Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • Maulizo ya Wasomaji Wetu
    Munara wa Mulinzi—2015 | Mwezi wa 5 15
    • Lakini, ni nani ndiye “Gogu na Magogu” mwenye kuzungumuziwa katika Ufunuo 20:8? Jina hilo linaonyesha wale wote wenye watamupinga Yehova na kushambulia watu wake mwishoni mwa miaka 1000. Wataonyesha chuki kama ‘Gogu wa Magogu,’ ni kusema, mataifa yote yenye itashambulia watumishi wa Mungu mbele ya ziki kubwa kumalizika. Vikundi vyote viwili vitapatwa na hukumu ileile, ni kusema, kifo cha milele! (Ufu. 19:20, 21; 20:9) Kwa hiyo, ni jambo lenye kufaa kusema kwamba “Gogu na Magogu” mwenye kuzungumuziwa katika andiko hilo la Ufunuo, ni wale wote wenye watakuwa waasi mwishoni mwa Utawala wa Miaka Elfu Moja.

      Wakati wa shambulizi la Gogu na Magogu, mwishoni mwa miaka 1000
  • Maulizo ya Wasomaji Wetu
    Munara wa Mulinzi—2015 | Mwezi wa 5 15
Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili (Congo)
  • Tumia Wengine
  • Préférences
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Kanuni za Matumizi
  • Kanuni za Kutunza Siri
  • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
  • JW.ORG
  • Ingia
Tumia Wengine