Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • “Wakajazwa Roho Takatifu”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
    • 16. Namna gani Wakristo wa wakati wa mitume walionyesha roho ya kujitoa?

      16 Bila shaka, Yehova alibariki wale watu. Biblia inasema hivi: “Wale wote wenye walikuwa waamini walikuwa pamoja na walichangia mambo yote pamoja, na walikuwa wanauzisha vitu vyao na mali zao na kugawia wote feza zenye walipata, kulingana na kile chenye kila mutu alikuwa nacho lazima.”f (Mdo. 2:44, 45) Bila shaka, Wakristo wote wa kweli wanapaswa kuiga ile roho ya kujitoa na ya upendo.

  • “Wakajazwa Roho Takatifu”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
    • f Ule mupango wa muda ulisaidia kutosheleza mahitaji yenye ilitokea juu wageni walibakia Yerusalemu ili kujifunza mambo mingi zaidi kuhusu imani yao ya mupya. Ule ulikuwa mupango ya kujipendea. Vitu vyote vyenye vilitolewa vilitiwa fasi moya juu wote wavitumie.​—Mdo. 5:1-4.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine