Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Maulizo ya Wasomaji Wetu
    Munara wa Mulinzi—2014 | Mwezi wa 11 15
    • Jambo la kufurahisha ni kwamba, andiko la Ufunuo 11:1, 2 linapatanisha matukio hayo na wakati hekalu la kiroho lilipaswa kupimwa ao kuchunguzwa. Kitabu cha Malaki sura ya 3 kinazungumuzia uchunguzi kama huo wa hekalu la kiroho, na pia wakati wa kusafishwa kwa hekalu hilo. (Mal. 3:1-4) Kazi ya uchunguzi na ya kusafisha hekalu hilo ilichukua muda gani? Ilifanyika kuanzia mwaka wa 1914 mupaka miezi ya kwanza-kwanza ya mwaka wa 1919. Muda huo ulikamata siku 1260 (miezi 42) ao siku tatu na nusu za mufano zenye zinatajwa katika Ufunuo sura ya 11.

  • Maulizo ya Wasomaji Wetu
    Munara wa Mulinzi—2014 | Mwezi wa 11 15
Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine