Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Yesu Anamujibu Mutawala Kijana Mwenye Kuwa Tajiri
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
    • Yesu anaongeza: “Lakini wengi wenye ni wa kwanza watakuwa wa mwisho na wa mwisho watakuwa wa kwanza.” (Matayo 19:30) Anapenda kusema nini?

      Kijana tajiri iko kati ya wale wa “kwanza,” kwa sababu iko kati ya wale viongozi wa Wayahudi. Kwa kushika amri za Mungu, anaonyesha kama iko na uwezo mukubwa na alikuwa na wakati wenye kuja muzuri wa kiroho. Lakini angali anatanguliza mali na vitu vyake vingine katika maisha yake. Tofauti na yeye, watu wa kawaida wa inchi wanatambua kwamba mafundisho ya Yesu ni ya kweli na ni njia ya uzima. Kwa maneno mengine, walikuwa wa “mwisho,” lakini sasa wanakuwa wa “kwanza.” Wanaweza kutazamia kukaa kwenye viti vya ufalme huko mbinguni pamoja na Yesu wakitawala juu ya dunia Paradiso.

  • Mufano wa Wafanyakazi Katika Shamba la Mizabibu
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
    • Yesu ametoka tu kuwaambia wasikilizaji wake katika Perea kwamba “wengi wenye kuwa wa kwanza watakuwa wa mwisho na wa mwisho watakuwa wa kwanza.” (Matayo 19:30) Anakazia maneno hayo kupitia mufano kuhusu wafanyakazi katika shamba la mizabibu. Anasema hivi:

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine