Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Alimufungulia Mungu Moyo Katika Sala
    Tuige Imani Yao
    • 9. Hana alikuwa tayari kufanya safari ya Shilo ijapokuwa alijua namna mbanda yake atamutendea, mufano wake unaweza kutufundisha nini?

      9 Asubuhi mapema kila mutu anajitayarisha kwa ajili ya safari, hata watoto pia. Familia itafanya safari hiyo ya kilometre 30 ili kufika Shilo, kupitia inchi ya Efraimu yenye milima​-milima.b Safari hiyo ni ya mwendo wa siku moja ao siku mbili. Hana anajua namna mbanda yake atamutendea. Hata hivyo, habaki nyumbani. Hana anaachia waabudu wote wa Mungu leo mufano muzuri sana. Si jambo la hekima kuacha kumuabudu Mungu kwa sababu ya mwenendo usiofaa wa wengine. Tukifanya hivyo, tutapoteza baraka ambazo zingetusaidia kuvumilia.

  • Alimufungulia Mungu Moyo Katika Sala
    Tuige Imani Yao
    • b Wamekadiria umbali huo kutokana na wazo la kwamba muji wa Rama ndio uliokuwa muji wa Elkana, na muji huo ndio uliitwa Arimatea katika siku za Yesu.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine