-
“Hakuna Hata Mumoja Wenu Mwenye Atapotea”“Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
-
-
19 Paulo alipenda kusaidia. Kwa hiyo, alianza kukusanya kuni na kuziweka kwenye moto. Wakati alikuwa nafanya vile, nyoka-kipiri mwenye sumu akatoka ndani ya kuni, akamuuma, na kumubana kwenye mukono. Watu wa Malta waliwaza kama ile ilikuwa alama ya malipizi kutoka kwa Mungu.a
-
-
“Hakuna Hata Mumoja Wenu Mwenye Atapotea”“Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
-
-
a Kwa sababu watu walijua ule nyoka, ile inaonyesha kama ile wakati nyoka-vipiri walikuwa mu ile kisiwa. Leo, mu eneo ya Malta hamuna nyoka-vipiri. Pengine ni juu tangu ule wakati wenye Paulo alikuwa Malta, kwa miaka mingi hali ya mazingira imebadilika sana. Ao juu watu wameongezeka sana mu ile kisiwa, pengine nyoka-vipiri wote waliuawa.
-