Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 1 uku. 2
  • Yehova Anahangaikia Watu Wake

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yehova Anahangaikia Watu Wake
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Ujikaze Kupata Mambo ya Mupya Wakati Uko Najifunza
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2024
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 1 uku. 2

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ISAYA 24-28

Yehova Anahangaikia Watu Wake

Yehova ni mukaribishaji mukarimu sana; anatutolea chakula cha kiroho kwa uwingi.

Wakati wa zamani, watu wanakula chakula pamoja

“Yehova wa majeshi atavifanyia vikundi vyote vya watu karamu”

25:6

  • Wakati wa zamani, watu kula chakula pamoja kulionyesha amani na urafiki

‘Ya vyakula vinono vilivyojazwa urojorojo, ya divai nzuri, iliyochujwa’

  • Vyakula vinono na divai iliyochujwa inamaanisha, chakula kizuri sana cha kiroho chenye Yehova anatutolea

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2026)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine