giza

    Na wanafuatilia upepo.

    Iko nguvu wakomboe wengine

    Sababu hawakamilike.

    (REFREE)

    Tuko natumainia kama

    Ufalme wa Mungu uko karibu.

    Utamaliza magumu yote.

    Kwa hiyo, tuimbe na tufurahi.

  2. 2. “Siku ya Mungu iko karibu” sana

    Tusiwaze kama inakawia,

    Na sasa hivi tutakombolewa

    Basi tumusifu Yehova.

    (REFREE)

    Tuko natumainia kama

    Ufalme wa Mungu uko karibu.

    Utamaliza magumu yote.

    Kwa hiyo, tuimbe na tufurahi.

(Ona pia Zb. 27:14; Muh. 1:14; Yoe. 2:1; Hab. 1:2, 3; Ro. 8:22.)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine