-
‘Kusema Bila Woga kwa Mamlaka ya Yehova’“Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
-
-
8. Juu ya nini Paulo na Barnaba waliondoka Ikoniamu, na mufano wao unatufundisha nini?
8 Kisha wakati fulani, wapinzani wa Ikoniamu wakakamata mupango wa kupiga Paulo na Barnaba majiwe. Wakati wale wamisionere wawili walipata ile habari, wakaamua kuenda kuhubiri mu eneo ingine. (Mdo. 14:5-7) Leo, wahubiri wa habari njema wanatumia pia busara ya vile. Wakati watu wanatupinga kwa maneno, tunasema bila woga. (Flp. 1:7; 1 Pe. 3:13-15) Lakini wakati wanataka kututendea mubaya, tunaepuka kufanya jambo yoyote yenye inaweza kutia maisha yetu ao maisha ya ndugu zetu mu hatari.—Mez. 22:3.
-