-
Mufalme Anafunua Kweli Mbalimbali Juu ya UfalmeUfalme wa Mungu Unatawala!
-
-
3, 4. (a) Namna gani Yesu aliendelea kufundisha wafuasi wake waaminifu juu ya Ufalme wa Mungu? (b) Ni mambo gani tatu tutazungumuzia katika sura hii?
3 Maneno hayo ambayo tunasoma katika andiko la Yohana 16:12, ni maneno Yesu alisema katika usiku wa mwisho wa maisha yake hapa duniani. Kisha kufa kwake, namna gani angeendelea kufundisha wafuasi wake waaminifu juu ya Ufalme wa Mungu? Aliwaahidia mitume wake hivi: “Roho ya ile kweli, atawaongoza ninyi ndani ya kweli yote.”a (Yoh. 16:13) Kwa hiyo, tunaweza kulinganisha roho takatifu na kiongozi muvumilivu. Yesu anatumia roho takatifu ili kufundisha wafuasi wake kila jambo ambalo wanapenda kujua juu ya Ufalme wa Mungu. Anafanya hivyo kwa wakati unaofaa.
-
-
Mufalme Anafunua Kweli Mbalimbali Juu ya UfalmeUfalme wa Mungu Unatawala!
-
-
a Kitabu kimoja kinasema kwamba, neno la Kigiriki linalotafsiriwa “kuongoza” katika andiko hilo linamaanisha “kuonyesha njia.”
-