Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • “Watu Wenye Hawana Elimu na Watu wa Kawaida”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
    • 1, 2. Petro na Yohana walifanya muujiza gani karibu na mulango wa hekalu?

      JUA ya kisha midi inaangaza, kuko mukutano mukubwa wa watu wengi. Wayahudi wengi wenye kumuogopa Mungu na wanafunzi wa Yesu wanaingia mu uwanja wa hekalu. “Saa ya sala” inakaribia.a (Mdo. 2:46; 3:1) Petro na Yohana wanajikaza kupita kati ya wale watu na kuingia mu hekalu kupitia mulango wenye kuitwa Muzuri. Kuko makelele mingi juu watu wengi wako natembea na kuongea wakati uleule. Kuko pia mwanaume wa kukomala mwenye alizaliwa kilema, mwenye alikuwa anaomba-omba. Ule mwanaume anaomba zawadi za rehema.​—Mdo. 3:2; 4:22.

  • “Watu Wenye Hawana Elimu na Watu wa Kawaida”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
    • a Mu hekalu, sala zilikuwa zinatolewa wakati wa zabihu ya asubui na ya mangaribi. Zabihu ya mangaribi ilikuwa inatolewa “saa ya kenda (15h00 hivi).”

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine