-
ParadisoAmuka!—2013 | Mwezi wa 1
-
-
BIBLIA INASEMA NINI?
Biblia inafundisha kwamba “waadilifu” wataishi katika Paradiso. Lakini kwa maoni ya Mungu, mwadilifu ni nani? Si mtu ambaye anafuata desturi za dini yake huku akipuuza mapenzi ya Mungu. Biblia inasema: “Je, Yehova hupendezwa sana na matoleo ya kuteketezwa na dhabihu kuliko kuitii sauti ya Yehova? Tazama! Kutii ni bora kuliko dhabihu.” (1 Samweli 15:22) Kwa ufupi, “waadilifu” watakaoishi milele katika Paradiso ni watu wanaotii amri za Mungu zinazopatikana katika Biblia.
-
-
ParadisoAmuka!—2013 | Mwezi wa 1
-
-
“Waadilifu wenyewe wataimiliki dunia, nao watakaa milele juu yake.”—Zaburi 37:29.
-