Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • “Vuka Uingie Makedonia”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
    • 16. Kisha Paulo na Sila kupigwa, nini njo ilitokea siku yenye ilifuata?

      16 Asubui yenye ilifuata, kisha Paulo na Sila kupigwa, waamuzi waliamuru waachiliwe. Lakini Paulo alisema hivi: “Walitupiga fimbo mbele ya watu wote, bila kutuhukumu, ijapokuwa sisi ni Waroma, na wakatutupa katika gereza. Je, sasa wanataka kututosha kwa uficho? Hapana, haiwezekane! Acha wakuje watutoshe wao wenyewe.” Wakati walisikia kama wale wanaume wawili walikuwa raia wa Roma, waamuzi “wakaogopa” juu hawakuheshimia haki za wale wanaume.d Sasa mambo iligeuka. Wale wanafunzi walipigwa mbele ya watu, na sasa wale waamuzi walipaswa kuwaomba huruma mbele ya watu. Walibembeleza Paulo na Sila na kuwaomba waondoke Filipi. Wale wanafunzi wawili walikubali kuondoka, lakini kwanza walichukua wakati wa kutia moyo wanafunzi wapya wenye walikuwa naendelea kuongezeka. Na ni kisha kufanya vile njo waliondoka.

  • “Vuka Uingie Makedonia”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
    • d Sheria ya Roma ilisema kama raia wa Roma alipaswa kuhukumiwa kwa haki na hakupaswa kupewa malipizi mbele ya watu, mbele ahukumiwe na kuonekana kuwa iko na kosa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine