UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | HOSEA 8-14
Ujitoe Kabisa kwa Yehova
Kujitoa kabisa kwa Yehova kunamufurahisha na kunakuletea faida
UHUSIANO WAKO NA YEHOVA
Unamutolea Yehova zabihu ya sifa
Yehova anakusamehe, anakukubali, na unakuwa rafiki yake
Unajionea faida ya kutii amri za Yehova, na unachochewa kumusifu zaidi
Ni katika njia gani mbalimbali ninaweza kujitoa kabisa kwa Yehova?