Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Mufalme Anafunua Kweli Mbalimbali Juu ya Ufalme
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
    • 3, 4. (a) Namna gani Yesu aliendelea kufundisha wafuasi wake waaminifu juu ya Ufalme wa Mungu? (b) Ni mambo gani tatu tutazungumuzia katika sura hii?

      3 Maneno hayo ambayo tunasoma katika andiko la Yohana 16:12, ni maneno Yesu alisema katika usiku wa mwisho wa maisha yake hapa duniani. Kisha kufa kwake, namna gani angeendelea kufundisha wafuasi wake waaminifu juu ya Ufalme wa Mungu? Aliwaahidia mitume wake hivi: “Roho ya ile kweli, atawaongoza ninyi ndani ya kweli yote.”a (Yoh. 16:13) Kwa hiyo, tunaweza kulinganisha roho takatifu na kiongozi muvumilivu. Yesu anatumia roho takatifu ili kufundisha wafuasi wake kila jambo ambalo wanapenda kujua juu ya Ufalme wa Mungu. Anafanya hivyo kwa wakati unaofaa.

  • Mufalme Anafunua Kweli Mbalimbali Juu ya Ufalme
    Ufalme wa Mungu Unatawala!
    • a Kitabu kimoja kinasema kwamba, neno la Kigiriki linalotafsiriwa “kuongoza” katika andiko hilo linamaanisha “kuonyesha njia.”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine