Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • “Hakuna Hata Mumoja Wenu Mwenye Atapotea”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
    • “Fazili Nyingi Sana” (Mdo. 28:1-10)

      18-20. Namna gani watu wa Malta walionyesha “fazili nyingi sana,” na Mungu alifanya muujiza gani kupitia Paulo?

      18 Wale watu wenye waliokoka walikuwa ku kisiwa ya Malta kusini mwa Sisili. (Ona kisanduku “Malta Ilikuwa Wapi?”) Watu wa mu ile kisiwa wenye walikuwa nasema luga ya kigeni waliwaonyesha “fazili nyingi sana.” (Mdo. 28:2) Waliwasha moto kwa ajili ya wale watu wenye walikuwa wamelowana na wenye walikuwa natetemeka kwa sababu ya baridi. Ile moto iliwasaidia kupata kifukutu hata kama kulikuwa baridi na mvua. Kisha, kukatokea muujiza fulani.

  • “Hakuna Hata Mumoja Wenu Mwenye Atapotea”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine