-
Anatimiza Unabii wa IsayaYesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
-
-
“Angalia! Mutumishi wangu mwenye nimemuchagua, mupendwa wangu, mwenye nimemukubali! Nitaweka roho yangu juu yake, na atafanya mataifa yaelewe haki ni nini. Hatagombana na hatafanya makelele, na hakuna mutu mwenye atasikia sauti yake katika njia kubwa. Hataponda utete wenye ulivunjika, na hatazimisha utambi wenye kutoa moshi, mupaka ataweza kuleta haki. Kwa kweli, mataifa yatatumainia jina lake.”—Matayo 12:18-21; Isaya 42:1-4.
-
-
Anatimiza Unabii wa IsayaYesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
-
-
Tena, Yesu anatoa ujumbe wake wenye kutuliza kwa wale wote wenye kwa njia ya mufano wako kama utete wenye ulivunjika, wenye kukunjama na wenye kupondwa. Wako kama utambi wenye kutosha moshi, wenye moto uko karibu kuzimika. Yesu haponde utete wenye kuvunjika ao kuzimisha utambi wenye moshi wenye kuwa karibu kuzimika. Lakini, kwa huruma nyingi na upendo anatumia ufundi ili kuinua watu wa hali ya chini. Kwa kweli, Yesu ni mutu mwenye mataifa yanaweza kutumainia!
-