Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • “Hakuna Hata Mumoja Wenu Mwenye Atapotea”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
    • 19 Paulo alipenda kusaidia. Kwa hiyo, alianza kukusanya kuni na kuziweka kwenye moto. Wakati alikuwa nafanya vile, nyoka-kipiri mwenye sumu akatoka ndani ya kuni, akamuuma, na kumubana kwenye mukono. Watu wa Malta waliwaza kama ile ilikuwa alama ya malipizi kutoka kwa Mungu.a

  • “Hakuna Hata Mumoja Wenu Mwenye Atapotea”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
    • a Kwa sababu watu walijua ule nyoka, ile inaonyesha kama ile wakati nyoka-vipiri walikuwa mu ile kisiwa. Leo, mu eneo ya Malta hamuna nyoka-vipiri. Pengine ni juu tangu ule wakati wenye Paulo alikuwa Malta, kwa miaka mingi hali ya mazingira imebadilika sana. Ao juu watu wameongezeka sana mu ile kisiwa, pengine nyoka-vipiri wote waliuawa.

Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine