UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | METHALI 22-26
Umulee Mutoto Katika Njia Yenye Kumufaa
Kitabu cha Methali kiko na mashauri yenye hekima ya kusaidia wazazi. Kutumia fimbo ili kunyoosha mumea wenye kukunjama kunausaidia ukomae vizuri; vile vile kuzoeza watoto kunawasaidia wapende kumutumikia Yehova wakati wanakomaa.
Inaomba wakati na kujikaza sana ili kuzoeza watoto muzuri
Wazazi wanapaswa kuwekea watoto mufano muzuri, na wanapaswa pia kuwafundisha, kuwakaripia, kuwatia moyo, na kuwapatia malipizi
Malipizi ni kurekebisha kwa upendo moyo na akili ya mutoto
Watoto wanaweza kupewa malipizi kwa njia mbalimbali