UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ISAYA 24-28
Yehova Anahangaikia Watu Wake
Yehova ni mukaribishaji mukarimu sana; anatutolea chakula cha kiroho kwa uwingi.
“Yehova wa majeshi atavifanyia vikundi vyote vya watu karamu”
Wakati wa zamani, watu kula chakula pamoja kulionyesha amani na urafiki
‘Ya vyakula vinono vilivyojazwa urojorojo, ya divai nzuri, iliyochujwa’
Vyakula vinono na divai iliyochujwa inamaanisha, chakula kizuri sana cha kiroho chenye Yehova anatutolea