Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Anakomalia Katika Nazareti
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
    • Wakati iko pengine na miaka mbili, Yosefu na Maria wanamutosha Yesu Misri na kuenda naye Nazareti. Inaonekana kuwa wakati huo ni Yesu tu ndiye mutoto wao. Lakini kisha, ndugu-nusu za Yesu wanazaliwa pia: Yakobo, Yosefu, Simoni, na Yuda. Yosefu na Maria wanazaa pia watoto wanamuke, dada-nusu wa Yesu. Ndiyo, Yesu iko na wadogo yake sita hivi, wanaume na wanamuke.

  • Anakomalia Katika Nazareti
    Yesu—Ni Njia, Kweli, na Uzima
    • Yosefu anapaswa kutumika sana ili kutegemeza familia yake yenye inaongezeka. Anafanya kazi ya useremala. Yosefu anamulea Yesu kama mutoto wake mwenyewe, ndiyo sababu anaitwa “mwana wa ule seremala.” (Matayo 13:55) Yosefu anafundisha pia Yesu kazi ya useremala, na Yesu anaijua muzuri. Ndiyo sababu, watu wanafikia kusema juu ya Yesu: “Huyu ni ule seremala.”—Marko 6:3.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine